Mwalimu Nyerere alikuwa mroho wa madaraka ila sio mali, Hayati Magufuli alikuwa mroho wa madaraka na mali

Mkuu leo pamoja na Local Government kuwepo lakini bado Central Government inainyang'a Local Government wajibu wake; sasa unadhani nini kifanyike?
 
Nyerere alitamani Afrika iwe nchi moja. Super power isiyotishwa na Marekani wala Urusi ya enzi hizo. Viongozi wengi waliopigania uhuru waliamini umoja ni nguvu. Hakutaka kuongoza Afrika kama yupo kiongozi sahihi anayelijua hilo. Alikuwa mwanamapinduzi mzalendo.
 
Kuhusu jina madaraka nilichomekea tu uko sahihi.
Lakini kuhusu machifu ukiangalia kwa jicho la tatu kulikuwa na hofu kw viongozi wa kiserikali kuzidiwa ushawishi na machifu.
Ilionekana watu wanawatii machifu kiliko wanasiasa, kupiga marufuku uchifu ilikuwa ni kujilinda tu kisiasa
 
Sawa lakini alitaka mchakato huo uchukue muda kwanza,yaani nchi zijiimarishe kipitia regional intergration,huu ilikuwa ni uoga wa kupoteza nafasi yake tu hakuna kingine,that time Nkrumah alikuwa na ushawish sana kuliko Nyerere kumbuka,na angegombea urais wa Africa angeshinda tu
 
Kwenye history ya nchi na Nyerere ngoja Mzee wetu Mohamed Said aje
 

Yote umeandika kuntu lakini hili la madaraka mimi naona ipo hivi;
Magufuli hakuwa mroho wa madaraka bali alikuwa mroho wa mali kupitia madaraka, yaani madaraka ilikuwa ni njia yake ya kujichotea mali na ndio maana aliyanajisi madaraka.

Hivyo Nyerere alipenda madaraka na Magu alipenda mali.
 
Nyerere ndio chanzo cha matatizo tuliyo nayo kama nchi.

Katiba mbovu alijitungia yeye kwa manufaa yake binafsi.

Angeacha mfumo wa wakoloni uendelee kuanzia Elimu


Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
 
Mdukuzi,unajua historia! Big up!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…