binafsi nimemfahamu dr. sebi siku chache tu zilizopita baada ya mauaji ya mwanahiphop nipsey hussle.
waamerika wengi weusi wamekuja na conspiracy theory inayohusanisha mauaji haya na documentary ambayo nipsey alitaka kuitengeneza kuhusu maisha ya dr. sebi.
inadaiwa dr. sebi aliuliwa na elite wa dunia hii wanaomiliki viwanda mbalimbali vya kutengeneza madawa ya binadamu.
wanadai lecture zake kuhusu afya ya binadamu na namna ya kujikinga na kansa, ukimwi na kadhalika kungepelekea kuzorotesha biashara za wakuu wa dunia hii kuhusu dawa za binadamu.
kwa wasiofahamu ni kwamba biashara ya dawa za binadamu duniani zinazotengenezwa viwandani, inaingiza faida ya mabilioni ya dola kwa wahusika.
hapa nimekutana na uchambuzi hasi wa mzungu mmoja akimuelezea dr. sebi.
who was dr. sebi?
He was a conman, a snake oil salesman, a fraud who took advantage of desperate people and made a fortune selling bullshit herbal remedies to people with AIDS, cancer, and other diseases.
He claimed that he could cure any disease or ailment from blindness to schizophrenia to cancer to AIDS with herbal remedies and a special type of vegan diet.
The NY AG brought him to court and he had to put an ad in the paper offering refunds to any dissatisfied customers, then provide the AG with affidavits from the people who he refunded within 90 days of the ruling according to the consent decree.
He beat one case where he was charged with practicing medicine without a license, but the ONLY reason he beat it was because the prosecutor couldn’t prove that he ever made a medical diagnosis so he was acquitted.
It took mankind thousands of years to develop cures and vaccines for polio, measles, mumps, rubella, cholera, typhus, and treatments for HIV and cancer.
This guy had no formal education and didn’t even believe that HIV caused AIDS. He was a quack who made a fortune exploiting desperate people and he’s lucky that he was able to live until he was 82 without spending the majority of his life in prison for fraud.