Mwalimu alikuwa mtu wa ajabu sana. Ukimuweka na wazungu anakaa nao saaaaf, ukimpeleka vijijini anaishi vema tu na watu. Hakika huyu mzee alikuwa ni zawadi ya watanzania kutoka kwa Mungu.
Mwalimu alikuwa mtu wa ajabu sana. Ukimuweka na wazungu anakaa nao saaaaf, ukimpeleka vijijini anaishi vema tu na watu. Hakika huyu mzee alikuwa ni zawadi ya watanzania kutoka kwa Mungu.