Mwamba wa Hiphop halisi, Saigon 'Treach' wa iliyokuwa D.P.T ana masahibu gani hivi?

Mwamba wa Hiphop halisi, Saigon 'Treach' wa iliyokuwa D.P.T ana masahibu gani hivi?

alianza kuyumba baada ya kufiwa na mkewe.....haya mambo haya yani Saigoni mambo yanamuendea kombo baada ya kufiwa na mkewe huku babu Tale yeye ananenepa mpk mata.ko baada ya kufiwa na mkewe.....

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Nazitafuta sana Ngoma za Diplomatz...mwenye nazo aweke link hapa...
 
Lakini as long as tuna dizasta vina hakuna kilicho haribika pengo lake limezibika vizuri bila kuacha space
Usimfananishe huyo takataka dizasta na kichwa kama Nash wewe..Nash ni level ingine ..hao mchele mchele wa kilingeni hamna kitu humo
 
Saigon kawa mtu wa dini sana.
Tumekunywa maji ya kisima kimoja.

Enxi hizo Y-Thang, Saigon na ma Ras kibao Tambaza.

Amenikumbusha kipindi nilichotaka kwenda kuwa Buddhist Monk milima ya Himalaya.

Nimesikitika kuhusu kifo cha mkewe.

May he find peace and keep up his old charismatic banter.
Sasa kwanini na wewe usiwe mtu mkuu ..huoni Mungu nakupenda? Acha kukaza kichwa mkuu ..mpokee Yesu awe bwana na mwokozi wa maisha yako.
 
Lakini as long as tuna dizasta vina hakuna kilicho haribika pengo lake limezibika vizuri bila kuacha space
Hakuna mtu anaeweza kuziba pengo la mtu duniani..."
 
Elimika- nufaika-makinika

Kuna namna yake alikua anatamka haya maneno. Na style yake ya kufunga kitambaa .. hakafu kuna kibwagizo cha tarib kweli wanakiweka "the real hiphop is over here"


Ths guy ni talented yaburuikabbbh
Huchoki kumsikiliza kabisa kabisa...
Elimika, Nufaika, burudika, pata maarifa
Kipindi bora cha iistaAfrika
Kaskazini na kusini wana feel hip hop
Mashariki magharibi wana feel hip hop
 
"Wanawake wanalalamika wanaume wengi ngoma stiff-less, halafu wanaume tunalalamika wanawake wengi ni sex-less!"

What's up Saigon. Long live hommie.

-Kaveli-
Mama dunia ana watoto wawili
Wa kwanza anaitwa tena!
Wapili ataitwa nani?
Aha aha rudia!
 
Kuna kupindi alisema unaweza ukaniona mimi nimedata kumbe mimi nina wingi wa data kuliko wewe.

Kwa hiyo ni lazima utamuona amedata (anawingi wa data) 😁
 
Nimekaa na Saigon mwaka jana kati kati, nilichogundua jamaa hana Kichwa kizuri cha kunywa kilevi (Double Kick) analewa sana hadi anaanza kugombana na watu, ni basi tu tunamuheshimu na tunajua sio akili yake ndo tunamkimbia kuepesha Shari.

Ila kwa jicho la tatu ni mtu mwenye majuto na stress za hatari sana, na pia kuna kiashiria kwa mbali kwamba pombe haimtaki, haiwezi (Kichwa Panzi) kwani akiacha pombe tu anakua mtu Poa sana.

Pia miaka ile ya nyuma kipindi cha EATV 2007-09 aliachishwa Kazi kwa sababu tu ya pombe akinywa akili zinaruka anaanza kuzingua ile isiyovumilika kabisa.

Namuombea Mwenyezi Mungu ampe tena nafasi nyingine ya kujirudi na kuachana na vyote vinavyomshinda na kumptezea nguvu, maarifa na Heshima yake.

Bado tunamdai vingi kwenye game letu la hip hop...
Ila ukiwa mlevi wa hip hop inakuchukua vibaya!
Nikikumbuka kipindi nipo seko mpaka chuo.. Ni hatari sana! Ila uzuri iliniweka mbali na anasa za kipuuzi. Inakujenga unakuwa conscious.
 
Imeniathiri mpaka sasa nikisikia biti tu ayaa! Naiona mistari inakuja kichwani.
 
Sasa kwanini na wewe usiwe mtu mkuu ..huoni Mungu nakupenda? Acha kukaza kichwa mkuu ..mpokee Yesu awe bwana na mwokozi wa maisha yako.
Nash ni msanii mzuri mwenye nyimbo kuliko dizasta ila uwezo wa dizasta kimashairi ni mkubwa MNO
 
Huyu kijana anaonekana ana akili - akitulia .. Ila sijui madawa!! Akili yake haieleweki. Kama kadata.
 
Back
Top Bottom