Mwamba huyu hapa, ukimuona tu utajua leo kazi tunayo

Uzuri tafsiri ya mafanikio inatofautiana baina ya mtu na mtu.

Hapo kupostiwa na wanawake tofauti tofauti pengine ni mafanikio makubwa kwa huyo aliepostiwa. Ila ukichunguza kilichopstiwa hapo ni visenti vyake anavyotoa kwa hao wapostiji wala si mapenzi.

Ukiona mwanamke anapuuzia uasherati wako basi elewa kuna mawili, keshakudharau na kuna maslahi anapata toka kwako hivyo kufungia macho ujinga wote. Na lazima kuna mwingine anaempa raha na kumthamini, huyo hutomuana akipostiwa ovyo sababu ni penzi la dhati na hana sababu ya ku prove chochote kwa yeyote.

Si kila kupostiwa ni kwa kupendwa kupostiwa kwingine ni kulinda maslahi.
 
Thread ifungwe
 
Watu siku hizi wanatafuta umaarufu kwa gharama yoyote.. hakuna mwanamke anayeweza ujinga huo tena wote hao wapo group moja๐Ÿ˜œ๐Ÿ˜œ๐Ÿ˜…

Hapo ni jamaa katumia fake account zake kwa lengo kuu moja tu "anataka mbumbusu"na inawezekana kuna inayomtolea nje ko kaamua kuja mbinu ya kivita tu....
 

[emoji23][emoji23][emoji23]AMESHA SANUKIWA MTU [emoji1430][emoji1430]
 
[emoji23][emoji23][emoji23]AMESHA SANUKIWA MTU [emoji1430][emoji1430]
Wanawake wana wivu kupitiliza, yaani mwanamke aone kijeba chake kimepostiwa afu nae aposti? Hahaha haitakuja kutokea kwa viumbe hawa.... Hapo ni mwamba kaamua kumtekenya/kuwatekenya madem kweny hicho kigroup kwa lengo la kuzipiga mbumbusi zao. Fb wanawake wanapakuliwa balaaa na wako free balaa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ