Mwalimu Nyerere alikuwa mroho wa madaraka ila sio mali, Hayati Magufuli alikuwa mroho wa madaraka na mali

Mwalimu Nyerere alikuwa mroho wa madaraka ila sio mali, Hayati Magufuli alikuwa mroho wa madaraka na mali

mdukuzi

JF-Expert Member
Joined
Jan 4, 2014
Posts
20,925
Reaction score
51,688
Kuna watu huwa wananishangaza kuwafananisha hawa viongozi wawili. Wanachofanana ni kitu kimoja tu, uroho wa madaraka. Huu Muungano wa Tanganyika na Zanzibar hakuna agenda nyingine bali uroho wa madaraka, lengo likiwa kutawala nchi mbili. Tukija kwenye ishu ya kupiga marufuku uchifu hakuna kingine zaidi ya uroho wa madaraka, kupiga marufuku vyama vingi pia ni uroho tu wa madaraka, mpaka kijana wake akamuita madaraka.

Kuna mroho wa madaraka mwingine enzi hizo akiitwa Kwame Nkrumah wa Ghana, kwenye kikao cha Pan Africanism miaka ya 60 huko kidogo wazipige kavukavu na Nyerere, Kwame Nkrumah alitaka USA (United States of Africa) fasta fasta na yeye awe Rais wa hiyo State kama olivyo Biden kule USA ya America. Nyerere akawaza akaona atapoteza kiti chake maana hapa anaenda kuwa gavana, hizi nchi zote zingekuwa majimbo tu na marais wake wangekuwa magavana. Nyerere akainuka kitini akasema haiwezekani, hizi nchi zinatakiwa zijimarishe kikanda kwanza yaani regoonal intergration kama EAC,SADC,ECOWAS nk.
zitaunda hiyo USA taratibu taratibu, mjadala ilikuwa mkali kikaoni Nkrumah akazidiwa pwenti akataka kurusha ngumi, walinzi wakamdaka. Mwisho wa siku ndoto yake ikafeli akapinduliwa na kufa uhamishoni mwaka 1972.

Nyerere hakuwa mwizi, Nyerere hakuwa fisadi, Nyerere hakuwa na tamaa ya mali, kupenda kwake madaraka ni kwa vile alizaliwa kwenye familia ya kichief. Chief ni mfalme, mfalme hatoki kitini mpaka afe. Nyerere aking'atuka 1985 sio kwa kupenda bali maji yalimfika shingoni, shinikizo la wazungu lilimzidia.

Tuje kwa hayati JPM, huyu ni mroho wa madaraka, alivyokuwa akipata ubunge ni figisu hadaa na umafia wa hali ya juu. Kuzuia mikutano ya wapinzani, kutekana, nk ni uroho wa madaraka. Uroho wa mali nao si haba, akaunti yake kule China ina mabilioni kadhaa, bado kuna mabilioni yapo hapa nchini. Huo ndio utofauti wao na ufanano wao.

Kuna vitoto humu vinashangaa Lema na Lissu kukimbia nchi enzi za JPM. Ulizeni Oscar Kambona, rafiki wa karibu kabisa na Nyerere, alisomeshwa namba akajificha Uingereza miaka kibao.

Tuliosomea China tumeelewa kuwa mama Samia huwa anapita humu na kusema ningemkamata huyu mtoa mada ningemfinya mashavu
 
ANDIKO LAKO nimelisoma pamoja na Mapungufu Mengi. Kutokujua historia vizuri., Kutokusoma vitabu ni changamoto sana.

1:Hoja ya Mwalimu ilikuwa ni kuunga mkono Jumuiya kama ECOWAS, COMES A, EACOMUNITY NK.

2: Lengo la kuua ucheef lilikuwa ni
a)KUTENGENEZEA umoja wa kitaifa. b)Kuwa na KIONGOZI mmoja.
c)kupambana na Ukabila nk.

3.Historia ya Muungano ni pana mno
TUKISEMA sababu za Muungano ni ilinzi na usalama, undugu na Zanzibar, nguvu ya ukomonisti, vita za kibepari.
Tutafika kesho.


Soma vizuri Historia Ya nchi MUOGOPE SANA NYERERE.
NDIO MYANZANIA WA KWANZA KUSOMA MASTERS NJE.

NYERERE ALIKUWA MTY MKUBWA MNO.
SOMA HISTORIA YA NCHI NA NYERERE VIZURI.
 
Kuna watu huwa wananishangaza kuwafananisha hawa viongozi wawili.

Wanachofanana ni kitu kimoja tu,uroho wa madaraka,
Huu Muungano wa Tanganyika na Zanzibar hakuna agenda nyingine bali uroho wa madaraka .lengo likiwa kutawala nchi mbili,
Tukija kwenye ishu ya kupiga marufuku uchifu hakuna kingine zaidi ya uroho wa madaraka,kupiga marufuku vyama vingi pia ni uroho tu wa madaraka.mpaka kijana wake akamuita madaraka.

Kuna mroho wa madaraka mwingine enzi hizo akiitwa Kwame Nkrumah wa Ghana,
kwenye kikao cha Pan Africanism miaka ya 60 huko kidogo wazipige kavukavu na Nyerere,Kwame Nkrumah alitaka USA(United States of AFrica) fasta fasta na yeye awe Rais wa hiyo State kama olivyo Biden kule USA ya America.
Nyerere akawaza akaona atapoteza kiti chake maana hapa anaenda kuwa gavana,hizi nchi zote zingekuwa majimbo tu namarais wake wangekuwa magavana,Nyerere akainuka kitini akasema haiwezekani,hizi nchi zinatakiwazijiimarishe kwanza zitaunda hiyo USA taratibu taratibu,mjadala ilikuwa mkali kikaoni Nkrumah akaxidiwa pwenti akataka kurusha ngumi walinzi wakamdaka.
Meisho wa siku ndoto yake ikafeli akapinduliwa na kufa uhamishoni mwaka 1972

Nyerere hakuwa mwizi,Nyerere hakuwa fisadi,Nyerere akuwa na tamaa ya mali,kupenda kwake madaraka ni kwa vile alizaliwa kwenye familia ya kichief,Chief ni mfalme,mfalme hatoki kitini mpaka afe.

Nyerere aking'atuka 1985 sio kwa kupenda bali maji yalimfika shingoni.shinikizo la wazungu lilimzidia.

Tuje kwa hayati JPM huyu ni mroho wa madaraka,alivyokuwa akipata ubunge ni figisu hadaa na umafia wa hali ya juu.kuzuia mikutano ya wapinzani ,kutekana nk ni utoho wa madaraka.
Uroho wa mali nao si haba akaunti yake kule China ina mabilioni kadhaa....bado kuna mabilioni yapo hapa nchini.
Huo ndio utofauti wao na ufanano wao

Kuna vitoto humu vinashangaa Lema na Lissu kukimbia nchi enzi za Jpm.ukizeni Oscar Kambona rafiki wa karibu kabisa na Nyerere,alisomeshwa namba akajificha uingereza miaka kibao
Waislam mnajutahidi sana kushambulia viongozi wakiristu ila mnakwama sana

NYERERE hachafuliki
 
ANDIKO LAKO nimelisoma pamoja na Mapungufu Mengi. Kutokujua historia vizuri., Kutokusoma vitabu ni changamoto sana.

1:Hoja ya Mwalimu ilikuwa ni kuunga mkono Jumuiya kama ECOWAS, COMES A, EACOMUNITY NK.

2: Lengo la kuua ucheef lilikuwa ni
a)KUTENGENEZEA umoja wa kitaifa. b)Kuwa na KIONGOZI mmoja.
c)kupambana na Ukabila nk.

3.Historia ya Muungano ni pana mno
TUKISEMA sababu za Muungano ni ilinzi na usalama, undugu na Zanzibar, nguvu ya ukomonisti, vita za kibepari.
Tutafika kesho.


Soma vizuri Historia Ya nchi MUOGOPE SANA NYERERE.
NDIO MYANZANIA WA KWANZA KUSOMA MASTERS NJE.

NYERERE ALIKUWA MTY MKUBWA MNO.
SOMA HISTORIA YA NCHI NA NYERERE VIZURI.
1 .nafahamy hizo reginal intergrqtion ilikuwa ni kuogopa USA tu hakuna kingine.
2.Machifu walikuwa na nguvu na Nyerere aliogopa nguvu yao isiathiri kiti chake.
3.Muungano haukuwa na faida kwa Tanganyika zaidi ya uroho tu wa kutaka kutawala nchi mbili na uoga tu
 
Back
Top Bottom