Mwambieni January Makamba kwamba umeme umeanza kukatika ovyo Dar es Salaam

Mwambieni January Makamba kwamba umeme umeanza kukatika ovyo Dar es Salaam

Huyu thread zake zote ni malalamiko mara Magu hivi,mara mama hivi,mara makamba hivi yaani siku nzima analialia tu.
Kama yeye analeta malalamiko kwanini na wewe usilete Thread za kusifia. Kama shida haijakukumba unawashwa Nini kuja kwenye nyuzi wanaume wenzio kuleta Mata-Core yaliyojaa vinyweleo mwanaume mzima!


Shwaini wewe!

Sent from my CPH1803 using JamiiForums mobile app
 
Ndugu mwandishi wakati mwengine uongo hausaidi!!...Mimi nipo Dar maneno ambayo natembelea kila siku sijawahi kusikia hii Habari ya kukatika umeme hovyo...kule kijijini kwetu Moshi pia sijasikia wakisema kuhusu umeme wa mgao!!.. Nadhani huko unapo Ishi kuna marekebisho ya Nguzo na hili liko wazi sana!!..
Sijui nikutukane!! Inamaana nachoongea hapa naota au inamaana nimekurupuka au kusema uwongo kwamba umeme unakatika?Hata moshi mimi nimetokea huko!
 
Mimi sehemu ninyaoishi Juzi usiku kucha kulikuwa Hakuna umeme na Jana mchana walikata umeme kwa masaa 7.

Acheni kupinga vitu kwasababu shida haipo maeneo yenu.

Sent from my CPH1803 using JamiiForums mobile app
Wapi huko ambapo umeme umekatika 24 hours!!!... Tuache uongo huu!!... Wengi humu tunafanya shughuli zetu mikoa karibu yote na hatuja sikia hii wewe uko mkoa gani?!!
 
Sijui nikutukane!! Inamaana nachoongea hapa naota au inamaana nimekurupuka au kusema uwongo kwamba umeme unakatika?Hata moshi mimi nimetokea huko!
Kuna majitu Kama kichwani yamefungasha mafurushi ya mavi na sio akili.


Huku Kinondon juzi umeme umekatika kuanzia asubuhi Hadi saa moja usiku.


Halafu linatokea Jitu linaishi kwa shemeji Yake linashupaza shingo eti Hakuna tatizo kwasababu liko Dar.


Pumbav kabisa

Sent from my CPH1803 using JamiiForums mobile app
 
Sijui nikutukane!! Inamaana nachoongea hapa naota au inamaana nimekurupuka au kusema uwongo kwamba umeme unakatika?Hata moshi mimi nimetokea huko!
Unaweza kutukana lakini ukweli ni kwamba hakuna Mgao wa Umeme nchi hii!!..Ukiona Kuna shida ya Umeme ni marekebisho ya Nguzo na taarifa zina tolewa siku kadhaa kabla!!
 
Kazi ni kulalamika na kuzusha uongo kila kukicha kwa sababu ya chuki tu, umeme ukikatika kidogo tu basi inakuwa nongwa!
 
Kuna majitu Kama kichwani yamefungasha mafurushi ya mavi na sio akili.


Huku Kinondon juzi umeme umekatika kuanzia asubuhi Hadi saa moja usiku.


Halafu linatokea Jitu linaishi kwa shemeji Yake linashupaza shingo eti Hakuna tatizo kwasababu liko Dar.


Pumbav kabisa

Sent from my CPH1803 using JamiiForums mobile app
Nina ofisi hapo Kwa Manyanya sijawahi kusikia vijana wanasema umeme umekatika!!..Nina ofisi Makumbusho na Mwananyamala sijawahi kusikia umeme umekatika,Nina ishi Kigamboni sijawahi kuona shida hii ya Umeme!!
 
Unaweza kutukana lakini ukweli ni kwamba hakuna Mgao wa Umeme nchi hii!!..Ukiona Kuna shida ya Umeme ni marekebisho ya Nguzo na taarifa zina tolewa siku kadhaa kabla!!
We ni shwaini!


Ndio madhara ya Kukaa kwa shemeji zenu huna unalojua.

Nenda kariakoo muda huu uwaulize kuhusu trend ya umeme walau kwa wiki moja halafu urudi kupiga Domo lako.

Mkishakaa kwa shemeji zenu mnasubiri dada zenu wapelekewe Moto ndio mnywe juice mkiwa mmekaa kwenye Masofa ya mwanaume mwenzemu huwa hamjui hizi zinaendaje

Sent from my CPH1803 using JamiiForums mobile app
 
Nina ofisi hapo Kwa Manyanya sijawahi kusikia vijana wanasema umeme umekatika!!..Nina ofisi Makumbusho na Mwananyamala sijawahi kusikia umeme umekatika,Nina ishi Kigamboni sijawahi kuona shida hii ya Umeme!!
We ni Shwaini

Makumbusho Juzi umeme umekatika masaa 8 au unazunhumzia makumbusho ipi

Sent from my CPH1803 using JamiiForums mobile app
 
We ni shwaini!


Ndio madhara ya Kukaa kwa shemeji zenu huna unalojua.

Nenda kariakoo muda huu uwaulize kuhusu trend ya umeme walau kwa wiki moja halafu urudi kupiga Domo lako.

Mkishakaa kwa shemeji zenu mnasubiri dada zenu wapelekewe Moto ndio mnywe juice mkiwa mmekaa kwenye Masofa ya mwanaume mwenzemu huwa hamjui hizi zinaendaje

Sent from my CPH1803 using JamiiForums mobile app
Nina ofisi Mtaa wa Congo Ndugu na nyingine samora Rafiki yangu huko kote sijawahi kuona shida hii!!..Wewe Endelea kuongopa Tu
 
Back
Top Bottom