Mwalimu Nyerere: The Father of Our Nation

Mwalimu Nyerere: The Father of Our Nation

Kuna mtu anataka historia iandikwe upya, watoto wasifundishwe Tena habari za Nyerere.
Kabila lenye historia ni Wamasai peke yao😅🤣😂
Buji...
Fikra zako unazilazimisha kuwaza jambo ambalo haliwezekani labda kwa kughadhibika.

Ukitulia utatambua kuwa hilo la kuandika historia ya uhuru wa Tanganyika bila Nyerere haliwezekani.

Labda nikurudishe.

Haikuwezekana kuwa na historia ya uhuru wa Tanganyika bila ya kumtaja Abdul Sykes pamoja na wazalendo wengine.

Hili mimi nimelithibitisha kwa kuandika kitabu cha maisha ya Abdul Sykes.

Kila aliyekisoma ikawa kama vile anajifunza upya historia ya uhuru wa Tanganyika na pia historia ya Julius Nyerere.

Hebu angalia hii video hapo chini:


View: https://youtu.be/iHMVNAYEwZo
 
Buji...
Fikra zako unazilazimisha kuwaza jambo ambalo haliwezekani labda kwa kughadhibika.

Ukitulia utatambua kuwa hilo la kuandika historia ya uhuru wa Tanganyika bila Nyerere haliwezekani.

Labda nikurudishe.

Haikuwezekana kuwa na historia ya uhuru wa Tanganyika bila ya kumtaja Abdul Sykes pamoja na wazalendo wengine.

Hili mimi nimelithibitisha kwa kuandika kitabu cha maisha ya Abdul Sykes.

Kila aliyekisoma ikawa kama vile anajifunza upya historia ya uhuru wa Tanganyika na pia historia ya Julius Nyerere.

Hebu angalia hii video hapo chini:


View: https://youtu.be/iHMVNAYEwZo

Kwa hiyo Nyerere aliwazidi kete
Wengine 😄
Huwa nakaaga sana na mzee wangu,mzee songambele ananipaga stori nyingi sana

Ova
 
Kwa hiyo Nyerere aliwazidi kete
Wengine 😄
Huwa nakaaga sana na mzee wangu,mzee songambele ananipaga stori nyingi sana

Ova
Mrangi,
Mzee Songambele kajuana na Nyerere katika miaka ya mwanzo Mwalimu akiwa anafundisha Pugu lakini hakuwa katika ile kamati ya ndani ya akina Abdul Sykes, Ally Sykes, Dossa Aziz, Hamza Mwapachu iliyounda TANU.

Namjua vizuri Mzee Mustafa Songambele ni jamaa kwa mbali mzee wake Abdallah Simba Liwali wa Songea alikuwa rafiki wa babu yangu Salum Abdallah.
 
13 June 2023

President Museveni Meets Tanzania's Former First Lady, Mama Maria Nyerere


View: https://m.youtube.com/watch?v=TKEfB13rY-4

President Yoweri Kaguta Museveni had an important meeting with Mama Maria Nyerere, the former First Lady of Tanzania, at State Lodge-Nakasero.

They discussed various matters of mutual interest, including the annual Nyerere Beatification Prayer Day held at Namugongo Catholic Shrine on 1st June.

Mama Maria Nyerere, a passionate advocate for beatification, attends this event every year to seek the intercession of the Ugandan Martyrs who were canonized as saints by the Catholic Church in 1964.
 
13 June 2023

President Museveni Meets Tanzania's Former First Lady, Mama Maria Nyerere


View: https://m.youtube.com/watch?v=TKEfB13rY-4

President Yoweri Kaguta Museveni had an important meeting with Mama Maria Nyerere, the former First Lady of Tanzania, at State Lodge-Nakasero.

They discussed various matters of mutual interest, including the annual Nyerere Beatification Prayer Day held at Namugongo Catholic Shrine on 1st June.

Mama Maria Nyerere, a passionate advocate for beatification, attends this event every year to seek the intercession of the Ugandan Martyrs who were canonized as saints by the Catholic Church in 1964.


View: https://youtu.be/9F0BAvg3CLc?si=4y3zva-QAR2xZpxi
 
1725167669471.png
 
Ziara ya Mwalimu Nyerere kijiji cha Boko Kinondoni akikagua kilimo cha muhogo 1985

1725167854471.png
 
Mwl. Nyerere with the new cabinet ministers 1980 / Mwalimu Nyerere na mawaziri wa baraza jipya la mawaziri mwaka 1980

1725168649895.png
 
Wakuu wa mikoa ya Tabora na Rukwa mara baada ya kuapishwa wakipongezwa na Mwalimu Nyerere 1983

1725169032594.png
 
Waziri mkuu na mawaziri wakiapishwa February 1983

1725169297209.png
 
Mawaziri wakikabidhiwa vyeti vya viapo vyao, mawaziri Paul Bomani na waziri Anna Makinda mwaka 1983

1725169624840.png
 
Mzee maarufu wa TANU Mzee Tambaza na waziri mdogo Rashidi wakimuaga Nyerere akienda mapumziko ya Christmas mkoani Mbeya 1965

1725170202011.png
 
Mwalimu Julius Nyerere akimkabidhi zawadi mshindi wa insha kwa lugha ya kiingereza mwaka 1970 bwana George Mhina tiketi ya ndege kwenda na kurudi kuelekea Tokyo Japan Expo 1970

1725170547913.png
 
Mwalimu Nyerere akipokea kwa furaha bima yake iliyoiva kutoka kwa mabosi wa bima Bw. Maalim na Bw. Mwaikambo, mwezi June 1985

1725170973365.png
 
Mrangi,
Mzee Songambele kajuana na Nyerere katika miaka ya mwanzo Mwalimu akiwa anafundisha Pugu lakini hakuwa katika ile kamati ya ndani ya akina Abdul Sykes, Ally Sykes, Dossa Aziz, Hamza Mwapachu iliyounda TANU.

Namjua vizuri Mzee Mustafa Songambele ni jamaa kwa mbali mzee wake Abdallah Simba Liwali wa Songea alikuwa rafiki wa babu yangu Salum Abdallah.

View: https://youtu.be/iy8CloMZDlE?si=MIvCzm6ha5_kFr7b
 
CHAWA WALIKATALIWA WAKATI WA MWALIMU, WALIPOOMBWA MJI WA DODOMA UITWE NYERERE CITY

1725234296187.png
 
Back
Top Bottom