Unavoidable Servant
JF-Expert Member
- Oct 13, 2021
- 1,728
- 4,545
Ni utoto tu, ukikuwa utaacha.Aliifanyia nini sasa Tz kwa miaka 24?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni utoto tu, ukikuwa utaacha.Aliifanyia nini sasa Tz kwa miaka 24?
Huwezi kukiona kwa sababu hujui ulipotoka umedandia treni kwenda mbele. Hujui historia ya nchi yako na hilo ndio tatizo kubwa linalokusumbua. Ni sawa uende china au usa useme honi walichofanya hao founders wa nchi hizo. Labda nikusaidie kimoja tu cha maana kuliko vyote ambacho wewe kilaza hujui. Nyerere ndiye aliyeongoza kudai uhuru wa nchi hii hadi ukapatikana mwaka 1961. KAMA HATA HILO HULIONI WEWE NI KILAZA WA KIWANGO CHA RELI CHAKAVU.Umepiga humo humo, hakuna cha maana alichofanya hapa Tanzania huwa sikioni
Hiyo shiriki aliondoka nayo, hakuna aliyemrithi? Kuna viongozi wengi wanaihitaji kwa sasa!Nyerere alikuwa anaishi kwa kutegemea shiriki. Ndiyo maana alikuwa haiachi ile fimbo yake
Nyerere alikuwa anaishi kwa kutegemea shiriki. Ndiyo maana alikuwa haiachi ile fimbo yake
Huyu baba alikuwa akiwatukana wazungu mara kwa mara na kuwaita majina ya ajabu ajabu
Aliwavimbia wareno kule Angola mpaka wakasepa zao Ulaya
Akawa mwenyekiti wa nchi zilizo mstari wa mbele kupambana na kaburu kule SA
Akamvagaa mbabe Idd Amini na kumfurusha kutoka Uganda
Akastaafu akarudi kijijini akafa kifo cha kawaida kabisa
Alikuwa akilindwa na nini huyu baba,ama aliwahi kuwa komandoo
Mwl hakuwai kuvaaa zile nguo za kijaniHuyu baba alikuwa akiwatukana wazungu mara kwa mara na kuwaita majina ya ajabu ajabu
Aliwavimbia wareno kule Angola mpaka wakasepa zao Ulaya
Akawa mwenyekiti wa nchi zilizo mstari wa mbele kupambana na kaburu kule SA
Akamvagaa mbabe Idd Amini na kumfurusha kutoka Uganda
Akastaafu akarudi kijijini akafa kifo cha kawaida kabisa
Alikuwa akilindwa na nini huyu baba,ama aliwahi kuwa komandoo
Kuhusu vita ya uganda ndugu yangu utamuonea bure nyerere,iddi amin aliingia misenyi hadi kyaka akisema ni sehemu ya uganda,mtu kama huyo unamfanyajeHayo uliyoyasema kuwa aliyafanya ndio maana Tanzania hadi sasa tuko poor sababu ni yeye.Magufuli alifanana sana Nyerere kwa kiburi kisichokuwa na maana ambacho kinatokana na mawazo binafsi.
Mfano,Nyerere aliona kabisa Sera za ujamaa zinafeli na dunia inabadikika kutoka ujamaa kwenda ubepari baada ya USA kushipa power lakini kwa makusudi kabisa yeye akashikilia msimamo wake wa kijinga na mwisho wake kuifanya Tanzania Nchi fukara.
Kingine,Vita ya Uganda ili tu amulinde rafiki take Obote-alitupa hasara sana.ugomvi wa Idd amin na Tz unatokana na Nyerere kumpa hifadhi Obote-hata ungekuwa wewe ndio Idd Amin nadhani unge react tu.