Mwamba Mpina abishana na Bunge zima, wamzomea. Asimamisha Bunge kwa dakika 20

Sijui kwanini wabunge wa ccm;
huwa hawataki kusikia ukweli!
Huwa sio watu wa kuhoji au kujenga hoja (ukimuondoa Mpina)
Ni watu wasio na uzalendo kwa nchi yao na kutetea wanyonge!
Wote sawa tu hata huyo mpina hamanishi ni vile kapokonywa chakula/ uwaziri! Huyu si ndo alikuwq anachomq nyavu za wavuvi? Huyu si aliwapora wananchi hearing 300 za ardh huko moro huyu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…