Sunshow
JF-Expert Member
- Nov 11, 2011
- 1,140
- 395
Bora hawa wamegusa walau O-level. Unakumbuka wale walimu wa UPE(Ualimu Pasipo Elimu - jus a kid) ambao wengi wao ni std vii na mpaka leo wapo na hawa ndo wamenifundisha na leo najivunia kadegree kangu kako poa. :coffee:
UPE (Universal Primary Education) ilikuwa sera ya umoja wa mataifa wakati ule lengo likiwa kuhakisha watoto hasa kutoka nchi masikini wanapata elimu ya msingi. Kulingana na wingi wa watoto na uchache wa walimu, ilikubaliwa wale waliomaliza la saba kwenda mafunzo ya muda mfupi na baadae kuwa walimu na hii haikufanyika Tanzania pekee.