Mwamba huyu hapa, ukimuona tu utajua leo kazi tunayo

Tumebaki na watu wachache sana kama wewe wakuona beyond.πŸ’ͺ
 
Ila pia hatujui kama ni mtu anajaribu kumchafua.ilishawahi kumtokea rafiki yangu kwenye ukurasa wake wa FB imepositwa picha tu ya X halafu ikawa tagged KWA marafiki zake na ndugu wa karibu kumbe account alishaiacha kuitumia kama mwaka sasa. Kuja kuchunguza ni rafiki yake. Hakuna kitu hapo hiyo post ni michezo hiyo
 
Jamani hizo post zipo kwenye group linaitwa Vyakula vya kitanzania wamempist just kufurahisha group tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…