Anakera sana huyuhuyu jamaa hawezi kunyamaza kabisa mambo mengine ni kula kinya tu tatizo mdomo
Anakera sana huyu mtu. Sijui nani alimwabia yeye ndiye kila kitu ktk hii dunia?
Halafu akiambiwa ukweli anajificha kwenye upungufu wa melanin kwenye ngozi yake (albinism) na kuanza kuomba huruma kwa umma. Haya siyo maneno ya kuongea hata kidogo.
View attachment 1985591
Nadhani muda sahihi ya kumpuuza sasaHaji nae hanaga akili anajificha kwenye ulemavu wake ili aonewe huruma kila wakati ni mwehu sawa na mwinjaku tu
Nadhani muda sahihi ya kumpuuza sasa
Pole sana,lkn kwa mtazamo wangu hapo hajafikia hata robo ya robo ya yale aliyowafanyia Yanga...Anakera sana huyu mtu. Sijui nani alimwabia yeye ndiye kila kitu ktk hii dunia?
Halafu akiambiwa ukweli anajificha kwenye upungufu wa melanin kwenye ngozi yake (albinism) na kuanza kuomba huruma kwa umma. Haya siyo maneno ya kuongea hata kidogo.
View attachment 1985591