georgeallen
JF-Expert Member
- Jun 3, 2011
- 4,118
- 1,875
Napata mashaka na Mwalimu aliye andika thread hii! Content haija kaa sawa sawa kabisa! Lugha iliyotumika kwenye baadhi ya maneno haisadifu umahiri wa Mwalimu kabisa! Angalia neno Procedure, angalia kuna mahali ameandika AKA akimaanisha Also Known As! Yaani kama kwenye FB![/QUO
Ili upate nafasi ya kusomea ualimu sifa kuu ni uwe na Div. 4 . Mtu mwenye division four-ambaye hakuipata kwa bahati mbaya- hana tofauti na huyu jamaa aliyeleta hii post hapa.