Big Shaman
Member
- Dec 22, 2014
- 22
- 73
Kulikuwa na vyama viwili TANU & UTP, Baada ya kushinda ubunge akaenda UN kuishtaki UTP iachie nchi, akashtakiwa kwa uhaini na kuzuiwa kufanya mikutano ya hadhara, akajiweka karibu na mkoloni TANU ikashinda majimbo 70/71.
Je, kwanini Nyerere hakuitisha maandamano kuindoa serikali ya kikoloni?
Je, kwanini Nyerere hakuitisha maandamano kuindoa serikali ya kikoloni?