Abu Ubaidah Commando
JF-Expert Member
- Sep 8, 2016
- 7,591
- 6,946
Mkuu wewe Sunni, Shiite au Ansar al-sunna?
Unaona kama uko rasmi zaidi mkuu.
Mimi ni muisilamu chifu. Ukitaka ujuwe mengi muone Mohamed Said
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu wewe Sunni, Shiite au Ansar al-sunna?
Unaona kama uko rasmi zaidi mkuu.
Mimi ni muisilamu chifu. Ukitaka ujuwe mengi muone Mohamed Said
Nimeona ulivyo jifagilia mkuu. Kwa maana hukupenda hata kuremba!
Gharama ya kijinga ya vita uganda je ? Anapaswa apigwe mnadaKwahiyo mtu asiponunua gari na asijifunze kuendesha gari basi huyo mtu sio mbinafsi?
Akipunguza mshahara wake na kuzidiwa mshahara na katibu wake anakuwa mtakatifu?
Jamani hebu tuwe serious
Punguza uzuzu.Kwahiyo mtu asiponunua gari na asijifunze kuendesha gari basi huyo mtu sio mbinafsi?
Akipunguza mshahara wake na kuzidiwa mshahara na katibu wake anakuwa mtakatifu?
Jamani hebu tuwe serious
Ndiyo mkuu. Napenda haki,,wale woote waliouawa awamu iriyopita imeniuma sana. Azory, saa8 n.k.
Ndio viashiria vya uzalendo tazama na dhamira yake ilikua ni nini kufanya hivyo na je aliifikia? Sio mnahubiri uzalendo kwa midomo tuu kupumbaza watuKwahiyo mtu asiponunua gari na asijifunze kuendesha gari basi huyo mtu sio mbinafsi?
Akipunguza mshahara wake na kuzidiwa mshahara na katibu wake anakuwa mtakatifu?
Jamani hebu tuwe serious
Ndo nini
Ndo nini
Ulichoona wewe cha maana ni hicho? Au uwezo wako wa kufikiri ndo umeishia hapo?Soma
Ulichoona wewe cha maana ni hicho? Au uwezo wako wa kufikiri ndo umeishia hapo?
Sawa, wahuni sio watu lakini, kingai, mahita na wenzao wana cha kutuelezaTunamtafuta Moses Lijenje, pichani:
View attachment 1975206
Ukimwona pande za kwenu taarifa mkuu ndiyo ubinadamu huo ati!
Au nasema uongo ndugu yangu?