Mwalimu Nyerere alikuwa mroho wa madaraka ila sio mali, Hayati Magufuli alikuwa mroho wa madaraka na mali

Mwalimu Nyerere alikuwa mroho wa madaraka ila sio mali, Hayati Magufuli alikuwa mroho wa madaraka na mali

Mnaolipwa kijaribu kumchafua JPM sijui mnapewa shingapi, hawa wananchi wanajua sana JPM alikua ni mtu wa namna gani
Unakimbilia kichaka cha 'kulipwa'? That's so cheap. So nanyi chawa wa Jiwe(Sukuma gang) mnalipwa pia?
Wengine hatuna uhusiano au ushirika au uanachama wa chama chochote lakini maovu yaliyofanywa na yanayoendelea kufanywa lazima tuyakemee, Jiwe atanangwa kwa udhalimu wake hata vizazi vijavyo vitapata hizo habari.
 
Unakimbilia kichaka cha 'kulipwa'? That's so cheap. So nanyi chawa wa Jiwe(Sukuma gang) mnalipwa pia?
Wengine hatuna uhusiano au ushirika au uanachama wa chama chochote lakini maovu yaliyofanywa na yanayoendelea kufanywa lazima tuyakemee, Jiwe atanangwa kwa udhalimu wake hata vizazi vijavyo vitapata hizo habari.
Watu wenye Akili ndogo Kama wewe ndo mnamnanga Magufuli.
 
Unakimbilia kichaka cha 'kulipwa'? That's so cheap. So nanyi chawa wa Jiwe(Sukuma gang) mnalipwa pia?
Wengine hatuna uhusiano au ushirika au uanachama wa chama chochote lakini maovu yaliyofanywa na yanayoendelea kufanywa lazima tuyakemee, Jiwe atanangwa kwa udhalimu wake hata vizazi vijavyo vitapata hizo habari.
[emoji106][emoji106][emoji106][emoji106]
 
Kuna watu huwa wananishangaza kuwafananisha hawa viongozi wawili. Wanachofanana ni kitu kimoja tu, uroho wa madaraka. Huu Muungano wa Tanganyika na Zanzibar hakuna agenda nyingine bali uroho wa madaraka, lengo likiwa kutawala nchi mbili. Tukija kwenye ishu ya kupiga marufuku uchifu hakuna kingine zaidi ya uroho wa madaraka, kupiga marufuku vyama vingi pia ni uroho tu wa madaraka, mpaka kijana wake akamuita madaraka.

Kuna mroho wa madaraka mwingine enzi hizo akiitwa Kwame Nkrumah wa Ghana, kwenye kikao cha Pan Africanism miaka ya 60 huko kidogo wazipige kavukavu na Nyerere, Kwame Nkrumah alitaka USA (United States of Africa) fasta fasta na yeye awe Rais wa hiyo State kama olivyo Biden kule USA ya America. Nyerere akawaza akaona atapoteza kiti chake maana hapa anaenda kuwa gavana, hizi nchi zote zingekuwa majimbo tu na marais wake wangekuwa magavana. Nyerere akainuka kitini akasema haiwezekani, hizi nchi zinatakiwa zijimarishe kikanda kwanza yaani regoonal intergration kama EAC,SADC,ECOWAS nk.
zitaunda hiyo USA taratibu taratibu, mjadala ilikuwa mkali kikaoni Nkrumah akazidiwa pwenti akataka kurusha ngumi, walinzi wakamdaka. Mwisho wa siku ndoto yake ikafeli akapinduliwa na kufa uhamishoni mwaka 1972.

Nyerere hakuwa mwizi, Nyerere hakuwa fisadi, Nyerere hakuwa na tamaa ya mali, kupenda kwake madaraka ni kwa vile alizaliwa kwenye familia ya kichief. Chief ni mfalme, mfalme hatoki kitini mpaka afe. Nyerere aking'atuka 1985 sio kwa kupenda bali maji yalimfika shingoni, shinikizo la wazungu lilimzidia.

Tuje kwa hayati JPM, huyu ni mroho wa madaraka, alivyokuwa akipata ubunge ni figisu hadaa na umafia wa hali ya juu. Kuzuia mikutano ya wapinzani, kutekana, nk ni uroho wa madaraka. Uroho wa mali nao si haba, akaunti yake kule China ina mabilioni kadhaa, bado kuna mabilioni yapo hapa nchini. Huo ndio utofauti wao na ufanano wao.

Kuna vitoto humu vinashangaa Lema na Lissu kukimbia nchi enzi za JPM. Ulizeni Oscar Kambona, rafiki wa karibu kabisa na Nyerere, alisomeshwa namba akajificha Uingereza miaka kibao.

Tuliosomea China tumeelewa kuwa mama Samia huwa anapita humu na kusema ningemkamata huyu mtoa mada ningemfinya mashavu
Hahahhaa
 
Ukiangalia first paragraph utaelewa why JPM na Nyerere,
Mwinyi,Mkapa,Kikwete au Samia hakuna mtu aliyewahi kuwaita wazalendo au kuwafananisha na Nyerere,hata wenyewe walijistukia,Jk alikuwa anaogopa hata kutaja jina la Nyerere aliishia kusema 'yule Mzee '
JK alikuwa na chuki na Nyerere Hilo kwa wanaofahamu siasa za nchi hii wanafahamu na chuki hiyo ilipelekea hotuba zake kutompa heshima ya Baba wa Taifa
 
Nyerere hakuwahi kua mroho wa madaraka.
Napinga kabisa kipengele hicho.

Ila kile kipengele Cha huyu wa Jana uko sahihi.
Mambo alivyokua anawafanyiaga wapinzani wake wa ubunge jimboni kwake yanatisha.

Na alivyokua akiwafanyia wapinzani kitaifa baada ya kua Mkuu wa kaya yanatisha zaidi.
Sasa Kuna genge linamtumia Magufuli kumchafua NYERERE na wote wameegemea angle flani ambayo imejificha
 
Tanzania hakuna mfumo wa paralegal.

Mikopo iliyotolewa kwa wanafunzi kipindi chake ni sawa na mchanga katika bahari kwa pesa zilizopigwa awamu yake.

Kashfa kubwa kubwa zilikua awamu ya 4.

Epa, escrow,richmond you name it.

Watu wanajibebea masandarusi ya pesa .

Yote hayo kwakua mnanufaika nayo lazima muone ndio maisha.

Acheni fedha za wiiizi.

Hii nchi itarudi tu kwa wenyewe.

Shtukeni mapema tubuni maana ipo siku mtatoa hesabu ya kila senti.
Kati ya Marais walioharibu nchi hii ni Kikwete ndio maana mfumo ukatuletea Magufuli
 
Kikwete ni malaika mtakatifu bikira kikwete [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] wahuni wa msoga wana angaika kuzima nyota ya JPM NA NYERERE ILA WAPI ...kamwe awawezi kumfananisha MTUKUFU JPM NA CHEGOVARA WA MSOGA
Wanajitahidi sana lakini hawawezi labda waandike historia mpya lakini hata waandike hawatafanikiwa
 
1 .nafahamy hizo reginal intergrqtion ilikuwa ni kuogopa USA tu hakuna kingine.
2.Machifu walikuwa na nguvu na Nyerere aliogopa nguvu yao isiathiri kiti chake.
3.Muungano haukuwa na faida kwa Tanganyika zaidi ya uroho tu wa kutaka kutawala nchi mbili na uoga tu
You can't have USA kwa jamii tofauti.. Wazungu wamepata EU miaka kama 30 iliyopita. Nyerere alikuwa sawa kuwa na EAC ni achievable kuliko kuwa AU
 
Back
Top Bottom