Mwalimu Mushi wa Ilboru apewe maua yake “Nishani ya kitaifa”

Mwalimu Mushi wa Ilboru apewe maua yake “Nishani ya kitaifa”

Kwa mawazo yangu kati ya walimu wakuu ambao wanahitaji nishani za kitaifa ni Mwalimu mkuu wa zamani wa Ilboru. Huyu ndiyo alifanya Ilboru kuwa shule ambayo kwa miaka yote ni ya kipekee kwa kutoa madaktari wengi, wanasheria wengi na vipaji vya juu sana hapa nchini kwetu. Kila nchi nilienda watoto wa Mwl Mushi wanafanya makubwa


Tundu Antiphas Lissu
@TunduALissu
Follow

At a sprightly age of 87 years, Mzee Geoffrey Mushi, aka Mzee Bino, is as lucid a mind and as commanding a presence as when he served as my headmaster at Ilboru Secondary School in the early '80s. It's a rare privilege to catch up with him after nearly 40 years of separation.”

View attachment 2989040

View attachment 2989041
View attachment 2989042
View attachment 2989043
View attachment 2989044
View attachment 2989047

View attachment 2989048
View attachment 2989049
View attachment 2989050


Hapo sijaenda kwenye madaktari bigwa. Lakini kikubwa wote hawa wanasifu ubunifu wa Mwalimu Mushi. Cha ajabu tunatoa shahada na ma PHD kwa wanasiasa badala ya watu ambao wamebasilisha maisha ya watu wengi sana na kutengeneza vijana viongozi wazuri wa vizazi vingi
Nimemkumbuka Mwalimu aliyekuwa anajulikana kwa jina la Chief nilijitahidi nisichapwe bakora ila siku moja alitubananisha dining hall form five wote,tukala bakora na bwalo tukasafisha.
Ticha shembilu kama sijasahau jina lake na matango pori yake ya physics,, Chemistry mama mmoja hivi nafikiri alikuwa na shida flani hakuwa mentally okay.
 
Hivi kutoa madaktari na wanasheria ni kitu cha ajabu sana. Hicho kilipaswa kuwa kitu cha kawaida kitaifa. Kama taifa linajivunia watu wa kawaida kama madaktari na wanasheria kama kitu cha thamani sana basi hilo taifa lina safari ndefu.

Acha wengine wamiliki Nuclear Power.
 
Najihisi mwenye bahati kusoma Ilboru
Mkuu wa kipindi changu tulimwita Shula
Hahahahaha nimecheka na kukumbuka mbali Hilo jina la huyo mkuu alikuwa anapenda kujiita JJ SHULA kwani alitoka shuleni kwetu TOSAMAGANGA na kuletwa hapo Ilboru Kisha wa Ilboru wa kipindi hiko akaletwa Tosamaganga
 
Mleta uzi unaonekana ni kilaza.

Kwa hiyo ile cream aliyopelekewa unaona shule za kata wanaokomaa kiwalea wakina Januari Dr na Professor wao hawana maana?? Poor brain drain
 
Bino aliweka nidhamu kweli pale wakati tunasoma pale 1980s.
Ni jinsi gani ninaweza kujiunga kwenye group la Ilboru Alumni na mimi niweze kuchangia siku moja.
 
Kwa nini haea innovate,;invent and discover. Ubora wao ni kuongea ongea tu.
Nchi bado masikini sana.
 
Kwa mawazo yangu kati ya walimu wakuu ambao wanahitaji nishani za kitaifa ni Mwalimu mkuu wa zamani wa Ilboru. Huyu ndiyo alifanya Ilboru kuwa shule ambayo kwa miaka yote ni ya kipekee kwa kutoa madaktari wengi, wanasheria wengi na vipaji vya juu sana hapa nchini kwetu. Kila nchi nilienda watoto wa Mwl Mushi wanafanya makubwa



Tundu Antiphas Lissu

@TunduALissu
Follow

At a sprightly age of 87 years, Mzee Geoffrey Mushi, aka Mzee Bino, is as lucid a mind and as commanding a presence as when he served as my headmaster at Ilboru Secondary School in the early '80s. It's a rare privilege to catch up with him after nearly 40 years of separation.”

View attachment 2989040

View attachment 2989041
View attachment 2989042
View attachment 2989043
View attachment 2989044
View attachment 2989047

View attachment 2989048
View attachment 2989049
View attachment 2989050


Hapo sijaenda kwenye madaktari bigwa. Lakini kikubwa wote hawa wanasifu ubunifu wa Mwalimu Mushi. Cha ajabu tunatoa shahada na ma PHD kwa wanasiasa badala ya watu ambao wamebasilisha maisha ya watu wengi sana na kutengeneza vijana viongozi wazuri wa vizazi vingi
Haina tofauti na kiongozi X aliyeenda kuangalia mpira uwanjani, halafu vyombo vya habari vinatangaza kiongozi X amewaongoza mashabiki wakati kila mtu ameenda kwa interest zake mwenyewe !!

Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom