Mwalimu Nyerere vs Thabita Siwale

Mwalimu Nyerere vs Thabita Siwale

Hii story imevulugwa kidogo, ninavyojua mimi mtoto wa Nyerere aliyewahi kufukuzwa shule ni John ambae alikuwa anasoma Mazengo DODOMA wakati huo ikiitwa Illiance.

Kwa uhakika kabisa headmaster aliyemtimua shule mtoto huyo alikuwa anaitwa Mr. Kamuzola ambae baadae aliteuliwa na Nyerere huyo huyo kuwa RDD Dodoma mwaka 1972 wakati wa centralization.

Thabita Siwale aliibukia chuo cha ualimu Korogwe kule alikutana na Waziri mmoja wa elimu alikuwa mhuni mhuni hivi aliitwa Chediel Mgonja waliwaki kupishana na Siwale kwa ajili ya mambo yake ya ufsika(waziri) wakati huo mambo hayakuwa magumu kama ilivyo sasa ilikuwa ni kawaida kabisa Principal kumtafutia kitowewo waziri hata kama ni mwanachuo na mkuu wa chuo kuneemeka privilege fulani toka kwa waziri.

Haya Siwale aliyakataa kabisa, labda msimamo huu ulimfikia Mzee Julius kwani waziri huyo hakudumu. Sikumbuki kama Siwale alipata ubunge wa kuteuliwa, ila nadhani aliteuliwa maana enzi hizo viti maalum vilikuwa bado kuanzishwa, basi alipopata ubunge akawa ni waziri wa elimu.

Habari zinasema baada ya kuwaa waziri mama huyu akawa anacheza rafu sana mambo ya kiunyumba na mzee Siwale kila mala mzee akimhitaji basi alikuwa anamjibu kwamba amechoka na kwamba uwaziri wa elimu siyo mchezo, basi Mzee Siwale akatoa malalamiko kwa Nyerere ikabidi naye amwondoe kwenye nafasi hiyo ili amhudumie vizuri Mzee Siwale.

Chaguzi zilizofuata hakufua dafu alijaribu ubunge wa Afrika Mashariki pia hakufua dafu,akanzisha NGO yake akaiita WAT( women Advancement Trust) ofisi zake ziko Kinondoni barabarani kabisa nadhani ni Kawawa road .

Uliyeandika Tread hii nenda pale kinondoni utamkuta huyu mama akupe ukweli zaidi toka mdomoni mwake.
Shikamoo...
 
Hii story imevulugwa kidogo, ninavyojua mimi mtoto wa Nyerere aliyewahi kufukuzwa shule ni John ambae alikuwa anasoma Mazengo DODOMA wakati huo ikiitwa Illiance.

Kwa uhakika kabisa headmaster aliyemtimua shule mtoto huyo alikuwa anaitwa Mr. Kamuzola ambae baadae aliteuliwa na Nyerere huyo huyo kuwa RDD Dodoma mwaka 1972 wakati wa centralization.

Thabita Siwale aliibukia chuo cha ualimu Korogwe kule alikutana na Waziri mmoja wa elimu alikuwa mhuni mhuni hivi aliitwa Chediel Mgonja waliwaki kupishana na Siwale kwa ajili ya mambo yake ya ufsika(waziri) wakati huo mambo hayakuwa magumu kama ilivyo sasa ilikuwa ni kawaida kabisa Principal kumtafutia kitowewo waziri hata kama ni mwanachuo na mkuu wa chuo kuneemeka privilege fulani toka kwa waziri.

Haya Siwale aliyakataa kabisa, labda msimamo huu ulimfikia Mzee Julius kwani waziri huyo hakudumu. Sikumbuki kama Siwale alipata ubunge wa kuteuliwa, ila nadhani aliteuliwa maana enzi hizo viti maalum vilikuwa bado kuanzishwa, basi alipopata ubunge akawa ni waziri wa elimu.

Habari zinasema baada ya kuwaa waziri mama huyu akawa anacheza rafu sana mambo ya kiunyumba na mzee Siwale kila mala mzee akimhitaji basi alikuwa anamjibu kwamba amechoka na kwamba uwaziri wa elimu siyo mchezo, basi Mzee Siwale akatoa malalamiko kwa Nyerere ikabidi naye amwondoe kwenye nafasi hiyo ili amhudumie vizuri Mzee Siwale.

Chaguzi zilizofuata hakufua dafu alijaribu ubunge wa Afrika Mashariki pia hakufua dafu,akanzisha NGO yake akaiita WAT( women Advancement Trust) ofisi zake ziko Kinondoni barabarani kabisa nadhani ni Kawawa road .

Uliyeandika Tread hii nenda pale kinondoni utamkuta huyu mama akupe ukweli zaidi toka mdomoni mwake.
uko sawa hii stori ndiyo yenyewe,mgonja alitaka bint kwa ajili ya ufuska akapelekewa bint yake mwenyewe, kilichofuatia hapo Nyerere alimtoa Mgonja kwenye uwaziri wa elimu akampa mama Siwale.
 
uko sawa hii stori ndiyo yenyewe,mgonja alitaka bint kwa ajili ya ufuska akapelekewa bint yake mwenyewe, kilichofuatia hapo Nyerere alimtoa Mgonja kwenye uwaziri wa elimu akampa mama Siwale.
Huyu mama bado yupo ni vzr ahojiwe kujua ukweli
 
Ni kweli kabisa anamdharau sana mumewe. Huyu anasali kwa mwingira na anatoa sadaka ya mamilioni huku mumewe akiwa anakaa tu nyumbani hana hata senti tano. kwa kifupi ni mama mwenye roho mbaya sana hastaili kusifiwa hata kidogo. Yaani mzee siwale anaishi kama msukule wakati mkewe anaishi kama milionea.
Sishangai nasikia wanawake wa kinyakyusa ni magaidi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nilisoma korogwe girls mwl Siwale akiwa Headmistress wangu, tuliingia pale 1973 Korogwe girls ilikuwa ya mchepuo wa kilimo, Siwale alitulimisha mashamba ambayo kila mmoja alipangiwa plot yake kuanzia mwanafunzi wa kidato cha kwanza hadi cha 6 bila kujali ni mtoto wa kiongozi au wa nani, na pale walisoma watoto wengi sana wa viongozi na wengine wa matajiri wakubwa, alikuwepo Subira Nyerere mtoto wa kakake Julius Nyerere, mtoto wa kawawa, watoto wa sir Kahama, watoto wa Mtengeti....Asharose na wadogo zake 3 mmoja wao ni balozi South Africa kama hajahama nk kile kilimo cha mahindi kilikubali mno matikiti, matango nk hicho ndicho kilimpa sifa mama Siwale na 1974 Nyerere akampa uwazi wa Ardhi tukaendelea na mama Msemakweli, kipindi anaondoka nilikuwa form 2.Hiyo ndio ukweli mengine anaonewa tu.Tulipewa kila mtu jembe jipya na kila jembe lina namba ukipoteza unalo utalipa, kilimo kilikubali mno Nyerere alikuja pale alishangaa zile eka na eka zilivyokuwa zimezaa vizuri.
 
salome peter viongozi walikuwa hawaji kuchukua totoz za kustarehe nazo hapo korogwe girls
 
Hakukuwahi kutokea kiongozi yeyote achukue mwanafunzi pale kwa kweli, na tulifungiwa sana tulikuwa na ruhusa ya kutoka mara moja kwa mwezi kila week end ya mwisho wa mwezi na mwisho wa kuingia shule ni saa 11.30 jioni na si vinginevyo
 
Enzi hizo hakukuwepo na haya maswala ya ngono kwa kiasi kikubwa, na heshina ilikuwepo kwa wanafunzi, hivyo watu wazima waliwaheshimu sana watoto na wanafunzi heshima hiyo imetoweka kipindi hiki cha mitandao na tamaa ya pesa.
 
Aisee nimeamini watu wanajua kutunga jamani daaa, Siwale tunamfaham in and out bidii yake ya usimamizi wa shule, kulikuwa na nidhamu ya hali ya juu, shule ilikuwa safi mno, kilimo kilikubali sana shule ilijitegemea kwa chakula hapo ndipo alipoanza kupata umaarufu hadi Rais Nyerere akaja kujionea na kuja kumpa uwaziri.Ukweli sisi wanafunzi wake tuliona uwaziri hakuuweza kama alivyokuwa na uwezo wa kusimamia shule.Hakuwa mkali ila muelekezaji mzuri. Raha yetu mahindi yakikomaa lazima tuchemshiwe mnakula mtakavyo,kila tulicholima kilikuwa kwa ajili ya matumizi yetu
 
Hii story imevulugwa kidogo, ninavyojua mimi mtoto wa Nyerere aliyewahi kufukuzwa shule ni John ambae alikuwa anasoma Mazengo DODOMA wakati huo ikiitwa Illiance.

Kwa uhakika kabisa headmaster aliyemtimua shule mtoto huyo alikuwa anaitwa Mr. Kamuzola ambae baadae aliteuliwa na Nyerere huyo huyo kuwa RDD Dodoma mwaka 1972 wakati wa centralization.

Thabita Siwale aliibukia chuo cha ualimu Korogwe kule alikutana na Waziri mmoja wa elimu alikuwa mhuni mhuni hivi aliitwa Chediel Mgonja waliwaki kupishana na Siwale kwa ajili ya mambo yake ya ufsika(waziri) wakati huo mambo hayakuwa magumu kama ilivyo sasa ilikuwa ni kawaida kabisa Principal kumtafutia kitowewo waziri hata kama ni mwanachuo na mkuu wa chuo kuneemeka privilege fulani toka kwa waziri.

Haya Siwale aliyakataa kabisa, labda msimamo huu ulimfikia Mzee Julius kwani waziri huyo hakudumu. Sikumbuki kama Siwale alipata ubunge wa kuteuliwa, ila nadhani aliteuliwa maana enzi hizo viti maalum vilikuwa bado kuanzishwa, basi alipopata ubunge akawa ni waziri wa elimu.

Habari zinasema baada ya kuwaa waziri mama huyu akawa anacheza rafu sana mambo ya kiunyumba na mzee Siwale kila mala mzee akimhitaji basi alikuwa anamjibu kwamba amechoka na kwamba uwaziri wa elimu siyo mchezo, basi Mzee Siwale akatoa malalamiko kwa Nyerere ikabidi naye amwondoe kwenye nafasi hiyo ili amhudumie vizuri Mzee Siwale.

Chaguzi zilizofuata hakufua dafu alijaribu ubunge wa Afrika Mashariki pia hakufua dafu,akanzisha NGO yake akaiita WAT( women Advancement Trust) ofisi zake ziko Kinondoni barabarani kabisa nadhani ni Kawawa road .

Uliyeandika Tread hii nenda pale kinondoni utamkuta huyu mama akupe ukweli zaidi toka mdomoni mwake.
Huo ndio ukweli. Hata mimi ninafahamu hivyo
 
Hii habari sijaisikia. Hili jambo naona ni distraction.Huyu Thabita Siwale sikuifuatilia sana career yake. I was too youmg at that time to be preoccupied with politics. Halafu hakuna mtoto wa Mwalimu ambaye amesoma Tabora.
Maoni yangu ni kwamba walimu wanaowabughudhi watoto wa viongozi,I hate them with perfect hatred. Hao watoto wa Wabunge,watoto wa Katibu Kata,mimi kaka yao. Tabia ya kuwaita vibaka,walevi,teja,na kuwafanyia fujo,ikomeshwe mara moja. I ask that they should be left in peace.
Makongoro na Madaraka wamesoma Tabora. Hapo umeteleza mkuu.
 
MwanaJF mimi ninakubaliana na wewe kwa 95% kuwa watanzani wa sasa wengi wao hawajiamini katika mahamuzi mazito kama alivyofanya Bi Tabitha.

Lakini ukiangalia kwa undani utagundua kuwa naye Bi Tabitha hakutegemea kuwa mtoto wa Nyerere siku ya kurejea shule atakuja na baba yake ambaye ni Rais wa nchi "kama ulivyoeleza kuwa walimu walitegemea kwamba mtoto atapewa mwakilishi wa baba" kwahiyo hii ilitokea kama miujiza kwao, hawakutegemea, ndiyo maana walimu walishangaa kumuona Nyerere ameongozana na mtoto wake.

Mimi kwangu naona ni jambo la kawaidi sana kwa mzazi kama Nyerere kufanya kitendo kama hicho.

Uzuri wa Nyerere alikuwa hapuuzii kitu, hata kikiwa kidogo namna gani, lazima alikuwa anafanya ufatiliaji na kujua hitimisho lake.

Na huyu Bi Tabitha kupewe uwaziri' nadhani si kwamba kwa sababu ya kumfukuza mtoto wa Rais wa nchi! na kumuagiza mtoto aje na baba yake baada ya adhabu yake kumalizika.

Yawezekani ni utendaji wake wakazi' nakumbuka wakati huo shule zilikuwa chache sana kwahiyo wakuu wa shule walikuwa wanajulikana mpaka ngazi za juu katika wizara kwa uchapaji kazi. Kwahiyo Bi Tabitha yawezeka alikuwa anajulika kwa Nyerere hata kabla ya jambo hilo.

Sioni kama ni jambo la kusangaza kwa wakati huo.
Angalau walijua MZEE Kambarage ataiona barua ya wito.
 
Aisee nimeamini watu wanajua kutunga jamani daaa, Siwale tunamfaham in and out bidii yake ya usimamizi wa shule, kulikuwa na nidhamu ya hali ya juu, shule ilikuwa safi mno, kilimo kilikubali sana shule ilijitegemea kwa chakula hapo ndipo alipoanza kupata umaarufu hadi Rais Nyerere akaja kujionea na kuja kumpa uwaziri.Ukweli sisi wanafunzi wake tuliona uwaziri hakuuweza kama alivyokuwa na uwezo wa kusimamia shule.Hakuwa mkali ila muelekezaji mzuri. Raha yetu mahindi yakikomaa lazima tuchemshiwe mnakula mtakavyo,kila tulicholima kilikuwa kwa ajili ya matumizi yetu
Shikamoo
 
Aisee nimeamini watu wanajua kutunga jamani daaa, Siwale tunamfaham in and out bidii yake ya usimamizi wa shule, kulikuwa na nidhamu ya hali ya juu, shule ilikuwa safi mno, kilimo kilikubali sana shule ilijitegemea kwa chakula hapo ndipo alipoanza kupata umaarufu hadi Rais Nyerere akaja kujionea na kuja kumpa uwaziri.Ukweli sisi wanafunzi wake tuliona uwaziri hakuuweza kama alivyokuwa na uwezo wa kusimamia shule.Hakuwa mkali ila muelekezaji mzuri. Raha yetu mahindi yakikomaa lazima tuchemshiwe mnakula mtakavyo,kila tulicholima kilikuwa kwa ajili ya matumizi yetu
1973 Upo O Level tuchukulie form 3 or 4 Hapo lazima ulikuwa na miaka si chini ya 18 means umeazaliwa miaka ya 1955-1957 so now una miaka kati ya 60--65. SHIKAMOO MAMA..
 
Marahaba mwanangu hujakosea kabisa kwa umri huo, aliyesoma nasi alikuwa mdogo kuliko wote darasani kwetu anastaafu 2020 mimi mwezi huu mwishoni naaga serikalini naachia gari za serikali nikajue kununua mafuta sasa [emoji86][emoji3]
 
Tuliobahatika kupata wazazi wasomi wenye madaraka hatukuanza shule na umri mkubwa sana,japo ukilinganisha na sasa bado ni umri mkubwa tu
 
Andrew.

Mind.

I could have provided a sympathetic ear - not that you need one- had your case needed a just, or even equanimous treatment.

But a lot of peoiple would look at your scantily detiled response, with the best intent, and still garner a perfect case for a divisive, classic, haves against have nots, us against them, brahmis against dalits, age old dichotomy that Mwalimu stood against and mwalimu in the particular sense of the thread stood against, mind the case invokatin, Mwalimu against mwalimu.

Surely you can make a better case devoid of that simplified old age dichotomy characterization.

Where is that case?
Kiranga!!
Umeamua kutema yai. Hatari sana I seee!
 
Haikuwa rahisi hivyo kama ulivyosimulia. Kwanza kabisa Nyerere alimtuma mwakilishi aende na mtoto. Mama Siwale akakataa kuwa lazima aende na mzazi. Mwakilishi siyo mzazi. Ndipo ikabidi Julius mwenyewe aende.
Wadau wa historia habari zenu? naombeni msaada kuna habari nimewahi kuisikia zamani kidogo inamhusu Mwalimu Nyerere kipindi hicho akiwa Rais wa Tz na mwanasiasa mkongwe Bi Thabita Siwale waziri wa zamani wa elimu na utamaduni!

Hbr yenyewe ipo hivi huyu bi Thabita Siwale chanzo cha yeye kuteuliwa na Mwalimu Nyerere kuwa Waziri wa Elimu miaka hiyo ni ujasiri wa kipekee aliounyesha akiwa mkuu wa shule sekondari maarufu mkoani Tabora(jina nimelisahau) kwa kuumpa adhabu ya kurudi nyumbani kwa muda(sunspension)mtoto Mwalimu Nyerere aliyekuwa akisoma katika shule hiyo na kumuamuru siku ya kurudi shule aje na mzazi wake ili hali akijua kabisa mzazi wake ni rais wa nchi mwalimu Nyerere!

Aidha inasemekana baada ya kumpa adhabu hiyo watu wengi walianza kumtisha Bi Thabita kuwa atafukuzwa kazi kwa kumrudisha nyumbani mtoto wa Rais.

Baada ya adhabu kwisha yule mtoto alirudi shuleni akiwa na mzazi wake kama alivyoamriwa katika barua aliyopewa wakati wakurudishwa nyumbani Walimu na hata Bi Tabitha walistaajabu walipomwona yule mtoto kaja na Mwalimu Nyerere,wenyewe walimu na Bi Tabitha walitegemea mwalimu Nyerere angemtuma mwakilishi kutokana majukumu na hadhi yake ya urais wa nchi.

Baada ya kumwona Nyerere inasemekana mama Tabitha na staff nzima walichanganyikiwa wakajua sasa mwisho wao ndiyo umefika wa kufukuzwa kazi,lkn mwalimu Nyerere aliwatoa wasiwasi na kuwambia wasiwe na hofu yoyote yeye pale hajaja kama Rais wa nchi bali amekuja kama mzazi wa mtoto,baada ya hapo kengele ya paredi ikangongwa wanafunzi wakakusanyika wote yakaelezwa yale makosa ya mtoto wa Nyerere akaamriwa kuchapwa viboko na mwisho wa siku akaruhusiwa kuendelea na masomo,mwalimu Nyerere akarudi zake Dar es Salam.

Nasikia baada ya muda BiThabita badala ya kufukuzwa kazi akateuliwa kuwa waziri elimu kwa ushujaa aliounyesha!Maswali ya kujiuliza je kwa sasa hivi ni mkuu gani wa shule anaweza kumfukuza mtoto wa rais Shule achilia mbali watoto wa wabunge,mkuu wa wilaya au mkoa,waziri au hata wakurugenzi tu?

Kwa hakika Bi thabita alionyesha ushujaa wa hali ya juu sana!Kwa kizazi cha sasa tuna hitaji aina ya viongozi km Bi Tabitha Siwale ambao wanaweza kufanya maamuzi magumu bila kujali hadhi ya mtu!
 
Back
Top Bottom