Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 57,951
- 32,619
Mpwaaaaa umenichekeshaaa sanaaa kwelii.misumariiiii ipojamaan mmmhYaani utoke tu huko Kwenu Ghana ghafla utake kuja Kuvunja Ufalme wa Mtoto wa Kikongo ambaye Mganga wake wa Kienyeji kamwambia mpaka Boksa na Chupi yake ikiwezekana nazo awe Anazichomekea vile vile.
Na wa upande wa Pili nasi tumemsaidia Mkongo kupiga huo Msumari wa Moto na hapo bado hadi arejee Kwao na Kariakoo na Tanzania akuone ni Nuksi tupu.
Kudadadeki.....!!