Mwamba kasamehe ..........kataa ndoa hii imekula kwenu. Ndoa ya Tiwa Savage imerudi upya

Mwanaume akirudi alipoacha Kuna kitu anaenda kulipiza kisasi bado hajamfanyia huyo mwanamke Kama sio kumla mavi by yass...aikui
 
Hapo kuna maslahi mzee usikae kizembe. Mfano hapo labda kuna mmoja ili mambo yake yaende (mfano apate conmection) imebidi amrudie mwenzake.
Sababu yoyote utakayotoa Haina mashiko kwani tayar wamerudiana.
 
Hawatasema hadharani 😂
 
T
Trust me mzee,they wont last.
 
T

Trust me mzee,they wont last.
Dua la kuku.............kikubwa bado tiwa savage analolingi la uzazi.......yaani mapana mwiko.......njia bado inauterezi na mabano ya kutosha kumwaga wajomba.......hayo mengine mbwe mbwe tu
 
Kuna mahali huko Nigeria wamecheza na mtaala wa mafunzo yetu wanaume
 
Dua la kuku.............kikubwa bado tiwa savage analolingi la uzazi.......yaani mapana mwiko.......njia bado inauterezi na mabano ya kutosha kumwaga wajomba.......hayo mengine mbwe mbwe tu
Huyo jamaa hawezi kusahau aliyofajyiwa na huyo malay*.
Kumbuka hii comment yangu mkuu.
Hayo mahusiano hayatosurvive.
 
Kama wamerudiana kwa ajili ya maslahi binafsi hawatadumu,Nafikiri ndoa kwa vizazi vingi haijawa na tafsiri sahihi bado.
 
Your browser is not able to display this video.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…