Mwalimu wa St. Doroth (Tabora) ashtakiwa kwa kumnajisi Mwanafunzi wa Darasa la Pili

Mwalimu wa St. Doroth (Tabora) ashtakiwa kwa kumnajisi Mwanafunzi wa Darasa la Pili

TABORA - MWALIMU Dotto Elias (29) wa Shule ya mchepuo wa Kiingeza ya Mtakatifu Doroth iliyopo maeneo ya kidatu Manispaa ya Tabora anayedaiwa kumnajisi mwanafunzi wa darasa la pili chooni amefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Wilaya ya Tabora.

Akisoma mashtaka hayo jana Agosti 15, 2024, Mwendesha Mashtaka kutoka Ofisi ya Mwanasheria wa Serikali, Charles Magonza aliiambia mahakama hiyo mbele ya Hakimu Mkazi Mwandamizi, John Mdoe kuwa mtuhumiwa alikuwa akimnajisi mtoto huyo (jina limehifadhiwa) chooni kipindi cha kunywa uji.

Soma Pia: Mwalimu Mkuu adaiwa kumlawiti mwanafunzi Bunda

Alidai Julai 26, 2024 kati ya saa 1 na saa 2 usiku bibi wa mtoto huyo alibaini mtoto huyo kufanyiwa vitendo vya unajisi baada ya kumkagua na kuona alivyoharibiwa.

Alisema kwa mujibu wa Sheria ya Makosa ya Adhabu Sura ya 16 marejeo ya Mwaka 2022 Kifungu cha 154 Sura Ndogo ya 15 ya Makosa ya Utu, mtu atakayemwingilia mwenzake kinyume cha maumbile kwa lazima ama kwa kutaka mwenyewe adhabu yake/zao wote ni kifungo cha maisha gerezani au kifungo cha miaka 30 jela.

Mshtakiwa Elias baada ya kusomewa mashitaka yake alikana kutenda kosa hilo kwa mwanafunzi huyo mwenye umri wa miaka saba.

Chanzo: Habari Leo
Dah wagalatia tukimbie na tujifiche wapi?
 
Tanzania ya Sasa mkuu wa mkoa analawiti!!!
Askari wanalawiti Tena mtungo!!?
Kwann mwalimu awe nyuma!?acha watu wapigane pumb** !!! Hakuna wakuhukumiwa
 
Mungu atusaidie Wazazi, tunapitia changamoto nyingi sana kwenye malezi ya watoto wetu hasa haya matendo ya Ulawiti.

Ukiwa na roho nyepesi kama yangu, unaweza kutafuta sindano ya sumu ummalize huyo firauni kimya kimya

Inauma sana Wakuu 🙌
 
Inaumiza sana, sijui mzazi anajiskiaje huko aliko inauma, 😔
 
TABORA - MWALIMU Dotto Elias (29) wa Shule ya mchepuo wa Kiingeza ya Mtakatifu Doroth iliyopo maeneo ya kidatu Manispaa ya Tabora anayedaiwa kumnajisi mwanafunzi wa darasa la pili chooni amefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Wilaya ya Tabora.

Akisoma mashtaka hayo jana Agosti 15, 2024, Mwendesha Mashtaka kutoka Ofisi ya Mwanasheria wa Serikali, Charles Magonza aliiambia mahakama hiyo mbele ya Hakimu Mkazi Mwandamizi, John Mdoe kuwa mtuhumiwa alikuwa akimnajisi mtoto huyo (jina limehifadhiwa) chooni kipindi cha kunywa uji.

Soma Pia: Mwalimu Mkuu adaiwa kumlawiti mwanafunzi Bunda

Alidai Julai 26, 2024 kati ya saa 1 na saa 2 usiku bibi wa mtoto huyo alibaini mtoto huyo kufanyiwa vitendo vya unajisi baada ya kumkagua na kuona alivyoharibiwa.

Alisema kwa mujibu wa Sheria ya Makosa ya Adhabu Sura ya 16 marejeo ya Mwaka 2022 Kifungu cha 154 Sura Ndogo ya 15 ya Makosa ya Utu, mtu atakayemwingilia mwenzake kinyume cha maumbile kwa lazima ama kwa kutaka mwenyewe adhabu yake/zao wote ni kifungo cha maisha gerezani au kifungo cha miaka 30 jela.

Mshtakiwa Elias baada ya kusomewa mashitaka yake alikana kutenda kosa hilo kwa mwanafunzi huyo mwenye umri wa miaka saba.

Chanzo: Habari Leo
Mmh
 
TABORA - MWALIMU Dotto Elias (29) wa Shule ya mchepuo wa Kiingeza ya Mtakatifu Doroth iliyopo maeneo ya kidatu Manispaa ya Tabora anayedaiwa kumnajisi mwanafunzi wa darasa la pili chooni amefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Wilaya ya Tabora.

Akisoma mashtaka hayo jana Agosti 15, 2024, Mwendesha Mashtaka kutoka Ofisi ya Mwanasheria wa Serikali, Charles Magonza aliiambia mahakama hiyo mbele ya Hakimu Mkazi Mwandamizi, John Mdoe kuwa mtuhumiwa alikuwa akimnajisi mtoto huyo (jina limehifadhiwa) chooni kipindi cha kunywa uji.

Soma Pia: Mwalimu Mkuu adaiwa kumlawiti mwanafunzi Bunda

Alidai Julai 26, 2024 kati ya saa 1 na saa 2 usiku bibi wa mtoto huyo alibaini mtoto huyo kufanyiwa vitendo vya unajisi baada ya kumkagua na kuona alivyoharibiwa.

Alisema kwa mujibu wa Sheria ya Makosa ya Adhabu Sura ya 16 marejeo ya Mwaka 2022 Kifungu cha 154 Sura Ndogo ya 15 ya Makosa ya Utu, mtu atakayemwingilia mwenzake kinyume cha maumbile kwa lazima ama kwa kutaka mwenyewe adhabu yake/zao wote ni kifungo cha maisha gerezani au kifungo cha miaka 30 jela.

Mshtakiwa Elias baada ya kusomewa mashitaka yake alikana kutenda kosa hilo kwa mwanafunzi huyo mwenye umri wa miaka saba.

Chanzo: Habari Leo
Mwenye kujua kimo cha huyu Mdoe aweke hapa, akina mdoe ni wafupi huenda alidhani na yeye ni mtoto.
 
Dah wagalatia tukimbie na tujifiche wapi?
Hizi issue hizi zinakaaga kimchongo mchongo sana,siyo ka natetea,hapana ila Kuna wazazi ambao akili zao wakati mwingine husingizia walimu matendo haya kama kisasi baada ya kutofautiana kimtazamo au kwa jambo lolote na shule,na ukichunguza sana utakuta ni single mothers wengi ndo wenye matatizo hayo,kifupi serikali ifanye uchunguzi makini wakati inakumbana na matatizo haya,asionewe mtu,watoto nao siyo watu wa kuwaamini wakisha pangwa na mama zao Huwa ni ngumu kubisha,Mimi ninao mfano mmoja nilikuwaga na mtoto ambaye Mimi na mama yake tulikuwa na matatizo na alikuwaga anasoma boarding school,dogo likizo akienda kwa mama yake tu akirudi hataki shule ya kulipia anataka day tena kayumba ,mahesabi ni kwamba asome kayumba harafu Hela yoyote itumike kwa matumizi ya nyumbani,dogo alikuwa Alia mbele za watu anasema eti Mimi nilimuahidi ataenda kusoma kayumba,nikawa najiuliza Huyu ni pepo gani limemkuta ,kumbe kapangwa,sitetetei ila madogo wakipangwa hupangika tena hasa na mama zao,chamsingi ufanyike uchunguzi wa kina,kwanzia mawasiluano kati ya mtuhumiwa na mzazi,harafu mazazi na doctor aliyethibitisha kuwa dogo kaingiluwa, Ili kujua ka Kuna kupangana,hili ni swala zito
 
Back
Top Bottom