BUSH BIN LADEN
JF-Expert Member
- Mar 16, 2019
- 8,447
- 19,425
CEO wa mtandao wa Telegram, Pavel Durov akamatwa katika uwanja wa ndege nchini Ufaransa
Wakuuu huu mtandao toka jana unasumbua au ni kwangu tu...?? Au huku kukamatwa kwa Pavel mmiliki wake hiyo jana ndo sababu ya kushut down mtandao huu...?? Wajuzi wa mambo mtujuze:::: Updates CEO wa mtandao wa Telegram, Pavel Durov (39) amekamatwa katika kiwanja cha ndege nchini Ufaransa na...