Restless Hustler
JF-Expert Member
- Apr 9, 2017
- 5,150
- 20,025
Mwalimu Nyerere ndiye aliyesimika lugha ya kiswahili kuwa ya Taifa.
Wengi watasema English ni lugha ya mkoloni lakini kiukweli ni lugha ya Maendeleo ya teknolajia na ustaarabu dunia. Mataifa Yote ya Afrika yanayotumia English Kama lugha ya Taifa, Yana Maendeleo makubwa ukilinganisha na yanayotumia kiswahili.
Chanzo Cha mkwamo wa Maendeleo ya Jamii na uchumi na wa Tanzania ni kuitumia kiswahili.
Kiswahili ni laana kwa Taifa. Angalia ukanda wote wa pwani kuanzia ghuba ya Aden, Mombasa, Tanga, Mtwara Hadi Sofala, japo Kuna mvua za kutosha, ardhi yenye rutuba na usafiri wa meli kwenda Ulaya na Asia lakini umaskini umeota mizi.
Mikoa yote yenye tamaduni za kiswahili zina Umasikini wa kutisha.
Hata mtu yeyote ambaye kiswahili ni lugha yake ya kwanza hata kama Ni msomi, Mara nyingi hapendi Maendeleo ya Watu na ni dramatic, majungu kazini. Ofisini kazi inakuwa ngumu kwa sababu ya upumbavu wa hali ya juu wa waswahili.
Nyerere Alitukosea Sana kwa kweli. Ningepata nafasi ya kimaamuzi ya Taifa, jambo la kwanza ni kufuta kiswahili kama lugha ya Taifa.
Wengi watasema English ni lugha ya mkoloni lakini kiukweli ni lugha ya Maendeleo ya teknolajia na ustaarabu dunia. Mataifa Yote ya Afrika yanayotumia English Kama lugha ya Taifa, Yana Maendeleo makubwa ukilinganisha na yanayotumia kiswahili.
Chanzo Cha mkwamo wa Maendeleo ya Jamii na uchumi na wa Tanzania ni kuitumia kiswahili.
Kiswahili ni laana kwa Taifa. Angalia ukanda wote wa pwani kuanzia ghuba ya Aden, Mombasa, Tanga, Mtwara Hadi Sofala, japo Kuna mvua za kutosha, ardhi yenye rutuba na usafiri wa meli kwenda Ulaya na Asia lakini umaskini umeota mizi.
Mikoa yote yenye tamaduni za kiswahili zina Umasikini wa kutisha.
Hata mtu yeyote ambaye kiswahili ni lugha yake ya kwanza hata kama Ni msomi, Mara nyingi hapendi Maendeleo ya Watu na ni dramatic, majungu kazini. Ofisini kazi inakuwa ngumu kwa sababu ya upumbavu wa hali ya juu wa waswahili.
Nyerere Alitukosea Sana kwa kweli. Ningepata nafasi ya kimaamuzi ya Taifa, jambo la kwanza ni kufuta kiswahili kama lugha ya Taifa.