Mwalimu Nyerere alikuwa mroho wa madaraka ila sio mali, Hayati Magufuli alikuwa mroho wa madaraka na mali

Mwalimu Nyerere alikuwa mroho wa madaraka ila sio mali, Hayati Magufuli alikuwa mroho wa madaraka na mali

You can't have USA kwa jamii tofauti.. Wazungu wamepata EU miaka kama 30 iliyopita. Nyerere alikuwa sawa kuwa na EAC ni achievable kuliko kuwa AU
May be siwezi kubisha maana Nyerere ilikuwa akili kubwa ila na Nkrumah nae hakuwa mjinga,sasa hatujui nani alikuwa kwa maslahi yake au ya africa
 
1 .nafahamy hizo reginal intergrqtion ilikuwa ni kuogopa USA tu hakuna kingine.
2.Machifu walikuwa na nguvu na Nyerere aliogopa nguvu yao isiathiri kiti chake.
3.Muungano haukuwa na faida kwa Tanganyika zaidi ya uroho tu wa kutaka kutawala nchi mbili na uoga tu
Nyerere ni bora angepambana burundi na rwanda kuwa sehemu ya tanganyika na sio zanzibar
 
Kuna watu huwa wananishangaza kuwafananisha hawa viongozi wawili. Wanachofanana ni kitu kimoja tu, uroho wa madaraka. Huu Muungano wa Tanganyika na Zanzibar hakuna agenda nyingine bali uroho wa madaraka, lengo likiwa kutawala nchi mbili. Tukija kwenye ishu ya kupiga marufuku uchifu hakuna kingine zaidi ya uroho wa madaraka, kupiga marufuku vyama vingi pia ni uroho tu wa madaraka, mpaka kijana wake akamuita madaraka.

Kuna mroho wa madaraka mwingine enzi hizo akiitwa Kwame Nkrumah wa Ghana, kwenye kikao cha Pan Africanism miaka ya 60 huko kidogo wazipige kavukavu na Nyerere, Kwame Nkrumah alitaka USA (United States of Africa) fasta fasta na yeye awe Rais wa hiyo State kama olivyo Biden kule USA ya America. Nyerere akawaza akaona atapoteza kiti chake maana hapa anaenda kuwa gavana, hizi nchi zote zingekuwa majimbo tu na marais wake wangekuwa magavana. Nyerere akainuka kitini akasema haiwezekani, hizi nchi zinatakiwa zijimarishe kikanda kwanza yaani regoonal intergration kama EAC,SADC,ECOWAS nk.
zitaunda hiyo USA taratibu taratibu, mjadala ilikuwa mkali kikaoni Nkrumah akazidiwa pwenti akataka kurusha ngumi, walinzi wakamdaka. Mwisho wa siku ndoto yake ikafeli akapinduliwa na kufa uhamishoni mwaka 1972.

Nyerere hakuwa mwizi, Nyerere hakuwa fisadi, Nyerere hakuwa na tamaa ya mali, kupenda kwake madaraka ni kwa vile alizaliwa kwenye familia ya kichief. Chief ni mfalme, mfalme hatoki kitini mpaka afe. Nyerere aking'atuka 1985 sio kwa kupenda bali maji yalimfika shingoni, shinikizo la wazungu lilimzidia.

Tuje kwa hayati JPM, huyu ni mroho wa madaraka, alivyokuwa akipata ubunge ni figisu hadaa na umafia wa hali ya juu. Kuzuia mikutano ya wapinzani, kutekana, nk ni uroho wa madaraka. Uroho wa mali nao si haba, akaunti yake kule China ina mabilioni kadhaa, bado kuna mabilioni yapo hapa nchini. Huo ndio utofauti wao na ufanano wao.

Kuna vitoto humu vinashangaa Lema na Lissu kukimbia nchi enzi za JPM. Ulizeni Oscar Kambona, rafiki wa karibu kabisa na Nyerere, alisomeshwa namba akajificha Uingereza miaka kibao.

Tuliosomea China tumeelewa kuwa mama Samia huwa anapita humu na kusema ningemkamata huyu mtoa mada ningemfinya mashavu
Kila nikikumbuka Magufuli alitaka mitaala ibadilishwe ili asomwe yeye katika historia, yule mzee hakufaa awepo ikulu hata kwa mwezi mmoja
 
2025 mtapigwa kama ngoma wapumbavu nyie!

Si mmejisalimisha ccm kwa jina la maridhiano
MWENDAZAKE MASALIA lazima mjifariji hivyo!!kwani mlinufaika sana na siasa zile za kishamba!!sasa mama emewachinjia baharini!!2024/25 kwenye s/mitaa na ubunge hamtaamini kitakachotokea!!bunge sasa hivi halina mvuto kabisa,bunge sasa lipo mtaani hapo ndipo patamu
 
Kila nikikumbuka Magufuli alitaka mitaala ibadilishwe ili asomwe yeye katika historia, yule mzee hakufaa awepo ikulu hata kwa mwezi mmoja
Jamaa ilikuwa kituko kweli ,urais wenyewe aliupata KIMAZABE MAZABE tu,je angekuwa ni kama kina MANDELA,NKRUMA,MUGABE!!waliopata tabu kweli kupigania uhuru ingekuwaje?? Nchi angeiita jina lake kabisa!!!
 
Kila nikikumbuka Magufuli alitaka mitaala ibadilishwe ili asomwe yeye katika historia, yule mzee hakufaa awepo ikulu hata kwa mwezi mmoja
Nyie wapinzani mbona hamna Akili magufuli alitaka historia ya Tanzania ifundishwe jambo ambalo ni sahihi ebu jaribuni kutumia Akili hadharani.
 
Wewe unataka kujibiwa Kwa facts wakati hujatoa facts.ukitoa Pumba unajibiwa Kwa Pumba.
I don't blame you, depression huathiri afya ya akili. Baada ya ile mirija ya Sukuma gang kuzibwa na real hustlers kurudi kwenye nafasi yao ya kupigana vita vya utafutaji rizki bila ya kuhofia kuporwa fedha na mali zao wanazozitafuta kwa jasho na taskforce uchwara pamoja na ile mijibwa 'wasiojulikana' mmedhoofika kabisa kwa kuwa hamna tena ile power ya kupora na kudhulimu.
Nchi imerudi kwenye ustaarabu halisi wa Kitanzania.
 
Kuna watu huwa wananishangaza kuwafananisha hawa viongozi wawili. Wanachofanana ni kitu kimoja tu, uroho wa madaraka. Huu Muungano wa Tanganyika na Zanzibar hakuna agenda nyingine bali uroho wa madaraka, lengo likiwa kutawala nchi mbili. Tukija kwenye ishu ya kupiga marufuku uchifu hakuna kingine zaidi ya uroho wa madaraka, kupiga marufuku vyama vingi pia ni uroho tu wa madaraka, mpaka kijana wake akamuita madaraka.

Kuna mroho wa madaraka mwingine enzi hizo akiitwa Kwame Nkrumah wa Ghana, kwenye kikao cha Pan Africanism miaka ya 60 huko kidogo wazipige kavukavu na Nyerere, Kwame Nkrumah alitaka USA (United States of Africa) fasta fasta na yeye awe Rais wa hiyo State kama olivyo Biden kule USA ya America. Nyerere akawaza akaona atapoteza kiti chake maana hapa anaenda kuwa gavana, hizi nchi zote zingekuwa majimbo tu na marais wake wangekuwa magavana. Nyerere akainuka kitini akasema haiwezekani, hizi nchi zinatakiwa zijimarishe kikanda kwanza yaani regoonal intergration kama EAC,SADC,ECOWAS nk.
zitaunda hiyo USA taratibu taratibu, mjadala ilikuwa mkali kikaoni Nkrumah akazidiwa pwenti akataka kurusha ngumi, walinzi wakamdaka. Mwisho wa siku ndoto yake ikafeli akapinduliwa na kufa uhamishoni mwaka 1972.

Nyerere hakuwa mwizi, Nyerere hakuwa fisadi, Nyerere hakuwa na tamaa ya mali, kupenda kwake madaraka ni kwa vile alizaliwa kwenye familia ya kichief. Chief ni mfalme, mfalme hatoki kitini mpaka afe. Nyerere aking'atuka 1985 sio kwa kupenda bali maji yalimfika shingoni, shinikizo la wazungu lilimzidia.

Tuje kwa hayati JPM, huyu ni mroho wa madaraka, alivyokuwa akipata ubunge ni figisu hadaa na umafia wa hali ya juu. Kuzuia mikutano ya wapinzani, kutekana, nk ni uroho wa madaraka. Uroho wa mali nao si haba, akaunti yake kule China ina mabilioni kadhaa, bado kuna mabilioni yapo hapa nchini. Huo ndio utofauti wao na ufanano wao.

Kuna vitoto humu vinashangaa Lema na Lissu kukimbia nchi enzi za JPM. Ulizeni Oscar Kambona, rafiki wa karibu kabisa na Nyerere, alisomeshwa namba akajificha Uingereza miaka kibao.

Tuliosomea China tumeelewa kuwa mama Samia huwa anapita humu na kusema ningemkamata huyu mtoa mada ningemfinya mashavu
Ndiyo maana alimuweka mpwa pale kwenye chungu.
 
Nyie wapinzani mbona hamna Akili magufuli alitaka historia ya Tanzania ifundishwe jambo ambalo ni sahihi ebu jaribuni kutumia Akili hadharani.
-Angekubali kwenye hiyo historia(the real history) pawepo na topic ya kwamba alituma wasiojulikana wakamuue Lissu lakini zoezi likafeli?
-Angekubali kwenye hiyo historia ifundishwe topic ya kwamba Ben Saanane alihoji uhalali wa PHD yake akidai ya kuwa ni PHD feki lakini ikabidi amuue na kuhakikisha maiti yake haionekani?

Au alitaka pawekwe uongo ili asifiwe yeye huku mabaya yake yakifichwa? Only his side/version of the 'history'?.
 
Kuna watu huwa wananishangaza kuwafananisha hawa viongozi wawili. Wanachofanana ni kitu kimoja tu, uroho wa madaraka. Huu Muungano wa Tanganyika na Zanzibar hakuna agenda nyingine bali uroho wa madaraka, lengo likiwa kutawala nchi mbili. Tukija kwenye ishu ya kupiga marufuku uchifu hakuna kingine zaidi ya uroho wa madaraka, kupiga marufuku vyama vingi pia ni uroho tu wa madaraka, mpaka kijana wake akamuita madaraka.

Kuna mroho wa madaraka mwingine enzi hizo akiitwa Kwame Nkrumah wa Ghana, kwenye kikao cha Pan Africanism miaka ya 60 huko kidogo wazipige kavukavu na Nyerere, Kwame Nkrumah alitaka USA (United States of Africa) fasta fasta na yeye awe Rais wa hiyo State kama olivyo Biden kule USA ya America. Nyerere akawaza akaona atapoteza kiti chake maana hapa anaenda kuwa gavana, hizi nchi zote zingekuwa majimbo tu na marais wake wangekuwa magavana. Nyerere akainuka kitini akasema haiwezekani, hizi nchi zinatakiwa zijimarishe kikanda kwanza yaani regoonal intergration kama EAC,SADC,ECOWAS nk.
zitaunda hiyo USA taratibu taratibu, mjadala ilikuwa mkali kikaoni Nkrumah akazidiwa pwenti akataka kurusha ngumi, walinzi wakamdaka. Mwisho wa siku ndoto yake ikafeli akapinduliwa na kufa uhamishoni mwaka 1972.

Nyerere hakuwa mwizi, Nyerere hakuwa fisadi, Nyerere hakuwa na tamaa ya mali, kupenda kwake madaraka ni kwa vile alizaliwa kwenye familia ya kichief. Chief ni mfalme, mfalme hatoki kitini mpaka afe. Nyerere aking'atuka 1985 sio kwa kupenda bali maji yalimfika shingoni, shinikizo la wazungu lilimzidia.

Tuje kwa hayati JPM, huyu ni mroho wa madaraka, alivyokuwa akipata ubunge ni figisu hadaa na umafia wa hali ya juu. Kuzuia mikutano ya wapinzani, kutekana, nk ni uroho wa madaraka. Uroho wa mali nao si haba, akaunti yake kule China ina mabilioni kadhaa, bado kuna mabilioni yapo hapa nchini. Huo ndio utofauti wao na ufanano wao.

Kuna vitoto humu vinashangaa Lema na Lissu kukimbia nchi enzi za JPM. Ulizeni Oscar Kambona, rafiki wa karibu kabisa na Nyerere, alisomeshwa namba akajificha Uingereza miaka kibao.

Tuliosomea China tumeelewa kuwa mama Samia huwa anapita humu na kusema ningemkamata huyu mtoa mada ningemfinya mashavu
"The media is the most powerful entity on earth. They have the power to make the innocent guilty and to make the guilty innocent, and that is power. Because they control the minds of the masses."


WEWE NI UMBWA KABISA
 
I don't blame you, depression huathiri afya ya akili. Baada ya ile mirija ya Sukuma gang kuzibwa na real hustlers kurudi kwenye nafasi yao ya kupigana vita vya utafutaji rizki bila ya kuhofia kuporwa fedha na mali zao wanazozitafuta kwa jasho na taskforce uchwara pamoja na ile mijibwa 'wasiojulikana' mmedhoofika kabisa kwa kuwa hamna tena ile power ya kupora na kudhulimu.
Nchi imerudi kwenye ustaarabu halisi wa Kitanzania.
Mimi hata sio kusuma gang Kwanza hakuna kitu kama kusuma gang.mimi najaribu kuwaelewesha nyie ambao hamtumii Akili.
 
Hata wakati wa kikwete watu wengi waliuawa na serikali.ila kina kikwete walishindwa kujenga ikulu Dodoma,walishindwa kuanzisha mradi WA bwawa la maji,walishindwa kuanzisha kujenga Reli ya kisasa,alileta nidhamu makazini,ufisadi ulipungua lakini sasa hivi umerudi. ni uongo kusema Magufuli alikuwa raisi muovu kuliko wote.
hebu thibitisha basi ni nani na nani walipotea katika mazingira ya kutatanisha, lazima utakuwa unayajua majina yao ndiyo ukasema hivyo.

Pili, Dodoma na mradi wa bwawa havikuwa na kipaumbele katika awamu ziizopita na wala havikuwemo katika ilaani ya uchaguzi (au vilikuwepo? maana sikumbuki).

Kuhusu SGR unadhani feasibility study ilifanyika wakati gani hata ikawa tayari kujengwa wakati wa JPM?

Hebu tupunguze kidogo
 
Weka evidence za hizo account kuwa ni zake.Magufuli alichukia wapinzani uchwara tu.Magufuli hachafuliki na hasahauliki mtaendelea kumkumbuka hata kwenye makaburi yenu mkiona Reli ya kisasa,mabwawa na mengineyo mengi aliyoyafanya.
Wapinzani halali Tanzania ni akina nani?Unataka kuniambia Shibuda,Cheyo na Mrema ni wapinzani halali?
 
Back
Top Bottom