Mwalimu Nyerere vs Thabita Siwale

Marahaba mwanangu hujakosea kabisa kwa umri huo, aliyesoma nasi alikuwa mdogo kuliko wote darasani kwetu anastaafu 2020 mimi mwezi huu mwishoni naaga serikalini naachia gari za serikali nikajue kununua mafuta sasa [emoji86][emoji3]
Very interesting!!!
 
Haikuwa rahisi hivyo kama ulivyosimulia. Kwanza kabisa Nyerere alimtuma mwakilishi aende na mtoto. Mama Siwale akakataa kuwa lazima aende na mzazi. Mwakilishi siyo mzazi. Ndipo ikabidi Julius mwenyewe aende.
Kwa hiyo posts za mama Salome Peter hujaziona au ???
 
Hizo ofisi zilikuwa pale jengo LA Kinondoni hospital kwa Dr Mvungi. Nimeandika zilikuwa maana aina hakika kama bado zipo.
 
Ubarikiwe sana kwa utumishi wako wa Taifa hili. Miaka 15 hivi kuanzia leo, kama Mungu atanipa uzima, nitakuwa nastaafu pia.
Marahaba mwanangu hujakosea kabisa kwa umri huo, aliyesoma nasi alikuwa mdogo kuliko wote darasani kwetu anastaafu 2020 mimi mwezi huu mwishoni naaga serikalini naachia gari za serikali nikajue kununua mafuta sasa [emoji86][emoji3]
 
Umepatia; kwa sisi tuliokuwa vijana na mashuhuda enzi hizo. Makongoro (Mako) ndiye aliyekuwa anasoma Tabora Boys wakati huo na hahusiani kabisa na tukio (la John pale Mazengo). Ingawa Makongoro naye alikuwa mtukutu fulani hivi pale Tabora Boys (ndie aliyekuwa drummer wa bendi ya muziki pale shuleni). Wacha niishie hapo.
 
Mimi niliambiwa alikuwa Headmistress Korogwe Girls, huyo waziri alipoomba apewe binti wa kulala naye, huyo mama aliresist, baada ya vuta nikuvute mwisho akasubiri jioni ifike akampelekea binti yake huyo Waziri ndipo ugonmvia ukaanzia hapo na siri kuvuja na kumfikia Rais
 
Mimi niliambiwa alikuwa Headmistress Korogwe Girls, huyo waziri alipoomba apewe binti wa kulala naye, huyo mama aliresist, baada ya vuta nikuvute mwisho akasubiri jioni ifike akampelekea binti yake huyo Waziri ndipo ugonmvia ukaanzia hapo na siri kuvuja na kumfikia Rais
 
Kwa kweli Mwl. Nyerere alikuwa Rais haswaa na hakuacha jukumu lake la uzazi kwa familia yake.
Mh. Makongoro aliwahi kusimulia kuwa Baba yake (Mwl. Nyerere) alimzuia kupelekwa shule kwa gari la serikali na akamwambia, "kuwa mkubwa ununue la kwako". Hii ni baada ya kukataa kwenda shule kwa siku hiyo na dereva alipewa majukumu mengine na kuchelewa kuwapeleka shule, ingawa shule hiyo haikuwa mbali sana na makazi yao. Mh. Makongoro alisema alibahatika kumiliki gari yake ya kwanza alipokuwa Mbunge wa Arusha!
 
Maswali ya kujiuliza je kwa sasa hivi ni mkuu gani wa shule anaweza kumfukuza mtoto wa rais Shule achilia mbali watoto wa wabunge,mkuu wa wilaya au mkoa,waziri au hata wakurugenzi tu?
Hilo haliwezekani tena kwa sababu siku hizi viongozi wanasomesha watoto shule za International na shule za International hawafukuzi hela( watoto)
 
Shule za serikali ndio zina tabia ya kuogopa wazazi wenye vyeo vikubwa wenye watoto wanaosoma shule zao

Nenda shule za katoliki uone viongozi wakubwa serikalini wenye watoto hawana special previlege yeyote wao wala watoto wao

Hawaburuziki mzazi akitutumua mabega wanamwambia ondoka na mwanao
 
Ilikuwa watoto wa Nyerere wanadeka tu

Shule ya msingi waliyosoma ni Mbuyuni pale karibu na kanisa la St Peters mahali pa kutembea tu kwa mguu kutoka Msasani kwao pana urefu wa kutembea kama uwanja wa mpira tu

Ndio wapande gari ya serikali? Kwenda na kurudi? Nyerere alikuwa sahihi
 
Huyo bibi inaonekana alikuwa hana doa hapo shuleni.
 
Vipi mlishamalizana na steve mengele?
Poppy Hatonn
 
Nyerere alikuwa Rais mnyenyekevu ambaye hakupenda kujikuza sana Wala kuabudiwa kama marais wa kipindi hichi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…