Mwalimu wa hisabati anayefuata kufundisha watoto nyumbani kwao

Mwalimu wa hisabati anayefuata kufundisha watoto nyumbani kwao

William Mwita

Member
Joined
Oct 29, 2023
Posts
96
Reaction score
74
Mwalimu mahiri katika somo la hisabati shule za msingi, anafundisha katika shule ya msingi Misitu Kivule ilala dar es salaam ila katika Kipindi hiki cha likizo atakuwa anamfuata mtoto alipo na kumfundisha.

Mzazi usimsumbue mtoto kwenda mbali na nyumbani. Huduma hii ni nzuri na ya uhakika.

Karibu.
NB OFA hii ni Kwa dar es salaam TU

Mawasiliano 0715128827
 
Unadhani kila mtu humu anafahamu shule ya msingi Misitu iliko
 
Back
Top Bottom