Mpwaaaaa umenichekeshaaa sanaaa kwelii.misumariiiii ipojamaan mmmhYaani utoke tu huko Kwenu Ghana ghafla utake kuja Kuvunja Ufalme wa Mtoto wa Kikongo ambaye Mganga wake wa Kienyeji kamwambia mpaka Boksa na Chupi yake ikiwezekana nazo awe Anazichomekea vile vile.
Na wa upande wa Pili nasi tumemsaidia Mkongo kupiga huo Msumari wa Moto na hapo bado hadi arejee Kwao na Kariakoo na Tanzania akuone ni Nuksi tupu.
Kudadadeki.....!!
No. 100% surely. Halafu wanajiita vijana. Lakini sishangai walikuwa na mwenyekiti wao alikuwa anaitwa Bamchawi.98% ya thread wachezaji kurogana, timu kuroga n.k zinaletwa na mashabiki wa Simba.
Huyo Ngoma ambae ndo engine ya timu hapumziki kabisa.Ila kitendo cha simba kutumia wachezaji walewale kila mechi ni sawa na kujimaliza wenyewe. Mkirudi ligi kuu hamna chenu
Ebu mods watutolee hii takataka humu tena.
Aaaa shemeji heri ya mwaka mpyaa...Yaani utoke tu huko Kwenu Ghana ghafla utake kuja Kuvunja Ufalme wa Mtoto wa Kikongo ambaye Mganga wake wa Kienyeji kamwambia mpaka Boksa na Chupi yake ikiwezekana nazo awe Anazichomekea vile vile.
Na wa upande wa Pili nasi tumemsaidia Mkongo kupiga huo Msumari wa Moto na hapo bado hadi arejee Kwao na Kariakoo na Tanzania akuone ni Nuksi tupu.
Kudadadeki.....!!
Wamemla kichwa tenaChizi kafunguliwa kamba, ataandika hata mada 100 kwa siku.
Afadhali,safi sana modsWamemla kichwa tena
Tayari kala umeme huwa hawamcheleweshiLeo popoma hajibu mtu anaogopa kula ban[emoji38]