digba sowey
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 8,926
- 17,880
Pamoja na IIICMsingi mkuu sekondari ni IIIB
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pamoja na IIICMsingi mkuu sekondari ni IIIB
Kama umefeli apo kwakwel katambikeKwa matokeo haya! Naipongeza sekretariati ya ajira
Daraja la IIIA_ Certificate holderWakuu naomba kuuliza hao walimu wa daraja la 3 A huwa ni shule za msingi au sekondari?
Hujajibu swali lakeDaraja la IIIA_ Certificate holder
Daraja la III B_ Diploma holder
Daraja la III C_ Degree holder
Shukrani mkuu elimu haina mwishooDaraja la IIIA_ Certificate holder
Daraja la III B_ Diploma holder
Daraja la III C_ Degree holder
Shukrani mkuu elimu haina mwishooMsingi mkuu sekondari ni IIIB
Miaka ya nyuma ukifeli sekondari unaingia ualimu, hii imek
Yeaah... walimu bora ni hawa wa degree tuu ila huko diploma na certificate ni wale waliofeli form 4... kweli mwal gan anapata 0 usahili maswali yote hata moja hajuiMiaka ya nyuma ukifeli sekondari unaingia ualimu, hii imekaaje?
Hao kwa kulalamikia serikali ni balaa! Utawasikia : "kwa nini serikali haitoi ajira tumechoka huku mtaani "😁😁😁Hawa ndio walikuwa wanataka kupangiwa vituo bila interview.
Mtu anapata 8 atafundisha watoto wa nani sasa?
Yn mwenye 65 hana utofauti na aliyepata 0 🔥Hili panga lina balaa kuanzia mwenye 65, 60, 55, 48, 30, 20, 9 na 0 wote hawajachaguliwa.
Inamaana hujaona zeroHawa ndio walikuwa wanataka kupangiwa vituo bila interview.
Mtu anapata 8 atafundisha watoto wa nani sasa?
Kwa sisi ambao ELIMU zetu za mwanzo tumesomea Ualimu. Mimi pia ni mwalimu nilifundisha kwa miaka miwili nikaachana na hio kazi.Hawa ndio walikuwa wanataka kupangiwa vituo bila interview.
Mtu anapata 8 atafundisha watoto wa nani sasa?
Ukweli💯Kwa sisi ambao ELIMU zetu za mwanzo tumesomea Ualimu. Mimi pia ni mwalimu nilifundisha kwa miaka miwili nikaachana na hio kazi.
Mwalimu ni CONTENT, mfano Kuna ambao wapo vizuri kwenye kujibu mitiani na kupata GPA kubwa Ila wasiwe wazuri kwenye ku deliver material darasani
Kuna jamaa mmoja tulikua tuna muita kitivo/ professor Ila jamaa ni hatare anaingia na chaki na anafundisha vizuri Sana Ila kwenye mitiani tuna mgaragaza anapata matokeo ya kawaida kabisa...
NB.
Mwalimu sio GPA , Mwalimu ni Content.
Kushindwa hiyo OBJECTIVE TEST sio kwamba ndio mu jump to the conclusion kua hao walimu ni ma bogus sababu ni nyingi wakuu.
😅😅 Daah!!Inamaana hujaona zero
Mbona wenzake wamefaulu? Kwani alipoitwa kwenye Usaili alidhani anaenda kwenye bufee? Kwa nini asijiandae kama wenzake?. Hao ndo baadaye utawasikia kuna zengwe, kuna upendeleo na blah blaaa nyingi za kujitetea.Mtu amekaa mtaani miaka zaidi ya mitano umpe mtiani unategemea apate 100😂😂
Yeah. Waliojiita ni waalimu watarajiwa, kati ya wote 12,602 waliosailiwa; 3,947 wamekwenda na maji. i.e. 3,947/12,602 = 31.3% chali.Hii ni maajabu