Bora hawa wamegusa walau O-level. Unakumbuka wale walimu wa UPE(Ualimu Pasipo Elimu - jus a kid) ambao wengi wao ni std vii na mpaka leo wapo na hawa ndo wamenifundisha na leo najivunia kadegree kangu kako poa. :coffee:
Ona red uone kwamba hayo ndio matatizo ya wewe kufundishwa na walimu waliopata division iv ya pts 28!(Eti Diproma) kazi ipo!Yeah sidhani kama mko sahihi! Mwalimu huyu ni mzuri! Hiyo ni social stratification from anthropology point of view. Me nachukua B.sc lakini mwalimu alie nifundisha msingi hana hata diproma BUT anafaa level ile. Kwani hajui 1 2=3? Dat y hajaambiwa akafundishe olevel.
Na vyeti vyenyewe vya kuazima,unafikiri wanaweza hata kudai haki zao?wakitishiwa nyau tu wanajiuliza kazi watapata wapi tena,maana mwenye vyeti alishavichukua zamaaaaaani!Utasikia kauli kama 'walimu ni wito'...WTF!! Failures=Teachers nijitahidi kuulewa huu mlinganyo lakini wapi natoka kapa.
Sio kuropoka,hivi unajua kuna mwalimu wa shule ya msingi hajui kutofautisha kipi ni moa kati ya Mara au Musoma,Kilimanjaro au Moshindo wasomi tulionao wanaishia kuropoka tu,haya mambo ndo yanavyoenda kote dunian,wakishayasikia mtaan wanayaleta vivyo hivyo bila kupima,haya waje watetee hoja yao
Darasa langu (Dipl Ed) 1993 - enzi hiyo ikiwa ni Dar es Salaam Teachers' College na waziri wa Elimu akiwa Prof Sarungi - mtu mwenye score ya chini kupata admission ilikuwa ni Div III. And I went on to teach and am still teaching. Unataka mfano mwingine?[/QUOT]umeshindwa kuchanganua mambo.Ndo maana tuna watu wa policy planning,hawa wanapanga sera kutokana na wakati,sera ya elimu mwaka huu haiwez kufanana na ya miaka 5 mbele,hapa napata wasiwasi na uwezo wako wa kuchanganua mambo,katika kupanga sera watu wanaangalia faida kama ndo nying,na naomba nikuambie hamna sera isiyo na disadvantages,ongezeko la idadi ya watu(wanafunz),ongezeko la shule nying za secondary ndio vinabadilisha sera ya elimu,so huwez kutumia sera ya mwaka 93 ambapo tulikua na shule pamoja na wanafunz wachache kufananisha na sera ya sasa,hujanishawish jipange urudi
Mimi
nashindwa kuelewa kwa
nini walimu wanaofundisha shule za msingi na kidato cha nne
wanachukuliwa wale waliopata alama za chini?
1.Grade A:Mwalimu aliepata divisio iv ya pts 28 anachaguliwa kuwa
mwalimu,atamuandaa vipi mwanafunzi wakati mtu huyu uwezo wake sio mzuri?
Kwa nn tusiangalie mifumo ya kuchukua walimu kama ilivyo kwenye taasisi
za elimu ya juu?
nashangaa watu wamesahau walipotoka tokea walipokuwa na makamasi wamefundishwa na huyo mwalimu halaf sasa hv kajua kuvaa suti analeta nyodo acheni dharau hao ndio wametufisha hapa mpaka tunajua kusoma comment hayo sio mambo ya kuongelea hasa wasomi weenye akili timamu kichwani.
cku nyingne kabla ujapost fanya thorough research
kwanzaNIULIZE KWA NINI.,Haya uliza kwa nini?nikumwagie mipoint
ndo uamin hata ss walm wa dv4 ya 28 twawekuwafundisha wanachuo wa
university.
Bora hawa wamegusa walau O-level. Unakumbuka wale walimu wa UPE(Ualimu Pasipo Elimu - jus a kid) ambao wengi wao ni std vii na mpaka leo wapo na hawa ndo wamenifundisha na leo najivunia kadegree kangu kako poa. :coffee:
Sio kuropoka,hivi unajua kuna mwalimu wa shule ya msingi hajui kutofautisha kipi ni moa kati ya Mara au Musoma,Kilimanjaro au Moshi
Kwa nn hamapendi kuambiwa ukweli?malimbukeni wa elimu mna tabu sana si ye huyo aliye kufundisha ukajua kusoma neno musoma