Mwalimu Shule ya Msingi akamatwa kwa ujambazi Mbeya

Mwalimu Shule ya Msingi akamatwa kwa ujambazi Mbeya

Watu wanne akiwemo mwalimu wa shule ya msingi Mwaselela kata ya Iwinda mamlaka ya mji mdogo wa Mbalizi mkoani Mbeya wanashiliwa na Jeshi la Polisi kwa tuhuma za makosa mbalimbali likiwemo tukio la wizi wa kutumia silaha.

Akizungumza Kamanda wa Polisi mkoa wa Mbeya Benjamin Kuzaga, amesema watuhumiwa hao walikamatwa katika msako uliofanya katika wilaya ya Kipolisi ya Mbalizi.

Source - EARADIO
Aisee Mpwayungu njoo uone ndugu zako waalimu huku , umewapiga Majungu sana ,wameamua kujiongeza na kupiga mishe za pembeni kujiongezea kipato
Hawataki dharau sasa hivi [emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
 
Duuh kwa hiyo Mwalimu kaamua kutumia taaluma ya kujiongeza na kusahau taluma yake ya halisia.
 
Huyo bilashaka kala mafunzo JKT,kaingia ualimu nasasa anatumikia taaluma mbili.
 
Mbalizi, Mbeya ukisikia msako mkali ni zile kesi za kusingiziana mara nyingi fatilia hiyo kesi mpaka mwisho utasikia mwalimu hana hatia...
 
Watu wanne akiwemo mwalimu wa shule ya msingi Mwaselela kata ya Iwinda mamlaka ya mji mdogo wa Mbalizi mkoani Mbeya wanashiliwa na Jeshi la Polisi kwa tuhuma za makosa mbalimbali likiwemo tukio la wizi wa kutumia silaha.

Akizungumza Kamanda wa Polisi mkoa wa Mbeya Benjamin Kuzaga, amesema watuhumiwa hao walikamatwa katika msako uliofanya katika wilaya ya Kipolisi ya Mbalizi.

Source - EARADIO
Huyu atakua ni mwalimu wa majambazi
 
Watu wanne akiwemo mwalimu wa shule ya msingi Mwaselela kata ya Iwinda mamlaka ya mji mdogo wa Mbalizi mkoani Mbeya wanashiliwa na Jeshi la Polisi kwa tuhuma za makosa mbalimbali likiwemo tukio la wizi wa kutumia silaha.

Akizungumza Kamanda wa Polisi mkoa wa Mbeya Benjamin Kuzaga, amesema watuhumiwa hao walikamatwa katika msako uliofanya katika wilaya ya Kipolisi ya Mbalizi.

#EastAfricaTV
The problem is that he decided to use weapons instead of pens and papers, mbona wapo majambazi wengi tu kwenye utumishi wa umma.
 
Back
Top Bottom