Mwamba huyu hapa :Mika Mwamba

Aisee
 
Huyu nimekuja kujua kama ni mzungu baada ya kustaafu kazi ya uaandaji wa muziki.


Mzee alikuwa hapendi kiki wala camera
Hapendi kiki wapi Mkuu?Bongo fleva ilikuwa side haso ya mchizi,yeye nadhani alipewa studio na Mzee FM Kwa ajili ya muziki wa bendi,ila akaona ajiongeze apige laki laki za wabongo fleva.Nahisi hata kuja kusanukiwa na bosi wake ilikuwa badae sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…