mbingunikwetu
JF-Expert Member
- Feb 17, 2015
- 13,897
- 18,477
ok
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndiyo maana wanaongoza kuroga majimboni mwao, wako very pathetic.Sijui kwanini wabunge wa ccm;
huwa hawataki kusikia ukweli!
Huwa sio watu wa kuhoji au kujenga hoja (ukimuondoa Mpina)
Ni watu wasio na uzalendo kwa nchi yao na kutetea wanyonge!
Huyu jamaa ni mzur sana kwa hoja na kichwan ni mzima sana. Nimepata bahati ya kufanya nae kazi wiki mbili. Jamaa kasoro yake ni chuki. Aisee huyu jamaa ana chuki na wachagga cjapata kuona. Kwake yeye hakuna mchagga mzur wote ni mashetan. Na bahat mbaya kwake mi nilikuwa mchagga hakujua muda wote huo. Ila tulifanya kaz vizur ila muda wote ni kuwasemea mbovu wachagga cjui walimfanya nini
Mijitu ya matumbo yao 2Sijui kwanini wabunge wa ccm;
huwa hawataki kusikia ukweli!
Huwa sio watu wa kuhoji au kujenga hoja (ukimuondoa Mpina)
Ni watu wasio na uzalendo kwa nchi yao na kutetea wanyonge!
Hata Magu aliwachukia sanaHuyu jamaa ni mzur sana kwa hoja na kichwan ni mzima sana. Nimepata bahati ya kufanya nae kazi wiki mbili. Jamaa kasoro yake ni chuki. Aisee huyu jamaa ana chuki na wachagga cjapata kuona. Kwake yeye hakuna mchagga mzur wote ni mashetan. Na bahat mbaya kwake mi nilikuwa mchagga hakujua muda wote huo. Ila tulifanya kaz vizur ila muda wote ni kuwasemea mbovu wachagga cjui walimfanya nini