Mwalimu Nyerere alikuwa mroho wa madaraka ila sio mali, Hayati Magufuli alikuwa mroho wa madaraka na mali

Mwalimu Nyerere alikuwa mroho wa madaraka ila sio mali, Hayati Magufuli alikuwa mroho wa madaraka na mali

Kisiasa bado hakuna chama ambacho kinauwezo WA kuitoa CCM madarakani hata wakati wa magufuli.lakini huenda kulikuwa na Jambo lingine kubwa ambalo lilisababisha hao wanaojiita wapinzani kuumia enzi hizo.hawakuwa na uwezo wa kuitoa CCM madarakani.
Kumbe kinachokuuma ni utaratibu wa kuiondoa ccm madarakani?Umuhimu wako na Watanzania wengine huuangilii?Wewe kazi yako ni kuangalia usalama wa Chama na siyo usalama wa nchi na wananchi wake kwa ujumla?
 
Mimi hata sio kusuma gang Kwanza hakuna kitu kama kusuma gang.mimi najaribu kuwaelewesha nyie ambao hamtumii Akili.
Sukuma ipo na isingekuwepo au kama usingekuwa unaifahamu ungeishangaa ni kitu gani lakini kile kitendo kukana kwamba haujihusishi au si miongoni mwa hao Sukuma gang it means unatambua uwepo wa hiyo click lakini unachokataa ni kuwa miongoni mwao.
 
ANDIKO LAKO nimelisoma pamoja na Mapungufu Mengi. Kutokujua historia vizuri., Kutokusoma vitabu ni changamoto sana.

1:Hoja ya Mwalimu ilikuwa ni kuunga mkono Jumuiya kama ECOWAS, COMES A, EACOMUNITY NK.

2: Lengo la kuua ucheef lilikuwa ni
a)KUTENGENEZEA umoja wa kitaifa. b)Kuwa na KIONGOZI mmoja.
c)kupambana na Ukabila nk.

3.Historia ya Muungano ni pana mno
TUKISEMA sababu za Muungano ni ilinzi na usalama, undugu na Zanzibar, nguvu ya ukomonisti, vita za kibepari.
Tutafika kesho.


Soma vizuri Historia Ya nchi MUOGOPE SANA NYERERE.
NDIO MYANZANIA WA KWANZA KUSOMA MASTERS NJE.

NYERERE ALIKUWA MTY MKUBWA MNO.
SOMA HISTORIA YA NCHI NA NYERERE VIZURI.
Mkuu nakubaliana nawe, lakini nataka nijazie nyama kidogo. Mwalimu alikuwa mtu wa maono; Muungano wa Tanganyika na Zanzibar aliufanya, pamoja na sababu zingine tunazojua lakini yeye alilenga zaidi wakoloni na waarabu wasije kuweka base pale Zanzibar. Ili Tanganyika iwe huru na usalama ni lazima Tanganyika na Zanzibar iwe Nchi moja.

Mwalimu aliona mbali. Leo Nchi kubwa Duniani, zinatafuta urafiki na
nchi ndogo ndogo zilizopo karibu na adui yake kwa ajili ya kuweka base ya ulinzi kwa nchi yake. Tunamuona Mmerikani anavyo zungukia vinchi vilivyo pakana na Mrusi, Mchina anavyo hangaika na Japan na Hong Kong sababu za kiulinzi. Hivyo JKN alikuwa na maono ya miaka mingi ijayo. Ndio maana waelewa wakampatia jina la kumuenzi kwa kazi zake zilizo tukuka "BABA WA TAIFA"
 
Kuna watu huwa wananishangaza kuwafananisha hawa viongozi wawili. Wanachofanana ni kitu kimoja tu, uroho wa madaraka. Huu Muungano wa Tanganyika na Zanzibar hakuna agenda nyingine bali uroho wa madaraka, lengo likiwa kutawala nchi mbili. Tukija kwenye ishu ya kupiga marufuku uchifu hakuna kingine zaidi ya uroho wa madaraka, kupiga marufuku vyama vingi pia ni uroho tu wa madaraka, mpaka kijana wake akamuita madaraka.

Kuna mroho wa madaraka mwingine enzi hizo akiitwa Kwame Nkrumah wa Ghana, kwenye kikao cha Pan Africanism miaka ya 60 huko kidogo wazipige kavukavu na Nyerere, Kwame Nkrumah alitaka USA (United States of Africa) fasta fasta na yeye awe Rais wa hiyo State kama olivyo Biden kule USA ya America. Nyerere akawaza akaona atapoteza kiti chake maana hapa anaenda kuwa gavana, hizi nchi zote zingekuwa majimbo tu na marais wake wangekuwa magavana. Nyerere akainuka kitini akasema haiwezekani, hizi nchi zinatakiwa zijimarishe kikanda kwanza yaani regoonal intergration kama EAC,SADC,ECOWAS nk.
zitaunda hiyo USA taratibu taratibu, mjadala ilikuwa mkali kikaoni Nkrumah akazidiwa pwenti akataka kurusha ngumi, walinzi wakamdaka. Mwisho wa siku ndoto yake ikafeli akapinduliwa na kufa uhamishoni mwaka 1972.

Nyerere hakuwa mwizi, Nyerere hakuwa fisadi, Nyerere hakuwa na tamaa ya mali, kupenda kwake madaraka ni kwa vile alizaliwa kwenye familia ya kichief. Chief ni mfalme, mfalme hatoki kitini mpaka afe. Nyerere aking'atuka 1985 sio kwa kupenda bali maji yalimfika shingoni, shinikizo la wazungu lilimzidia.

Tuje kwa hayati JPM, huyu ni mroho wa madaraka, alivyokuwa akipata ubunge ni figisu hadaa na umafia wa hali ya juu. Kuzuia mikutano ya wapinzani, kutekana, nk ni uroho wa madaraka. Uroho wa mali nao si haba, akaunti yake kule China ina mabilioni kadhaa, bado kuna mabilioni yapo hapa nchini. Huo ndio utofauti wao na ufanano wao.

Kuna vitoto humu vinashangaa Lema na Lissu kukimbia nchi enzi za JPM. Ulizeni Oscar Kambona, rafiki wa karibu kabisa na Nyerere, alisomeshwa namba akajificha Uingereza miaka kibao.

Tuliosomea China tumeelewa kuwa mama Samia huwa anapita humu na kusema ningemkamata huyu mtoa mada ningemfinya mashavu
Unamuongelea Nyerere ambaye hujawahi kumuona wala kumsikia, ila kwa kumsoma tu vitabuni.
Una kalaana fulani.
 
Kuna watu huwa wananishangaza kuwafananisha hawa viongozi wawili. Wanachofanana ni kitu kimoja tu, uroho wa madaraka. Huu Muungano wa Tanganyika na Zanzibar hakuna agenda nyingine bali uroho wa madaraka, lengo likiwa kutawala nchi mbili. Tukija kwenye ishu ya kupiga marufuku uchifu hakuna kingine zaidi ya uroho wa madaraka, kupiga marufuku vyama vingi pia ni uroho tu wa madaraka, mpaka kijana wake akamuita madaraka.

Kuna mroho wa madaraka mwingine enzi hizo akiitwa Kwame Nkrumah wa Ghana, kwenye kikao cha Pan Africanism miaka ya 60 huko kidogo wazipige kavukavu na Nyerere, Kwame Nkrumah alitaka USA (United States of Africa) fasta fasta na yeye awe Rais wa hiyo State kama olivyo Biden kule USA ya America. Nyerere akawaza akaona atapoteza kiti chake maana hapa anaenda kuwa gavana, hizi nchi zote zingekuwa majimbo tu na marais wake wangekuwa magavana. Nyerere akainuka kitini akasema haiwezekani, hizi nchi zinatakiwa zijimarishe kikanda kwanza yaani regoonal intergration kama EAC,SADC,ECOWAS nk.
zitaunda hiyo USA taratibu taratibu, mjadala ilikuwa mkali kikaoni Nkrumah akazidiwa pwenti akataka kurusha ngumi, walinzi wakamdaka. Mwisho wa siku ndoto yake ikafeli akapinduliwa na kufa uhamishoni mwaka 1972.

Nyerere hakuwa mwizi, Nyerere hakuwa fisadi, Nyerere hakuwa na tamaa ya mali, kupenda kwake madaraka ni kwa vile alizaliwa kwenye familia ya kichief. Chief ni mfalme, mfalme hatoki kitini mpaka afe. Nyerere aking'atuka 1985 sio kwa kupenda bali maji yalimfika shingoni, shinikizo la wazungu lilimzidia.

Tuje kwa hayati JPM, huyu ni mroho wa madaraka, alivyokuwa akipata ubunge ni figisu hadaa na umafia wa hali ya juu. Kuzuia mikutano ya wapinzani, kutekana, nk ni uroho wa madaraka. Uroho wa mali nao si haba, akaunti yake kule China ina mabilioni kadhaa, bado kuna mabilioni yapo hapa nchini. Huo ndio utofauti wao na ufanano wao.

Kuna vitoto humu vinashangaa Lema na Lissu kukimbia nchi enzi za JPM. Ulizeni Oscar Kambona, rafiki wa karibu kabisa na Nyerere, alisomeshwa namba akajificha Uingereza miaka kibao.

Tuliosomea China tumeelewa kuwa mama Samia huwa anapita humu na kusema ningemkamata huyu mtoa mada ningemfinya mashavu
Lakini Sasa Tunamshukuru Mungu tuna kiongozi mwenye hofu ya Mungu asiependa kuona wananchi wake wanateseka katika vitu watanzania tunatakiwa kuungana na kumshukuru Mungu kila siku ni kumpata kiongozi kama Rais Samia Suluhu ambaye anasimamia haki, Sheria na katiba ya nchi
 
Kijana acha upotoshaji wa makusudi/kutokujua Nyerere kuondoa mfumo wa kichifu haikuwa hoja yake ilikuwa hoja ya Afrika nzima ukiwemo Kabaka system kule Uganda maana machifu kabla ya uhuru kwenye maeneo yao walikuwa na limitless power na waliendelea hivyo hata baada ya uhuru,viongozi wa kitaifa walikosa ushawishi mbele ya machifu ili kuleta umoja wa kitaifa mfumo wa kichifu uliondolewa.
Upotoshaji mwingine ni juu ya jina la mtoto wa Nyerere "Madaraka" halikutokana na Nyerere kuwa mroho wa madaraka ila jina limetokana na watu waliozaliwa mwaka 1962 ambapo madaraka yalipelekwa mikoani(decentralization)maana baada ya uhuru mfumo ulikuwa centralized,ambapo Nyerere alikuwa anafanya maamzi ya kila kitu,kabla ya 1962 wakuu wa wilaya na mikoa walikuwepo lakini hawakuwa na uwezo wa kutoa maamzi isipokuwa Nyerere mwenyewe,kwa kifupi serikali za mitaa zilianza muda huo(madaraka mikoani)
 
Back
Top Bottom