saimon111
JF-Expert Member
- Apr 5, 2012
- 1,736
- 1,355
Mzee aliyajua.....na sasa tumempata pogba ambae ni busaralessMwalimu Nyerere aliwahi kusema kuwa hii katiba yetu, inampa mno madaraka makubwa sana, mwalimu alisema kuwa kama tukimpata Rais asiyekuwa na busara, kwa katiba hii Rais anageuka kuwa mungu, unakubaliana na kauli ya mwalimu Nyerere?