Mwalimu Mwakasege yupo Mbeya kwa Huduma ya kiroho (MANA)

Mwalimu Mwakasege yupo Mbeya kwa Huduma ya kiroho (MANA)

You are so uninformed regarding spiritual matters

Ukamilifu wa huduma haupimwi kwa muda mrefu kiasi gani huduma imekuwepo, bali kwa kiasi gani huduma inatangaza neno halisi la Yesu.

Biblia kwenye 1Yoh 4:1 inatukumbusha kuzijaribu roho kama kweli zimetoka kwa Mungu, and the effective way to do this ni kupima kinachohubiri under the microscope of the Holy Spirit.

Sasa angalia mafundisho ya Mwakasege yalivyo mapotovu. Anahubiri juu ya kutafsiri ndoto, kukomboa mzaliwa wa kwanza, mara utasikia kukomboa ardhi. Yaani vitu vya ajabu ajabu.
Ulitaka ahubiri kukomboa dabo Kiki na kukomboa jackpot ya sportpesa?
 
You are so uninformed regarding spiritual matters

Ukamilifu wa huduma haupimwi kwa muda mrefu kiasi gani huduma imekuwepo, bali kwa kiasi gani huduma inatangaza neno halisi la Yesu.

Biblia kwenye 1Yoh 4:1 inatukumbusha kuzijaribu roho kama kweli zimetoka kwa Mungu, and the effective way to do this ni kupima kinachohubiri under the microscope of the Holy Spirit.

Sasa angalia mafundisho ya Mwakasege yalivyo mapotovu. Anahubiri juu ya kutafsiri ndoto, kukomboa mzaliwa wa kwanza, mara utasikia kukomboa ardhi. Yaani vitu vya ajabu ajabu.
Yaweza kua sijui sana mambo ya kiroho ndio, hata yule askari aliekua msalabani pale aliposulubiwa Yesu alishuhudia yakua Yesu alitoka kwa Mungu kweli. Japo hakua kiroho lakini alitoa ushuhuda wa kiroho.



Bahati mbaya sana nyinyi mlio wa kiroho ndio mfanya hata jina la Mungu kutukanwa kwa sababu ya kujihesabia haki kwenu na kuona wengine hawapasi kuwepo kwa sababu hawapo kama nyinyi mtakavyo.


Hio huduma ya mwakasege ilishapimwa na kurazamwa na darubini hiyo ya kiroho kabla yako na kuonekana haina kasoro.

Labda wewe una hoja ngoja tukusikilize Jane Lowassa
 
Hata wanaopitisha wabunge bila uchaguzi na wezi wa kura pia wanahudhuria.
Huduma ya "ualimu" ni huduma inayopaswa kuwa chini ya uangalizi wa mchungaji. Sasa huyu mwalimu anayezunguka huko na huko wala hana kanisa ananishangaza sana. Anashangaza kwasababu anajaribu kuifanya huduma ya ualimu ni huduma inayojetegemea, which is spiritually impractical.

Kingine, kazi ya mwalimu ni kukuza wakristo ambao tayari wameshamjua Yesu kwa lengo la kuwakamilisha (Waefeso 4:12). Huduma hii haiwalengi mataifa kama hduma ya uinjilisti. Lakini mwalimu huyu mikutano yake wanahudhuria wazinzi, walevi, wala rushwa, vibaka eti kuja kusikiliza neno la Mungu. Halafu baada ya hapo wala hajali kama wanaabudu wapi.
 
Tatizo lako wewe imeharibiwa akili na ccm hivyo kama humuelewe mwalimu Mwakasege huku unawaelewa ccm na nyimbo zao za matusi itakuwa umerogwa wewe na kuyumbishwa akili na chorus za zidumu fikra batili za mwenyekiti wa chama 😁😁
Huduma ya "ualimu" ni huduma inayopaswa kuwa chini ya uangalizi wa mchungaji. Sasa huyu mwalimu anayezunguka huko na huko wala hana kanisa ananishangaza sana. Anashangaza kwasababu anajaribu kuifanya huduma ya ualimu ni huduma inayojetegemea, which is spiritually impractical.

Kingine, kazi ya mwalimu ni kukuza wakristo ambao tayari wameshamjua Yesu kwa lengo la kuwakamilisha (Waefeso 4:12). Huduma hii haiwalengi mataifa kama hduma ya uinjilisti. Lakini mwalimu huyu mikutano yake wanahudhuria wazinzi, walevi, wala rushwa, vibaka eti kuja kusikiliza neno la Mungu. Halafu baada ya hapo wala hajali kama wanaabudu wapi.
 
Tatizo lako wewe imeharibiwa akili na ccm hivyo kama humuelewe mwalimu Mwakasege huku unawaelewa ccm na nyimbo zao za matusi itakuwa umerogwa wewe na kuyumbishwa akili na chorus za zidumu fikra batili za mwenyekiti wa chama 😁😁
Huduma ya "ualimu" ni huduma inayopaswa kuwa chini ya uangalizi wa mchungaji. Sasa huyu mwalimu anayezunguka huko na huko wala hana kanisa ananishangaza sana. Anashangaza kwasababu anajaribu kuifanya huduma ya ualimu ni huduma inayojetegemea, which is spiritually impractical.

Kingine, kazi ya mwalimu ni kukuza wakristo ambao tayari wameshamjua Yesu kwa lengo la kuwakamilisha (Waefeso 4:12). Huduma hii haiwalengi mataifa kama hduma ya uinjilisti. Lakini mwalimu huyu mikutano yake wanahudhuria wazinzi, walevi, wala rushwa, vibaka eti kuja kusikiliza neno la Mungu. Halafu baada ya hapo wala hajali kama wanaabudu wapi.
 
Dada Jane Lowassa sina hakika Kama wewe unaweza au umekidhi vigezo vya kumkosoa mwakasege.

Alienza huduma alio nayo mpaka Sasa tokea mwanzoni wa miaka 80, yawezakua ulikua mchanga sana na pengine hata kuzaliwa huwenda ilikua bado.


Zimekuwapo huduma nyingi zilizoanza mbele yake sana na nyingine zimeanza juzi juzi tu lakini zimekwisha kufa kitambo sana.


Sina hakika Kama wewe unazifahamu habari za Mungu kuliko wote ambao wameitika ya kwamba huduma ya mwakasege iko chini ya uongozi wa Mungu.


Tuseme tuu hautoshi kumkosoa ndugu yangu labda uwe haumaanishi.
Hamjui hata Sedekia eeh.
 
We hata huelewi chochote juu ya mambo ya Mungu.

Huna integrity yoyote ya kuweza kuhoji juu ya huduma ya watumishi wa Mungu. Mwenye uwezo wa kuhukumu ni yeye mwenye kanisa pekee.

Bujibuji amesema vyema huduma yake imedumu tokea 1980's imeendelea kukua, ungekuwa vizuri Kiroho na uhakika Roho wa Mungu ndani yako angekuambia inamaanisha nini huduma kuwepo kwa muda wote huo.

Acheni kumezeshwa mapokeo ya kucriticise kila huduma ya Kristo kwa lengo tu la kuhisi labda makanisa yenu yatapoteza waumini.

Soma 1 Kor 3: 11- 15,

Msingi alikwisha uweka Kristo, kila mtu ajengae katika msingi huo kazi yake itapimwa siku ya mwisho. Acha kuhukumu mwachie Mungu ahukumu watu wake mwenyewe. Usijivike koti la Utukufu wake katika kuhukumu.
 
Yaweza kua sijui sana mambo ya kiroho ndio, hata yule askari aliekua msalabani pale aliposulubiwa Yesu alishuhudia yakua Yesu alitoka kwa Mungu kweli. Japo hakua kiroho lakini alitoa ushuhuda wa kiroho.



Bahati mbaya sana nyinyi mlio wa kiroho ndio mfanya hata jina la Mungu kutukanwa kwa sababu ya kujihesabia haki kwenu na kuona wengine hawapasi kuwepo kwa sababu hawapo kama nyinyi mtakavyo.


Hio huduma ya mwakasege ilishapimwa na kurazamwa na darubini hiyo ya kiroho kabla yako na kuonekana haina kasoro.

Labda wewe una hoja ngoja tukusikilize Jane Lowassa
Wewe unajihangaisha bure kumtolea maelezo huyo JL yeye mwenyewe mtima wake ni shimo tupu koo lake ni kaburi wazi tena ulimi wake hujipendekeza.

Utamuweza😀!
 
Back
Top Bottom