Etugrul Bey
JF-Expert Member
- Aug 6, 2020
- 6,514
- 15,247
- Thread starter
- #21
Yes my dear upo sahihiSi nzuri Kabisa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yes my dear upo sahihiSi nzuri Kabisa
Mwa J was made exactly the way she was meant to be made in who she is....😋Mwa J huenda hana hizo mambo
Aah Sina hofu yyte...Huwa kitu unavyokiamini ndo kinakutokea hivo hivoBora iwe hivyo kama na tofauti na hivyo umekwisha habar yako
Then ur among the few dudes who are very luckMwa J was made exactly the way she was meant to be made in who she is....😋
Kwani smtm unafikiri ukipigwa pini unajielewa basi,,, wadau ndo watajua huyu mwamba kwisha habar yakeAah Sina hofu yyte...Huwa kitu unavyokiamini ndo kinakutokea hivo hivo
Aah sasa mpngaji mwenzangu ataenda kuifanyia Nini wkt Sina mahusiano na yyte?ila pia naskia ukishaifua hawez kufanya chochoteKwani smtm unafikiri ukipigwa pini unajielewa basi,,, wadau ndo watajua huyu mwamba kwisha habar yake
Chief umeongea kwa code sana ingawa watu wa cuba watakuelewaTukio ili likukuta na wewe ni mshika Dawa itakuathili zaidi ya mara 10. Ni bora upigwe ili tukio ukiwa si mshika Dawa, kuna ufahamu fulan utabaki nao.
Sasa utaifua vipi wakati hauko nayo, kwa mfano huyo binti kaja kuiacha dar now yupo DomAah sasa mpngaji mwenzangu ataenda kuifanyia Nini wkt Sina mahusiano na yyte?ila pia naskia ukishaifua hawez kufanya chochote
Hahaha madam labda huyo alichukua pichu yako awe anachukulia sheria mkononi tu,,,,wazee wa hizo mambo wanaelewa sanaWasiwasi wako hakuna wa kukuroga na hizo boxer zako. Mimi nishawahi kuamka sina pichu na wala sikujali 😂😂😂😂
Unaweza kuwa sahihi chiefLakini mbinu hii sio tight sana unaweza kumshika lakini mbinu ya kulishwa Limbwata hiyo ni kiboko.
😂😂😂😂 Hamna mimi nililala nayo lakini asububi sikuikuta mwiliniHahaha madam labda huyo alichukua pichu yako awe anachukulia sheria mkononi tu,,,,wazee wa hizo mambo wanaelewa sana
Ngoja nimuite mmoja wao dronedrake
Umenikumbusha mwenyewe , usije laumu[emoji23]Wasiwasi wako hakuna wa kukuroga na hizo boxer zako. Mimi nishawahi kuamka sina pichu na wala sikujali [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hao sasa wachawi au wanga walitaka kukuonyesha kuwa wewe ni mwepesi tu,,,, kama walimu wa vijijini wanavyijikuta wapo vibarazani asubuhi wkt walilala ndani😂😂😂😂 Hamna mimi nililala nayo lakini asububi sikuikuta mwilini