Holo si swala la mahakani .Kuna aina ya upigaji kulinganisha na umri.
Sasa hao watoto umri wao ni mdogo sana, Halafu hilo li bakora nila kupigia watu wazima kabisa.
Sasa yeye anachapia vitoto vidogo tena kwa nguvu kubwa kama anaua nyoka.
Ni kweli mkuu sikatai hilo, kuna watoto watukutu sijui ni kwa sababu ya mazingira wanayo kuwa nayo au vipiMental disorders zipo na zinakuwa diagnosed na utapata professional help
Siongelei mtoto kufeli, kushindwa kuconcentrate, au memory /confidence /socialization issues
Kuna MAJEURI mkuu, na wanachangiwa na mazingira watoto wanaposhinda na wanayoyashuhudia kwenye maisha na digital world. Ushaongea unaona anakujibu hovyo, au anakufanyia kusudi...
Where do you go from there?
Sasa hilo mimi sijui.Lkn
Holo si swala la mahakani .
Mimi naona ni sawa tu kwasababu wote kawachapa mikononi na fimbo zisizozidi nne na hajagusa sehemu nyingine za mwiliKatazame video uwaangalie vizuri.
Halafu upime kama aina ile ya upigaji na nguvu ile ya upigaji ni sawa.
Akili ungekuwa nazo usingekuwa unavuka barabara kwa kuangalua magari. Kitendo cha kuangalia huku na huku nikuonyesha huna akiliAkili huna tu.
Angekuwa mwanao ungeona ni sawa?Mimi naona ni sawa tu kwasababu wote kawachapa mikononi na fimbo zisizozidi nne na hajagusa sehemu nyingine za mwili
Ni kukosa akili kwa walio wengi.Sasa hilo mimi sijui.
Liwe suala la mahakamani, lisiwe la mahakamani.
Sheria imepima na kuamua liende mahakamani.
Kwaiyo wazazi wako wasipokuwa na madili wewe mtoto utajipimaje kuwa una maadili?Kwani wewe hujaiona hiyo video?
Hujaona mazingira ya kwenye hiyo video?
Maadili unafunzwa na wazazi wako au walezi wako tangu udogoni.
Pia maadili hayafunzwi kwa viboko kama vya huyu jamaa.
Utafunzwa shuleni.Kwaiyo wazazi wako wasipokuwa na madili wewe mtoto utajipimaje kuwa una maadili?
Hao shida ilianzia nyumbani wakiwa wadogo... They faced no consequences for their action, hawafuati structure.Ni kweli mkuu sikatai hilo, kuna watoto watukutu sijui ni kwa sababu ya mazingira wanayo kuwa nayo au vipi
Ila wapo watukutu kabisa ambao unajiuliza huyu mtoto au kibaka?
Inasikitisha sana ila bado wanahitaji msaada mkubwa sana maana unaweza kupiga mpaka ukavunja kila kiungo lakini bado kesho yake akarudia yaleyale,
Sasa wa hivyo utamfanya nini
Huku nilipo mwaka 2022/23 watoto wa miaka sita waliorudishwa nyumbani kwa utovu wa nidham walikuwa 22,000
Hebu imagine watoto wadogo namna hiyo waalimu wamewashindwa wanaamua wawe suspended from school
Hii ni 🇬🇧
Basi ndo hao watoto wanafunzwa madrasa na utaratibu ndo huoUtafunzwa shuleni.
Usipojifunza basi ulimwengu utakufunza.
Acha nawewe ujinga. Mfano wa Serikali na kufungwa ni sawa na kosa la mtoto. Huko mahakamani kwenyewe kuna makosa ya vifungo vya nje, si kila kosa mtoto achapwe.Acha ujinga na huo uzungu wako usio kuwa na kichwa na miguu.
Kwahiyo ww hapo ukifanya kosa serikali ikakufunga inakuwa imekufanyia ukatili?
Kama kumuadhibu mtoto kwa kumchapa ni vibaya mbona serikali yako imeruhusu viboko mashuleni?
Mtoto akikosea ni razima umfanye ajutie kosa na moja wapo ya kumfanya ajutie ni kumuadhibu lamsingi adhabu iendane na umri na afya yake.
Nchi nyingi za Afrika, Asia, Americakusini zinaruhusu adhabu kwa mtoto pale atakapo kosea kwahiyo hao wote hawana akili ila ww una akili kuwazidi?
Huo si utaratibu bali ni ukatili na uonevu.Basi ndo hao watoto wanafunzwa madrasa na utaratibu ndo huo
Inaendelea, tunasubiri mwenendo wa kesihabari imeishia hapo au inaendelea?
Kwani wazazi wa watoto, wao wanasemaje kuhusu hili?Tutawaletea na mkiwagusa tu lazima tuwaburuze kortini. Pumbaf, kama una stress kapige watoto wako achana na watoto wa watu.
Uko nje ya mada kabisa.Safi kabisa.
Haya mavaa kobazi lazima yadhibitiwe.
Dunia ipo kwenye kuwafunza watoto teknolojia, Yenyewe yapo bize kukaririsha watoto kiarabu na hekaya za vitabuni.
Cool.Uko nje ya mada kabisa.
Hoja hapa ni viboko kwa watoto.