#COVID19 Mwalimu sichomwi chanjo ng'o na wakibadilisha utaratibu kuwa lazima basi nitakuwa tayari kuacha hata kazi

Wajinga hao...
 
Acha kazi, usijeambukiza watoto strains za hatari.
 
watoto wa kinjekitile ngwale, hamjajifunza tu kilichomkuta baba yenu?
Mbona kwa Mbowe wamechanjwa na wanaondika?
Acha kufikiri kila anayekufa ni covid.
Hata kama ni ajali ya bodaboda unaswma dereva atakuwa alikuwa na covid.
Mko addicted sana
 
Kuna mwanasiasa nguli kachanjwa. Hata wafuasi wake watachanjwa. Hii chanjo wanaweza anza na watumishi wa umma kwa lazima halafu wananchi wote, bila kuchanjwa hupati huduma. No way to escape.
 
Kuna mwanasiasa nguli kachanjwa. Hata wafuasi wake watachanjwa. Hii chanjo wanaweza anza na watumishi wa umma kwa lazima halafu wananchi wote, bila kuchanjwa hupati huduma. No way to escape.
 
Wakiamua wote tuchanjwe basi tutachanjwa wote bila kujua.

Mimi nitakuwa wa mwisho.
 
Baada ya miezi 6 leta mrejesho hapa wa afya yako
 
Upuuzi wa CCM ni huu, hakuna CCM anayezungumzia TOZO, kwao hio ni sahihi wananchi kukamuliwa yaani hujaongeza salary kwa six years mfululizo then unaweka kodi juu tena, hill kwa wapumbavu wa CCM ni sahihi na halina shida ila shida kwao ni Mbowe na CHADEMA.

Kodi za mboleo zimepanda, mafuta ya kupikia hayapatikani, sukari bei juu, kodi za line za simu, etc haya yote hawayaoni hawa hayawani wa CCM, wanachokiona ni Mbowe na CHADEMA.

Ndio akili zao zilipofikia, ukivikuta vina shida hadi kwenye kope ila vilivyo radical utadhani vina ubia na ccm.
 
Baada ya miezi 6 leta mrejesho hapa wa afya yako
Hata kabla ya mimi, mme wangu na wanangu wote walipata chanjo mwezi wa pili, wazima na wanadunda. Mimi nilichelewa mpaka mwendazake alipoondoka ndo mama akaruhusu mashirika ya nje kuleta huduma, hivyo na mimi nimepata kupitia UN. Subiri mrejesho nitakupa.
 
Hapo una chanjo ya ndui na mwanao kachanjwa majuzi chanjo ya nini sijui...
 
Sasa ni IPI faida ya hiyo chancho maana kuna taarifa hao waliopata hizo chancho tena wanapata corona watuambie chancho ni IPI faida yake kwanza.
 
Wilaya ya Ulanga napo walimu wanalazimishwa kuchangia mwenge, wakt ni jambo la hiari
 
Nimesikia ata wanafunzi ni lazima?
 
Ualimu na Upolisi ukipata DIVISION 4 ndio unakwenda huko, sasa sishangai maana akiliza Polisi na Walimu zipo Katikati ya kichwa na miguu, ni sawa tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…