Outcrop Rock
JF-Expert Member
- Sep 12, 2022
- 275
- 398
Kwa mujibu wa mtoa mada anasema CAFCL wanashiriki mabingwa tu ndomana watu wanamuuliza swali ji Simba ni bingwa wa Ligi gani??wewe ni mtambo... chelsea ipo UEFA kwani ni bingwa wa nchi gani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa mujibu wa mtoa mada anasema CAFCL wanashiriki mabingwa tu ndomana watu wanamuuliza swali ji Simba ni bingwa wa Ligi gani??wewe ni mtambo... chelsea ipo UEFA kwani ni bingwa wa nchi gani?
Simba ni bingwa wa kombe gani!?Mwambieni bwana mdogo Kuna Caf champions league "Cafcl" na kombe la malooser" CAF confederation cup 'cafcc'.
Tofauti zake ni kuwa Cafcl ni ligi kwaajili ya mabingwa tu na hyo nyingine ni kombe la shirikisho ni Kama viti maalumu tu vya wanawake pale bungeni..
Mwambieni ache kupoteza watu maboya kuwaambia kombe la CAF ,,hamna kitu Kama hocho CafCL ni dude kubwa sio Kama Cafcc
Atanuna sana yule kijana kwa andiko hili.Mwambieni bwana mdogo Kuna Caf champions league "Cafcl" na kombe la malooser" CAF confederation cup 'cafcc'.
Tofauti zake ni kuwa Cafcl ni ligi kwaajili ya mabingwa tu na hyo nyingine ni kombe la shirikisho ni Kama viti maalumu tu vya wanawake pale bungeni..
Mwambieni ache kupoteza watu maboya kuwaambia kombe la CAF ,,hamna kitu Kama hocho CafCL ni dude kubwa sio Kama Cafcc
Ata mwenyewe nashanga mashabiki wa simba kujigamba kuwa wanacheza ligj ya mabingwa halafu hawajulikani mabingwa wa nchi gani. Timu yenyew ni kishirikina uchawi umejaa sana hawa ndio wanaoharibu soka la kimataifa kwa vitendo vyao vya kishirikinaSimba Iko ligi ya mabingwa, swali, kwani Simba ni bingwa wa nchi Gani?
CAF inatakiwa kuheshimu mpira ligi ya mabingwa zicheze timu bingwa tu!
Simba haijawahi kuibeba YANGA FC kamwe sababu miaka yote Simba anashiriki CAFCL, Yanga ilikuwa inashika nafasi ya pili, inamaana Yanga ilikuwa inaingia kwenye CAFCC kwa tiketi ya nafasi ya pili ligi kuu TZ.Simba alipoibeba Yanga wakaenda wote Club Bingwa, Yanga alikuwa Bingwa wa Nchi gani?
Kichwa kibebe ubongo, sio nywele
Muulize Ndugu yenu manara,[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]Nini maana ya Confederation Cup?
Mbona mnajidhalilisha Sana nyie Mbumbumbu?
Halafu kipindi mnaroga pale Sauzi halikuwa kombe la Looser?
Jibu analo HajiNini maana ya Confederation Cup?
Mbona mnajidhalilisha Sana nyie Mbumbumbu?
Halafu kipindi mnaroga pale Sauzi halikuwa kombe la Looser?
Kwaio ligi kuu tz ni mashindano ya TFF?Nini maana ya Confederation Cup?
Mbona mnajidhalilisha Sana nyie Mbumbumbu?
Halafu kipindi mnaroga pale Sauzi halikuwa kombe la Looser?
Wew elewa ni bingwa,,,hayo ya kuwa 'Cafcl kuwa wanashiriki mabingwa wa ligi 'sijasema Mimi,,mim nimesema 'Cafcl wanashiriki mabingwa'Kwa mujibu wa mtoa mada anasema CAFCL wanashiriki mabingwa tu ndomana watu wanamuuliza swali ji Simba ni bingwa wa Ligi gani??
utofauti upo hapa: Simba Sc anacheza ligi ya mabingwa.. Uto a.k.a mwiko nyuma anacheza kombe la kushirikishwa.. kwa ufupi mwenye hii nyimbo ni Simba Sc feat. YangaMwambieni bwana mdogo Kuna Caf champions league "Cafcl" na kombe la malooser" CAF confederation cup 'cafcc'.
Tofauti zake ni kuwa Cafcl ni ligi kwaajili ya mabingwa tu na hyo nyingine ni kombe la shirikisho ni Kama viti maalumu tu vya wanawake pale bungeni..
Mwambieni ache kupoteza watu maboya kuwaambia kombe la CAF ,,hamna kitu Kama hocho CafCL ni dude kubwa sio Kama Cafcc
[emoji23][emoji23] bila ya simba kuleta hizo nafasi 4 za kimataifa, ungeenda kimataifa kwa nafasi yako ya pili ?Simba haijawahi kuibeba YANGA FC kamwe sababu miaka yote Simba anashiriki CAFCL, Yanga ilikuwa inashika nafasi ya pili, inamaana Yanga ilikuwa inaingia kwenye CAFCC kwa tiketi ya nafasi ya pili ligi kuu TZ.
Madunduka mtakuwa na akili lini?
Kusoma hujui hata tu kuangalia picha napo huwezi?[emoji23][emoji23] bila ya simba kuleta hizo nafasi 4 za kimataifa, ungeenda kimataifa kwa nafasi yako ya pili ?
Kwahyo msimu uliopita mlikuwa wanawake na mkaroga katikati ya uwanja mpate viti vyenu maarum na bado mkashindwaMwambieni bwana mdogo Kuna Caf champions league "Cafcl" na kombe la malooser" CAF confederation cup 'cafcc'.
Tofauti zake ni kuwa Cafcl ni ligi kwaajili ya mabingwa tu na hyo nyingine ni kombe la shirikisho ni Kama viti maalumu tu vya wanawake pale bungeni..
Mwambieni ache kupoteza watu maboya kuwaambia kombe la CAF ,,hamna kitu Kama hocho CafCL ni dude kubwa sio Kama Cafcc