Mwalimu Nyerere alikuwa mroho wa madaraka ila sio mali, Hayati Magufuli alikuwa mroho wa madaraka na mali

Mwalimu Nyerere alikuwa mroho wa madaraka ila sio mali, Hayati Magufuli alikuwa mroho wa madaraka na mali

Ila hii historia yako tangawizi imekolea kidogo.

Kwa miaka yangu niliyo nayo sijawahi sikia hii ya Nkrumah kutaka kuzitwanga na Nyerere kwa sababu ya USA.

Ingekuwaje USA wakati nchi nyingine (Mozambique, Angola, Nambia, Rhodesia, South Africa....) zilikuwa hazijapata uhuru?
Hicho ni kisa cha kweli fuatilia,
 
1 .nafahamy hizo reginal intergrqtion ilikuwa ni kuogopa USA tu hakuna kingine.
2.Machifu walikuwa na nguvu na Nyerere aliogopa nguvu yao isiathiri kiti chake.
3.Muungano haukuwa na faida kwa Tanganyika zaidi ya uroho tu wa kutaka kutawala nchi mbili na uoga tu
Ongezea kuvunja vyama vya ushirika (original), baadaye kuvirejesha na kuviweka chini ya makada wa TANU, kupunguza nguvu (autonomy) ya halmashauri (local governments), n.k.

Kifupi Nyerere alitaka kuwa na udhibiti kamili juu ya taasisi zote kuu za wananchi za kiutawala, kiuchumi na kijamii - hata za dini. Alikuwa na nia njema ya dhati ya kuliletea taifa maendeleo lakini kupitia one man show. Hakuwa tayari kwa mawazo mbadala wala kugawana utukufu na mtu mwingine.
 
Hata nchi kubwa kubwa watu ambao wanaonekana ni wasaliti WA nchi na wanahatarisha usalama WA nchi huwa wanaondolewa hata marekani yenyewe labda Kina lisu walikuwa haohao wasaliti.
Karne hii unakuwa na mawazo ya kuuana kisa madaraka?? Sio poa ndugu yangu,siasa zinataka akili badala ya mabavu,mbona sasa tunaishi kwa amani na nchi inakwenda,tusiuane kisa madaraka
 
Hayo yote kikwete na JK waliyafanya
Hata wakati wa kikwete watu wengi waliuawa na serikali.ila kina kikwete walishindwa kujenga ikulu Dodoma,walishindwa kuanzisha mradi WA bwawa la maji,walishindwa kuanzisha kujenga Reli ya kisasa,alileta nidhamu makazini,ufisadi ulipungua lakini sasa hivi umerudi. ni uongo kusema Magufuli alikuwa raisi muovu kuliko wote.
 
Karne hii unakuwa na mawazo ya kuuana kisa madaraka?? Sio poa ndugu yangu,siasa zinataka akili badala ya mabavu,mbona sasa tunaishi kwa amani na nchi inakwenda,tusiuane kisa madaraka
Hata sasa hivi kwenye nchi hizo kubwa mtu unaweza kuondolewa kama umeenda kinyume na mfumo.
 
Ongezea kuvunja vyama vya ushirika (original), baadaye kuvirejesha na kuviweka chini ya makada wa TANU, kupunguza nguvu (autonomy) ya halmashauri (local governments), n.k.

Kifupi Nyerere alitaka kuwa na udhibiti kamili juu ya taasisi zote kuu za wananchi za kiutawala, kiuchumi na kijamii - hata za dini. Alikuwa na nia njema ya dhati ya kuliletea taifa maendeleo lakini kupitia one man show. Hakuwa tayari kwa mawazo mbadala wala kugawana utukufu na mtu mwingine.
Uko sahihi mkuu na hapo ndio walipofanana na JPM one man show
 
Kuna watu huwa wananishangaza kuwafananisha hawa viongozi wawili. Wanachofanana ni kitu kimoja tu, uroho wa madaraka. Huu Muungano wa Tanganyika na Zanzibar hakuna agenda nyingine bali uroho wa madaraka, lengo likiwa kutawala nchi mbili. Tukija kwenye ishu ya kupiga marufuku uchifu hakuna kingine zaidi ya uroho wa madaraka, kupiga marufuku vyama vingi pia ni uroho tu wa madaraka, mpaka kijana wake akamuita madaraka.

Kuna mroho wa madaraka mwingine enzi hizo akiitwa Kwame Nkrumah wa Ghana, kwenye kikao cha Pan Africanism miaka ya 60 huko kidogo wazipige kavukavu na Nyerere, Kwame Nkrumah alitaka USA (United States of Africa) fasta fasta na yeye awe Rais wa hiyo State kama olivyo Biden kule USA ya America. Nyerere akawaza akaona atapoteza kiti chake maana hapa anaenda kuwa gavana, hizi nchi zote zingekuwa majimbo tu na marais wake wangekuwa magavana. Nyerere akainuka kitini akasema haiwezekani, hizi nchi zinatakiwa zijimarishe kwanza zitaunda hiyo USA taratibu taratibu, mjadala ilikuwa mkali kikaoni Nkrumah akazidiwa pwenti akataka kurusha ngumi, walinzi wakamdaka. Mwisho wa siku ndoto yake ikafeli akapinduliwa na kufa uhamishoni mwaka 1972.

Nyerere hakuwa mwizi, Nyerere hakuwa fisadi, Nyerere hakuwa na tamaa ya mali, kupenda kwake madaraka ni kwa vile alizaliwa kwenye familia ya kichief. Chief ni mfalme, mfalme hatoki kitini mpaka afe. Nyerere aking'atuka 1985 sio kwa kupenda bali maji yalimfika shingoni, shinikizo la wazungu lilimzidia.

Tuje kwa hayati JPM, huyu ni mroho wa madaraka, alivyokuwa akipata ubunge ni figisu hadaa na umafia wa hali ya juu. Kuzuia mikutano ya wapinzani, kutekana, nk ni uroho wa madaraka. Uroho wa mali nao si haba, akaunti yake kule China ina mabilioni kadhaa, bado kuna mabilioni yapo hapa nchini. Huo ndio utofauti wao na ufanano wao.

Kuna vitoto humu vinashangaa Lema na Lissu kukimbia nchi enzi za JPM. Ulizeni Oscar Kambona, rafiki wa karibu kabisa na Nyerere, alisomeshwa namba akajificha Uingereza miaka kibao.

Tuliosomea China tumeelewa kuwa mama Samia huwa anapita humu na kusema ningemkamata huyu mtoa mada ningemfinya mashavu
Mim siwez jisumbua na mtu ambae tayali katangulia mbele za haki.
 
Hata wakati wa kikwete watu wengi waliuawa na serikali.ila kina kikwete walishindwa kujenga ikulu Dodoma,walishindwa kuanzisha mradi WA bwawa la maji,walishindwa kuanzisha kujenga Reli ya kisasa,alileta nidhamu makazini,ufisadi ulipungua lakini sasa hivi umerudi. ni uongo kusema Magufuli alikuwa raisi muovu kuliko wote.
Kujenga ikulu dodoma sioni kama ni big deal,haina impact na maisha ya ntanzania ya kila siku,ipo kisiasa tu,Nyerere alijenga mabwawa meni sana mtera,kidatu,hale nk.reli ya Tazara nk,kikwete shule kata zote,mikopo vyuoni,ajira lukuki na kukuza demokrasia
 
Kuna watu huwa wananishangaza kuwafananisha hawa viongozi wawili. Wanachofanana ni kitu kimoja tu, uroho wa madaraka. Huu Muungano wa Tanganyika na Zanzibar hakuna agenda nyingine bali uroho wa madaraka, lengo likiwa kutawala nchi mbili. Tukija kwenye ishu ya kupiga marufuku uchifu hakuna kingine zaidi ya uroho wa madaraka, kupiga marufuku vyama vingi pia ni uroho tu wa madaraka, mpaka kijana wake akamuita madaraka.

Kuna mroho wa madaraka mwingine enzi hizo akiitwa Kwame Nkrumah wa Ghana, kwenye kikao cha Pan Africanism miaka ya 60 huko kidogo wazipige kavukavu na Nyerere, Kwame Nkrumah alitaka USA (United States of Africa) fasta fasta na yeye awe Rais wa hiyo State kama olivyo Biden kule USA ya America. Nyerere akawaza akaona atapoteza kiti chake maana hapa anaenda kuwa gavana, hizi nchi zote zingekuwa majimbo tu na marais wake wangekuwa magavana. Nyerere akainuka kitini akasema haiwezekani, hizi nchi zinatakiwa zijimarishe kwanza zitaunda hiyo USA taratibu taratibu, mjadala ilikuwa mkali kikaoni Nkrumah akazidiwa pwenti akataka kurusha ngumi, walinzi wakamdaka. Mwisho wa siku ndoto yake ikafeli akapinduliwa na kufa uhamishoni mwaka 1972.

Nyerere hakuwa mwizi, Nyerere hakuwa fisadi, Nyerere hakuwa na tamaa ya mali, kupenda kwake madaraka ni kwa vile alizaliwa kwenye familia ya kichief. Chief ni mfalme, mfalme hatoki kitini mpaka afe. Nyerere aking'atuka 1985 sio kwa kupenda bali maji yalimfika shingoni, shinikizo la wazungu lilimzidia.

Tuje kwa hayati JPM, huyu ni mroho wa madaraka, alivyokuwa akipata ubunge ni figisu hadaa na umafia wa hali ya juu. Kuzuia mikutano ya wapinzani, kutekana, nk ni uroho wa madaraka. Uroho wa mali nao si haba, akaunti yake kule China ina mabilioni kadhaa, bado kuna mabilioni yapo hapa nchini. Huo ndio utofauti wao na ufanano wao.

Kuna vitoto humu vinashangaa Lema na Lissu kukimbia nchi enzi za JPM. Ulizeni Oscar Kambona, rafiki wa karibu kabisa na Nyerere, alisomeshwa namba akajificha Uingereza miaka kibao.

Tuliosomea China tumeelewa kuwa mama Samia huwa anapita humu na kusema ningemkamata huyu mtoa mada ningemfinya mashavu
Mroho wa madaraka.
Mroho wa mali
Mroho wa damu za watu
Mroho wa mali za watu
 
Back
Top Bottom