GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Nilipoliona tu hapo juu katika 'Headline' yako neno hilo la 'MANA' nilishtuka kidogo kwakuwa naongea pia 'Kiganda' na hilo neno Kwao ni Tusi hasa.Mwalimu Christopher Mwakasege yupo jijini mbeya toka tarehe 15/10/2020 akifundisha neno la Mungu lenye kichwa cha habari "Imarisha imani yako kuelekea msimu mpya"
Binafsi nimebarikiwa sana
Ungana nae kupitia upendo TV kwa azamtv na startime decorder ,mbarikiwe wana jamii forum.
Mytake
Hivi kichwa cha somo hakihusiani na uchaguzi?
Hahah..huyoo ndo mrokole Jane Rouwasaree mmasai wa munduriii..anaejua tafsiri za roho mtakatifu..mwenzako kawakaribisha watu kwenye seminar wewe unakuja na tafsir zingine..ulipaswaa kupita tu na kuacha kuongea hayo maneno..pole yakoOf course, anasoma kwenye Biblia lakini anatoa tafsiri tofauti na ile ya Roho Mtakatifu. Na in fact hiyo ndiyo sifa kubwa ya walimu wa uongo, yaani kujifanya wanatumia Biblia kwa lengo la kusapoti tafsiri zao binafsi.
Bila shaka ww ndo wale mnaoitwa vyumbani mwa wachungaji wenu na kupewa huduma..kama bado unaamini biblia anaeijua ni mchungaji pole..Unamlinganisha Yesu na Mwakasege? Poleee
Wakati wa huduma ya Yesu kanisa lilikikuwa halijaanza. Baada ya kupaa, ndipo kanisa likaanza chini ya Roho Mtakatifu. Kanisa la Kristo lazima liwe na utaratibu wa kihuduma na kiuongoza. Hduma zote 5 lazima zilelelewe chini ya uangalizi wa mchungaji.
Huyo Mwakasege ni mpigaji tu. Anafundisha mafundisho ya ajabu ajabu yaliyojaa upotevu mwingi. Mara kumkomboa mzaliwa wa kwanza nk. Mafundisho ambayo kimsingi hata kwenye Biblia hayapo, ila yeye anayatunga tu. Na hii ndiyo sababu hana mchungaji anayemuongoza. Hakuna mchungaji anayejua Biblia atakayesapoti upotovu wa kiwango hiki.
Nimekuelewa dada.Mapepo huwa hayapendi kusikia neno la Mungu likihubiriwa kwa usahihiYou are so uninformed regarding spiritual matters
Ukamilifu wa huduma haupimwi kwa muda mrefu kiasi gani huduma imekuwepo, bali kwa kiasi gani huduma inatangaza neno halisi la Yesu.
Biblia kwenye 1Yoh 4:1 inatukumbusha kuzijaribu roho kama kweli zimetoka kwa Mungu, and the effective way to do this ni kupima kinachohubiri under the microscope of the Holy Spirit.
Sasa angalia mafundisho ya Mwakasege yalivyo mapotovu. Anahubiri juu ya kutafsiri ndoto, kukomboa mzaliwa wa kwanza, mara utasikia kukomboa ardhi. Yaani vitu vya ajabu ajabu.
Kasome bibilia vizuri Kitabu cha kutoka 'mana' ni chakula toka mbinguniNilipoliona tu hapo juu katika 'Headline' yako neno hilo la 'MANA' nilishtuka kidogo kwakuwa naongea pia 'Kiganda' na hilo neno Kwao ni Tusi hasa.
Hata bwana Yesu alisema katika Luka 5:32Huduma ya "ualimu" ni huduma inayopaswa kuwa chini ya uangalizi wa mchungaji. Sasa huyu mwalimu anayezunguka huko na huko wala hana kanisa ananishangaza sana. Anashangaza kwasababu anajaribu kuifanya huduma ya ualimu ni huduma inayojetegemea, which is spiritually impractical.
Kingine, kazi ya mwalimu ni kukuza wakristo ambao tayari wameshamjua Yesu kwa lengo la kuwakamilisha (Waefeso 4:12). Huduma hii haiwalengi mataifa kama hduma ya uinjilisti. Lakini mwalimu huyu mikutano yake wanahudhuria wazinzi, walevi, wala rushwa, vibaka eti kuja kusikiliza neno la Mungu. Halafu baada ya hapo wala hajali kama wanaabudu wapi.
Naenda kkkt kijenge , kaulize halafu uje utubishie tenaNdiyo nimekuambia hana mchungaji. Na kwakuwa hana mchungaji basi hana kanisa. Mimi nipo Arusha
Weeee mataga kila kitu unajifanya unajua wakati hujui anasali K.K.K.T haya una semajeHuduma ya "ualimu" ni huduma inayopaswa kuwa chini ya uangalizi wa mchungaji. Sasa huyu mwalimu anayezunguka huko na huko wala hana kanisa ananishangaza sana. Anashangaza kwasababu anajaribu kuifanya huduma ya ualimu ni huduma inayojetegemea, which is spiritually impractical.
Kingine, kazi ya mwalimu ni kukuza wakristo ambao tayari wameshamjua Yesu kwa lengo la kuwakamilisha (Waefeso 4:12). Huduma hii haiwalengi mataifa kama hduma ya uinjilisti. Lakini mwalimu huyu mikutano yake wanahudhuria wazinzi, walevi, wala rushwa, vibaka eti kuja kusikiliza neno la Mungu. Halafu baada ya hapo wala hajali kama wanaabudu wapi.
Huduma ya "ualimu" ni huduma inayopaswa kuwa chini ya uangalizi wa mchungaji. Sasa huyu mwalimu anayezunguka huko na huko wala hana kanisa ananishangaza sana. Anashangaza kwasababu anajaribu kuifanya huduma ya ualimu ni huduma inayojetegemea, which is spiritually impractical.
Kingine, kazi ya mwalimu ni kukuza wakristo ambao tayari wameshamjua Yesu kwa lengo la kuwakamilisha (Waefeso 4:12). Huduma hii haiwalengi mataifa kama hduma ya uinjilisti. Lakini mwalimu huyu mikutano yake wanahudhuria wazinzi, walevi, wala rushwa, vibaka eti kuja kusikiliza neno la Mungu. Halafu baada ya hapo wala hajali kama wanaabudu wapi.
Hilo nalijua na huenda pia nikawa hata naijua Biblia kuliko uijuavyo Wewe.Kasome bibilia vizuri Kitabu cha kutoka 'mana' ni chakula toka mbinguni
Spiritually impractical? Umetumia kigezo gani au kifungu gani cha biblia kufikia hii conclusion?Huduma ya "ualimu" ni huduma inayopaswa kuwa chini ya uangalizi wa mchungaji. Sasa huyu mwalimu anayezunguka huko na huko wala hana kanisa ananishangaza sana. Anashangaza kwasababu anajaribu kuifanya huduma ya ualimu ni huduma inayojetegemea, which is spiritually impractical.
Kingine, kazi ya mwalimu ni kukuza wakristo ambao tayari wameshamjua Yesu kwa lengo la kuwakamilisha (Waefeso 4:12). Huduma hii haiwalengi mataifa kama hduma ya uinjilisti. Lakini mwalimu huyu mikutano yake wanahudhuria wazinzi, walevi, wala rushwa, vibaka eti kuja kusikiliza neno la Mungu. Halafu baada ya hapo wala hajali kama wanaabudu wapi.
"Tafsiri ya tofauti ya Roho Mtakatifu"Of course, anasoma kwenye Biblia lakini anatoa tafsiri tofauti na ile ya Roho Mtakatifu. Na in fact hiyo ndiyo sifa kubwa ya walimu wa uongo, yaani kujifanya wanatumia Biblia kwa lengo la kusapoti tafsiri zao binafsi.
Heee!!!ww mama ndo roho mtakatifu au????kiasi kwamba unajua tafsiri hii ni ya roho au siyo??Of course, anasoma kwenye Biblia lakini anatoa tafsiri tofauti na ile ya Roho Mtakatifu. Na in fact hiyo ndiyo sifa kubwa ya walimu wa uongo, yaani kujifanya wanatumia Biblia kwa lengo la kusapoti tafsiri zao binafsi.
Leo umeongea point.Hongera binti Lowasa.Lkn naomba nikukosoe kidogo,Samahani lkn kwasababu leo sipendi kukosoa watu.Ni hivi hapo mwanzo upo sawa,lkn umeteleza kidogo mwishoni,hivi hao unaosema kuwa ni wazinzi,wala rushwa,n.k.Si ndo kondoo waliopotea?,Je,Yesu si alikula na kunywa nao?,akasema Yeye amekuja kwaajili ya wadhambi na sio wakamilifu?,hivyo basi mkutano wake kujaa wenye dhambi sio shida,itakuwa shida ikiwa Utasheheni Watakatifu tu.Huduma ya "ualimu" ni huduma inayopaswa kuwa chini ya uangalizi wa mchungaji. Sasa huyu mwalimu anayezunguka huko na huko wala hana kanisa ananishangaza sana. Anashangaza kwasababu anajaribu kuifanya huduma ya ualimu ni huduma inayojetegemea, which is spiritually impractical.
Kingine, kazi ya mwalimu ni kukuza wakristo ambao tayari wameshamjua Yesu kwa lengo la kuwakamilisha (Waefeso 4:12). Huduma hii haiwalengi mataifa kama hduma ya uinjilisti. Lakini mwalimu huyu mikutano yake wanahudhuria wazinzi, walevi, wala rushwa, vibaka eti kuja kusikiliza neno la Mungu. Halafu baada ya hapo wala hajali kama wanaabudu wapi.
Mtumishi kwanini unatumia nguvu nyingi kiasi hiki kumtetea Mwakasege,Ushauri wangu,Maadam Mwakasege anafanya kazi ya Mungu acha tu km ni kweli au si kweli,sio kazi yako ,Mwachie Mungu afanye kazi yake.Yesu alishasema Tutawatambua kwa matunda yao,sasa ya nini kuvutana?.anatoa tafsiri tofauti na ya roho mtakatifu? Wewe unamjua roho mtakatifu? na unajua anafundisha nini??, Kwanini unataka kuaminisha watu fikra zako juu ya roho mtakatifu ziwe kweli?
You are so negative, kweli airport waliona mbali sana, nchi haiwezi kuwa na Flight attendant wa ovyo na mwenye negativity namna hii....
Hate or get inspired
Ni muumini wa Lutheran ChurchHuduma ya "ualimu" ni huduma inayopaswa kuwa chini ya uangalizi wa mchungaji. Sasa huyu mwalimu anayezunguka huko na huko wala hana kanisa ananishangaza sana. Anashangaza kwasababu anajaribu kuifanya huduma ya ualimu ni huduma inayojetegemea, which is spiritually impractical.
Kingine, kazi ya mwalimu ni kukuza wakristo ambao tayari wameshamjua Yesu kwa lengo la kuwakamilisha (Waefeso 4:12). Huduma hii haiwalengi mataifa kama hduma ya uinjilisti. Lakini mwalimu huyu mikutano yake wanahudhuria wazinzi, walevi, wala rushwa, vibaka eti kuja kusikiliza neno la Mungu. Halafu baada ya hapo wala hajali kama wanaabudu wapi.
This is confusing...Kuna walimu huwa Wapo kwa ajili ya kufundisha hao watu kila baada ya semina
JESUS IS LORD[emoji120]
Roho Mtakatifu alizigawa hizi huduma specifically kwa ajili ya makundi tofauti ya watu. Point yangu ni kuwa kila moja ya huduma zile 5 inalenga kundi Fulani la watu. Huduma ya uinjilisti ndiyo inalenga aina hizo za wenye dhambi, huduma ya uchungaji kanisa kwa ujumla nk.Leo umeongea point.Hongera binti Lowasa.Lkn naomba nikukosoe kidogo,Samahani lkn kwasababu leo sipendi kukosoa watu.Ni hivi hapo mwanzo upo sawa,lkn umeteleza kidogo mwishoni,hivi hao unaosema kuwa ni wazinzi,wala rushwa,n.k.Si ndo kondoo waliopotea?,Je,Yesu si alikula na kunywa nao?,akasema Yeye amekuja kwaajili ya wadhambi na sio wakamilifu?,hivyo basi mkutano wake kujaa wenye dhambi sio shida,itakuwa shida ikiwa Utasheheni Watakatifu tu.
Luka 5:32Huduma ya "ualimu" ni huduma inayopaswa kuwa chini ya uangalizi wa mchungaji. Sasa huyu mwalimu anayezunguka huko na huko wala hana kanisa ananishangaza sana. Anashangaza kwasababu anajaribu kuifanya huduma ya ualimu ni huduma inayojetegemea, which is spiritually impractical.
Kingine, kazi ya mwalimu ni kukuza wakristo ambao tayari wameshamjua Yesu kwa lengo la kuwakamilisha (Waefeso 4:12). Huduma hii haiwalengi mataifa kama hduma ya uinjilisti. Lakini mwalimu huyu mikutano yake wanahudhuria wazinzi, walevi, wala rushwa, vibaka eti kuja kusikiliza neno la Mungu. Halafu baada ya hapo wala hajali kama wanaabudu wapi.
Nimekupata vizuri Dada Jane, Kwa mtizamo huo uko sahihi.Pamoja sana mkuu na Mtani wangu Kisiasa.Roho Mtakatifu alizigawa hizi huduma specifically kwa ajili ya makundi tofauti ya watu. Point yangu ni kuwa kila moja ya huduma zile 5 inalenga kundi Fulani la watu. Huduma ya uinjilisti ndiyo inalenga aina hizo za wenye dhambi, huduma ya uchungaji kanisa kwa ujumla nk.
Huduma ya ualimu/ kufundisha inalenga watu ambao hapo awali walikuwa wenye dhambi na sasa wapo kanisani ili kukuzwa wapate kuufikia ukamilifu wa Kristo.
Sasa jaribu kufuatilia kituko cha mikutano ya Mwakasege uone. Yeye amekusanya mchanganyiko wa waliookoka, wapagani, makahaba, walevi, wanaotafuta wachumba. Yaani full mchanganyiko. Then anaanza kuwafundisha( kumbuka huduma yake siyo uinjilisti). Hivi hapo kuna lengo lolote linafikiwa wakati targeted audience yenyewe imeshakosewa?
No wonder mafundisho yanayofundishwa ni potofu lakini watu wameganda tu wanaendelea kusikiliza. Unatarajia mtu asiye na uelewa hata chembe wa Neno la Mungu anaweza kuhoji mafundisho ya uongo? Obvious, atakaa na kukubali tu akiambiwa sijui "mafundisho ya ndoto" sijui "kumkomboa mzaliwa wa kwanza"