Anakera sana huyu mtu. Sijui nani alimwabia yeye ndiye kila kitu katika hii dunia?
Halafu akiambiwa ukweli anajificha kwenye upungufu wa melanin kwenye ngozi yake (albinism) na kuanza kuomba huruma kwa umma. Haya siyo maneno ya kuongea hata kidogo.
Halafu akiambiwa ukweli anajificha kwenye upungufu wa melanin kwenye ngozi yake (albinism) na kuanza kuomba huruma kwa umma. Haya siyo maneno ya kuongea hata kidogo.