Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama ni kweliMwamba anatisha
Thread ifungweUzuri tafsiri ya mafanikio inatofautiana baina ya mtu na mtu.
Hapo kupostiwa na wanawake tofauti tofauti pengine ni mafanikio makubwa kwa huyo aliepostiwa. Ila ukichunguza kilichopstiwa hapo ni visenti vyake anavyotoa kwa hao wapostiji wala si mapenzi.
Watu siku hizi wanatafuta umaarufu kwa gharama yoyote.. hakuna mwanamke anayeweza ujinga huo tena wote hao wapo group moja[emoji12][emoji12][emoji28]
Hapo ni jamaa katumia fake account zake kwa lengo kuu moja tu "anataka mbumbusu"na inawezekana kuna inayomtolea nje ko kaamua kuja mbinu ya kivita tu....
Wanawake wana wivu kupitiliza, yaani mwanamke aone kijeba chake kimepostiwa afu nae aposti? Hahaha haitakuja kutokea kwa viumbe hawa.... Hapo ni mwamba kaamua kumtekenya/kuwatekenya madem kweny hicho kigroup kwa lengo la kuzipiga mbumbusi zao. Fb wanawake wanapakuliwa balaaa na wako free balaa.[emoji23][emoji23][emoji23]AMESHA SANUKIWA MTU [emoji1430][emoji1430]
Sema ayo masikio na alivoacha meno kafanana na sungura 😄