mtanzania in exile
JF-Expert Member
- Feb 17, 2012
- 1,379
- 1,276
Tumebaki na watu wachache sana kama wewe wakuona beyond.πͺWatu siku hizi wanatafuta umaarufu kwa gharama yoyote.. hakuna mwanamke anayeweza ujinga huo tena wote hao wapo group mojaπππ
Hapo ni jamaa katumia fake account zake kwa lengo kuu moja tu "anataka mbumbusu"na inawezekana kuna inayomtolea nje ko kaamua kuja mbinu ya kivita tu....
Babe wa babe zaoπ€£π€£π€£π€£π€£π€£ kazi ipo mapenzi yatawaua
Ila pia hatujui kama ni mtu anajaribu kumchafua.ilishawahi kumtokea rafiki yangu kwenye ukurasa wake wa FB imepositwa picha tu ya X halafu ikawa tagged KWA marafiki zake na ndugu wa karibu kumbe account alishaiacha kuitumia kama mwaka sasa. Kuja kuchunguza ni rafiki yake. Hakuna kitu hapo hiyo post ni michezo hiyoWatu siku hizi wanatafuta umaarufu kwa gharama yoyote.. hakuna mwanamke anayeweza ujinga huo tena wote hao wapo group mojaπππ
Hapo ni jamaa katumia fake account zake kwa lengo kuu moja tu "anataka mbumbusu"na inawezekana kuna inayomtolea nje ko kaamua kuja mbinu ya kivita tu....
kwan hao waliosoma na wasiosoma mbususu zao zipo tofaut we nae kilaz...Ukisoma maandishi ya hao kina dada utagundua ni wanawake wa aina gani. Hao wa dizaini hiyo ukitaka hata kuwa nao 300 inawezekana. Kelvin angekuwa amewapanga wadada wasomi wenye hadi zao ningemuona mjanja.
Mbususu zao zipo kama hiyo yako.kwan hao waliosoma na wasiosoma mbususu zao zipo tofaut we nae kilaz...
AiseeSema ayo masikio na alivoacha meno kafanana na sungura π
Inaonekana kijan yupo vzur uwanjanπππ