Mwalimu Nyerere alikuwa mroho wa madaraka ila sio mali, Hayati Magufuli alikuwa mroho wa madaraka na mali

Mwalimu Nyerere alikuwa mroho wa madaraka ila sio mali, Hayati Magufuli alikuwa mroho wa madaraka na mali

Mkuu watu wanakusubiri
Chozi...
Naomba niweke kitu hapa:

''Wakati nikifundisha Minaki nilijiandikisha katika Woolssey Hall College ya London, Uingereza ili kupata masomo kwa njia ya Posta .

Masomo hayo pamoja na cheti nilichopata cha London Matriculation ndivvyo vilivyoniwezesha kukuballiwa kupata Scholarship Ya British Council mwaka 1950 kwenda kwenye Chuo Kikuu cha Edinburgh, Scotland, Uingereza.

Huko Edinburgh nilisoma kwa miaka mitatu na kupata degree yangu ya M.A katika masomo yafuatayo:- Political Economy,Economy History,British History,Constitutional Law, Botanical Science,Moral Philosophy na English Literature. Mwaka 1954 nikarudi nyumbani na kwenda Minaki kuendelea kufundisha wakati huo nikiwa makamu wa mkuu wa chuo.

Niliporudi mwaka 1954 nilikuta chama cha siasa cha TANU (Tanganyika African National Union) kimekwisha kuanzishwa, kwa hiyo nikajiunga nacho na nikachaguliwa kuwa mwenyekiti wa Tawi la TANU Wilaya ya Kisarawe.''

John Keto

JOHN%2BKETO.jpg

Waliosimama wa nne kulia ni John Keto University of Edinburgh 1953​
 
Mkuu watu wanakusubiri
Chozi...
Naomba niweke kitu hapa:

''Wakati nikifundisha Minaki nilijiandikisha katika Woolssey Hall College ya London, Uingereza ili kupata masomo kwa njia ya Posta .

Masomo hayo pamoja na cheti nilichopata cha London Matriculation ndivvyo vilivyoniwezesha kukuballiwa kupata Scholarship Ya British Council mwaka 1950 kwenda kwenye Chuo Kikuu cha Edinburgh, Scotland, Uingereza.

Huko Edinburgh nilisoma kwa miaka mitatu na kupata degree yangu ya M.A katika masomo yafuatayo:- Political Economy, Economy History, British History, Constitutional Law, Botanical Science, Moral Philosophy na English Literature.

Mwaka 1954 nikarudi nyumbani na kwenda Minaki kuendelea kufundisha wakati huo nikiwa makamu wa mkuu wa chuo.

Niliporudi mwaka 1954 nilikuta chama cha siasa cha TANU (Tanganyika African National Union) kimekwisha kuanzishwa, kwa hiyo nikajiunga nacho na nikachaguliwa kuwa mwenyekiti wa Tawi la TANU Wilaya ya Kisarawe.''
John Keto

JOHN%2BKETO.jpg

Waliosimama wa nne kulia ni John Keto​
Wa
 
Chozi...
Naomba niweke kitu hapa:

''Wakati nikifundisha Minaki nilijiandikisha katika Woolssey Hall College ya London, Uingereza ili kupata masomo kwa njia ya Posta .

Masomo hayo pamoja na cheti nilichopata cha London Matriculation ndivvyo vilivyoniwezesha kukuballiwa kupata Scholarship Ya British Council mwaka 1950 kwenda kwenye Chuo Kikuu cha Edinburgh, Scotland, Uingereza.

Huko Edinburgh nilisoma kwa miaka mitatu na kupata degree yangu ya M.A katika masomo yafuatayo:- Political Economy, Economy History, British History, Constitutional Law, Botanical Science, Moral Philosophy na English Literature.

Mwaka 1954 nikarudi nyumbani na kwenda Minaki kuendelea kufundisha wakati huo nikiwa makamu wa mkuu wa chuo.

Niliporudi mwaka 1954 nilikuta chama cha siasa cha TANU (Tanganyika African National Union) kimekwisha kuanzishwa, kwa hiyo nikajiunga nacho na nikachaguliwa kuwa mwenyekiti wa Tawi la TANU Wilaya ya Kisarawe.''
John Keto

JOHN%2BKETO.jpg

Waliosimama wa nne kulia ni John Keto​
Wa
Mkuu vijana wa leo wanapaswa wasome historia kama hizi. Enzi hizo wasomi wenye elimu ya juu walipenda kuendelea kuwa Waalimu kwenye Shule na Vyuo Vikuu ili kuendelea kuzalisha wasomi bora kwa manufaa ya Nchi. Leo, wengi wa wasomi wa ngazi hiyo hawapendi kufundisha vyuoni wanakimbilia Kwenye Siasa na hasa Ubunge. Wakati mwingine unashikwa na butwa unapomkuta msomi wa Udaktari wa Binadamu, kabukua miaka 7 Chuo badala aendelee na fani yake, aidha akafundishe Vyuoni ili akawatengenezi wasomi wengi kama yeye au aendelee na utabibu wake ili atoe huduma yake ya utabibu kwa wahitaji, yeye anamua kwenda kwenye Siasa. Anakuwa katika mijadala na watu wa darasa la 7 au form V1 eti naye anachangia hoja. Ifikie mahali Serikali ilioni hii kwa jicho la TATU
 
Yote umeandika kuntu lakini hili la madaraka mimi naona ipo hivi;
Magufuli hakuwa mroho wa madaraka bali alikuwa mroho wa mali kupitia madaraka, yaani madaraka ilikuwa ni njia yake ya kujichotea mali na ndio maana aliyanajisi madaraka.

Hivyo Nyerere alipenda madaraka na Magu alipenda mali.
Jiwe alipenda vyote, mali pamoja na madaraka. Madaraka yalimuwezesha kuua anayetaka kumuua, kutesa anaotaka kutesa na kupoteza anaotaka wapotee na huko kwenye uroho wa mali ndiyo balaa zaidi yaani kampuni yake ya Mayanga construction ilikuwa ikila tenders si mchezo bado zile za plea bargain zilizohufadhiwa kwenye mabenki ya ughaibuni. Lile jibwa lilikuwa ni jizi kinoma.
 
Kuna watu huwa wananishangaza kuwafananisha hawa viongozi wawili. Wanachofanana ni kitu kimoja tu, uroho wa madaraka. Huu Muungano wa Tanganyika na Zanzibar hakuna agenda nyingine bali uroho wa madaraka, lengo likiwa kutawala nchi mbili. Tukija kwenye ishu ya kupiga marufuku uchifu hakuna kingine zaidi ya uroho wa madaraka, kupiga marufuku vyama vingi pia ni uroho tu wa madaraka, mpaka kijana wake akamuita madaraka.

Kuna mroho wa madaraka mwingine enzi hizo akiitwa Kwame Nkrumah wa Ghana, kwenye kikao cha Pan Africanism miaka ya 60 huko kidogo wazipige kavukavu na Nyerere, Kwame Nkrumah alitaka USA (United States of Africa) fasta fasta na yeye awe Rais wa hiyo State kama olivyo Biden kule USA ya America. Nyerere akawaza akaona atapoteza kiti chake maana hapa anaenda kuwa gavana, hizi nchi zote zingekuwa majimbo tu na marais wake wangekuwa magavana. Nyerere akainuka kitini akasema haiwezekani, hizi nchi zinatakiwa zijimarishe kikanda kwanza yaani regoonal intergration kama EAC,SADC,ECOWAS nk.
zitaunda hiyo USA taratibu taratibu, mjadala ilikuwa mkali kikaoni Nkrumah akazidiwa pwenti akataka kurusha ngumi, walinzi wakamdaka. Mwisho wa siku ndoto yake ikafeli akapinduliwa na kufa uhamishoni mwaka 1972.

Nyerere hakuwa mwizi, Nyerere hakuwa fisadi, Nyerere hakuwa na tamaa ya mali, kupenda kwake madaraka ni kwa vile alizaliwa kwenye familia ya kichief. Chief ni mfalme, mfalme hatoki kitini mpaka afe. Nyerere aking'atuka 1985 sio kwa kupenda bali maji yalimfika shingoni, shinikizo la wazungu lilimzidia.

Tuje kwa hayati JPM, huyu ni mroho wa madaraka, alivyokuwa akipata ubunge ni figisu hadaa na umafia wa hali ya juu. Kuzuia mikutano ya wapinzani, kutekana, nk ni uroho wa madaraka. Uroho wa mali nao si haba, akaunti yake kule China ina mabilioni kadhaa, bado kuna mabilioni yapo hapa nchini. Huo ndio utofauti wao na ufanano wao.

Kuna vitoto humu vinashangaa Lema na Lissu kukimbia nchi enzi za JPM. Ulizeni Oscar Kambona, rafiki wa karibu kabisa na Nyerere, alisomeshwa namba akajificha Uingereza miaka kibao.

Tuliosomea China tumeelewa kuwa mama Samia huwa anapita humu na kusema ningemkamata huyu mtoa mada ningemfinya mashavu
Nyerere alitawazwa kuwa Waziri Mkuu wa Tanganyika tarehe 9 Desemba 1961. Miezi miwili baadaye akaachia ngazi na kumpisha Rashidi Kawawa kuwa Waziri Mkuu wakati yeye alirudi kufanya kazi ya Chama cha TANU, kukiimarisha. Alibakia kwenye Chama hadi tarehe 9 Desemba 1962, Tanganyika ilipobadilika na kuwa Jamhuri, ndipo akarudi madarakani na kuwa Rais.
Jee, kuachia madaraka ya Waziri Mkuu kwa karibu mwaka mzima ni uroho wa madaraka?
Nyerere ni mzawa wa ukoo wa kichifu. Hivyo, alikuwa kwenye mstari wa kuwa chifu siku za usoni, sawa na mfalme wa sasa wa Uingereza aliyesuburu zaidi ya miaka 70 kuja kuupata ufalme. Akiwa Rais wa Tanganyika, Nyerere alifutilia mbali mambo ya uchifu mwaka 1963. Hoja yake ilikuwa kwamba mtu apewe madaraka kwa kustahili kwake na siyo kwa kuwa amezaliwa kwenye ukoo fulani.
Jee, kufuta huko kwa uchifu ni uroho wa madaraka wa Nyerere?
 
ANDIKO LAKO nimelisoma pamoja na Mapungufu Mengi. Kutokujua historia vizuri., Kutokusoma vitabu ni changamoto sana.

1:Hoja ya Mwalimu ilikuwa ni kuunga mkono Jumuiya kama ECOWAS, COMES A, EACOMUNITY NK.

2: Lengo la kuua ucheef lilikuwa ni
a)KUTENGENEZEA umoja wa kitaifa. b)Kuwa na KIONGOZI mmoja.
c)kupambana na Ukabila nk.

3.Historia ya Muungano ni pana mno
TUKISEMA sababu za Muungano ni ilinzi na usalama, undugu na Zanzibar, nguvu ya ukomonisti, vita za kibepari.
Tutafika kesho.


Soma vizuri Historia Ya nchi MUOGOPE SANA NYERERE.
NDIO MYANZANIA WA KWANZA KUSOMA MASTERS NJE.

NYERERE ALIKUWA MTY MKUBWA MNO.
SOMA HISTORIA YA NCHI NA NYERERE VIZURI.
Pamoja na mazuri yoooooote! Muungano na Mwenge, pamoja na uzuri wake, kwa sasa tufanye yaishe tu.

Sent from my SM-G977B using JamiiForums mobile app
 
Nyerere alitawazwa kuwa Waziri Mkuu wa Tanganyika tarehe 9 Desemba 1961. Miezi miwili baadaye akaachia ngazi na kumpisha Rashidi Kawawa kuwa Waziri Mkuu wakati yeye alirudi kufanya kazi ya Chama cha TANU, kukiimarisha. Alibakia kwenye Chama hadi tarehe 9 Desemba 1962, Tanganyika ilipobadilika na kuwa Jamhuri, ndipo akarudi madarakani na kuwa Rais.
Jee, kuachia madaraka ya Waziri Mkuu kwa karibu mwaka mzima ni uroho wa madaraka?
Nyerere ni mzawa wa ukoo wa kichifu. Hivyo, alikuwa kwenye mstari wa kuwa chifu siku za usoni, sawa na mfalme wa sasa wa Uingereza aliyesuburu zaidi ya miaka 70 kuja kuupata ufalme. Akiwa Rais wa Tanganyika, Nyerere alifutilia mbali mambo ya uchifu mwaka 1963. Hoja yake ilikuwa kwamba mtu apewe madaraka kwa kustahili kwake na siyo kwa kuwa amezaliwa kwenye ukoo fulani.
Jee, kufuta huko kwa uchifu ni uroho wa madaraka wa Nyerere?
Usichanganye mambo,chief wa wazanaki hawezi kuwa sawa na Rais wa Tanzania,nyerere alikuwa kwenye line ya kuwa chief wa uzanaki sio Tanzania.
So aliona machifu watahatarisha kiti chake cha urais,nawasilisha mkuu
 
Chozi...
Naomba niweke kitu hapa:

''Wakati nikifundisha Minaki nilijiandikisha katika Woolssey Hall College ya London, Uingereza ili kupata masomo kwa njia ya Posta .

Masomo hayo pamoja na cheti nilichopata cha London Matriculation ndivvyo vilivyoniwezesha kukuballiwa kupata Scholarship Ya British Council mwaka 1950 kwenda kwenye Chuo Kikuu cha Edinburgh, Scotland, Uingereza.

Huko Edinburgh nilisoma kwa miaka mitatu na kupata degree yangu ya M.A katika masomo yafuatayo:- Political Economy,Economy History,British History,Constitutional Law, Botanical Science,Moral Philosophy na English Literature. Mwaka 1954 nikarudi nyumbani na kwenda Minaki kuendelea kufundisha wakati huo nikiwa makamu wa mkuu wa chuo.

Niliporudi mwaka 1954 nilikuta chama cha siasa cha TANU (Tanganyika African National Union) kimekwisha kuanzishwa, kwa hiyo nikajiunga nacho na nikachaguliwa kuwa mwenyekiti wa Tawi la TANU Wilaya ya Kisarawe.''

John Keto

JOHN%2BKETO.jpg

Waliosimama wa nne kulia ni John Keto University of Edinburgh 1953​
Asante sana mzee Mohamed Said kuweka kumbukumbu sawa ,hakika wewe ni kisima cha historia ya Tanzania
 
Usichanganye mambo,chief wa wazanaki hawezi kuwa sawa na Rais wa Tanzania,nyerere alikuwa kwenye line ya kuwa chief wa uzanaki sio Tanzania.
So aliona machifu watahatarisha kiti chake cha urais,nawasilisha mkuu
Sawa sawia, alikuwa kwenye lineage ya chief wa Wazanaki si chief wa Tanzania(Tanganyika) hivyo akawa amebaini tofauti ya Uchifu wa Wazanaki na uraisi wa Tanganyika.
 
Back
Top Bottom