Mwambieni January Makamba kwamba umeme umeanza kukatika ovyo Dar es Salaam

Mwambieni January Makamba kwamba umeme umeanza kukatika ovyo Dar es Salaam

kimsboy

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2016
Posts
9,846
Reaction score
20,319
Huku Dar umeme umeanza kukatika hovyo hovyo tena sahivi unakatika muda mrefu sana hadi masaa 8. Juzi nilikua sehemu fulani nje ya mji umeme ulikatika kuanzia saa 1 asubuhi hadi saa 1 usiku ndo walirudisha. Dalili za kuonyesha hali sio shwari ni pale umeme ukirudi watu wanashangillia hii sio ishara njema kabisa.

Umeme unakatika sana sahivi yaani tumerudi mwaka 2015 huko hii nchi ni ngumu sana. Mwambieni JM kwamba Tanesco inahitaji kuongozwa kwa akili na nguvu pia. TANESCO inahitaji mtu mwenye akili nyingi pia inahitaji kutumiwa nguvu tu hili shirika limeoza bila mijeledi haliendi.

Umeme unakatika sana sahivi, kwa kipindi fulani tulikua tushasahau umeme kukatika ukiona hauwaki ujue labda umeisha kwa luku yako lakini sasa hivi tumerudi kulekule

Hali ya kukatika kwa umeme DSM ni mbaya sana.
 
20211013_120347.jpg
 
Huku Dar umeme umeanza kukatika hovyo hovyo tena sahivi unakatika muda mrefu sana hadi masaa 8. Juzi nilikua sehemu fulani nje ya mji umeme ulikatika kuanzia saa 1 asubuhi hadi saa 1 usiku ndo walirudisha. Dalili za kuonyesha hali sio shwari ni pale umeme ukirudi watu wanashangillia hii sio ishara njema kabisa.

Umeme unakatika sana sahivi yaani tumerudi mwaka 2015 huko hii nchi ni ngumu sana. Mwambieni JM kwamba Tanesco inahitaji kuongozwa kwa akili na nguvu pia. TANESCO inahitaji mtu mwenye akili nyingi pia inahitaji kutumiwa nguvu tu hili shirika limeoza bila mijeledi haliendi.

Umeme unakatika sana sahivi, kwa kipindi fulani tulikua tushasahau umeme kukatika ukiona hauwaki ujue labda umeisha kwa luku yako lakini sasa hivi tumerudi kulekule

Hali ya kukatika kwa umeme DSM ni mbaya sana.
Hivi kuna sehemu kuna maeneo umeme unakatika masaa yote hayo?
 
Kumbe ni majirani, karibu sana Oysterbay.
Asante sana chief, tukutane hapo Sea Cliff tupate cha mchana mkuu wakati tunajadili hali ya shirika letu pendwa!

Tulibaniwa sana na msukuma yule, wacha tuangalie namna ya kutengeneza mazingira ya hela kidogo kwa miaka michache ya mama yetu kipenzi!
 
Huku Dar umeme umeanza kukatika hovyo hovyo tena sahivi unakatika muda mrefu sana hadi masaa 8. Juzi nilikua sehemu fulani nje ya mji umeme ulikatika kuanzia saa 1 asubuhi hadi saa 1 usiku ndo walirudisha. Dalili za kuonyesha hali sio shwari ni pale umeme ukirudi watu wanashangillia hii sio ishara njema kabisa.

Umeme unakatika sana sahivi yaani tumerudi mwaka 2015 huko hii nchi ni ngumu sana. Mwambieni JM kwamba Tanesco inahitaji kuongozwa kwa akili na nguvu pia. TANESCO inahitaji mtu mwenye akili nyingi pia inahitaji kutumiwa nguvu tu hili shirika limeoza bila mijeledi haliendi.

Umeme unakatika sana sahivi, kwa kipindi fulani tulikua tushasahau umeme kukatika ukiona hauwaki ujue labda umeisha kwa luku yako lakini sasa hivi tumerudi kulekule

Hali ya kukatika kwa umeme DSM ni mbaya sana.
Ndugu mwandishi wakati mwengine uongo hausaidi!!...Mimi nipo Dar maneno ambayo natembelea kila siku sijawahi kusikia hii Habari ya kukatika umeme hovyo...kule kijijini kwetu Moshi pia sijasikia wakisema kuhusu umeme wa mgao!!.. Nadhani huko unapo Ishi kuna marekebisho ya Nguzo na hili liko wazi sana!!..
 
Huku Dar umeme umeanza kukatika hovyo hovyo tena sahivi unakatika muda mrefu sana hadi masaa 8. Juzi nilikua sehemu fulani nje ya mji umeme ulikatika kuanzia saa 1 asubuhi hadi saa 1 usiku ndo walirudisha. Dalili za kuonyesha hali sio shwari ni pale umeme ukirudi watu wanashangillia hii sio ishara njema kabisa.

Umeme unakatika sana sahivi yaani tumerudi mwaka 2015 huko hii nchi ni ngumu sana. Mwambieni JM kwamba Tanesco inahitaji kuongozwa kwa akili na nguvu pia. TANESCO inahitaji mtu mwenye akili nyingi pia inahitaji kutumiwa nguvu tu hili shirika limeoza bila mijeledi haliendi.

Umeme unakatika sana sahivi, kwa kipindi fulani tulikua tushasahau umeme kukatika ukiona hauwaki ujue labda umeisha kwa luku yako lakini sasa hivi tumerudi kulekule

Hali ya kukatika kwa umeme DSM ni mbaya sana.
Umeambiwa Yeye ndiye Fundi Mitambo?
 
Ndugu mwandishi wakati mwengine uongo hausaidi!!...Mimi nipo Dar maneno ambayo natembelea kila siku sijawahi kusikia hii Habari ya kukatika umeme hovyo...kule kijijini kwetu Moshi pia sijasikia wakisema kuhusu umeme wa mgao!!.. Nadhani huko unapo Ishi kuna marekebisho ya Nguzo na hili liko wazi sana!!..
Huyu thread zake zote ni malalamiko mara Magu hivi,mara mama hivi,mara makamba hivi yaani siku nzima analialia tu.
 
Ndugu mwandishi wakati mwengine uongo hausaidi!!...Mimi nipo Dar maneno ambayo natembelea kila siku sijawahi kusikia hii Habari ya kukatika umeme hovyo...kule kijijini kwetu Moshi pia sijasikia wakisema kuhusu umeme wa mgao!!.. Nadhani huko unapo Ishi kuna marekebisho ya Nguzo na hili liko wazi sana!!..
Mimi sehemu ninyaoishi Juzi usiku kucha kulikuwa Hakuna umeme na Jana mchana walikata umeme kwa masaa 7.

Acheni kupinga vitu kwasababu shida haipo maeneo yenu.

Sent from my CPH1803 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom