Mwalimu Nyerere alikuwa akijiaminia nini?

Umepiga humo humo, hakuna cha maana alichofanya hapa Tanzania huwa sikioni
Huwezi kukiona kwa sababu hujui ulipotoka umedandia treni kwenda mbele. Hujui historia ya nchi yako na hilo ndio tatizo kubwa linalokusumbua. Ni sawa uende china au usa useme honi walichofanya hao founders wa nchi hizo. Labda nikusaidie kimoja tu cha maana kuliko vyote ambacho wewe kilaza hujui. Nyerere ndiye aliyeongoza kudai uhuru wa nchi hii hadi ukapatikana mwaka 1961. KAMA HATA HILO HULIONI WEWE NI KILAZA WA KIWANGO CHA RELI CHAKAVU.
 

Genetic Mara. People with ver high self esteem .
Watu hudhoofu kutokana na hofu na kutojiamini na kulamba lamba watu na ma beberu viatu.
 
Mwl hakuwai kuvaaa zile nguo za kijani
 
Sala na majitoleo, na kufunga kwa siri sio funga za kujitangaza. Kifupi alikuwa mtu wa ibada na alilindwa na Mungu
 
Kuhusu vita ya uganda ndugu yangu utamuonea bure nyerere,iddi amin aliingia misenyi hadi kyaka akisema ni sehemu ya uganda,mtu kama huyo unamfanyaje
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…