Mwambieni January Makamba kwamba umeme umeanza kukatika ovyo Dar es Salaam

Mwambieni January Makamba kwamba umeme umeanza kukatika ovyo Dar es Salaam

Huku Dar umeme umeanza kukatika hovyo hovyo tena sahivi unakatika muda mrefu sana hadi masaa 8. Juzi nilikua sehemu fulani nje ya mji umeme ulikatika kuanzia saa 1 asubuhi hadi saa 1 usiku ndo walirudisha. Dalili za kuonyesha hali sio shwari ni pale umeme ukirudi watu wanashangillia hii sio ishara njema kabisa.

Umeme unakatika sana sahivi yaani tumerudi mwaka 2015 huko hii nchi ni ngumu sana. Mwambieni JM kwamba Tanesco inahitaji kuongozwa kwa akili na nguvu pia. TANESCO inahitaji mtu mwenye akili nyingi pia inahitaji kutumiwa nguvu tu hili shirika limeoza bila mijeledi haliendi.

Umeme unakatika sana sahivi, kwa kipindi fulani tulikua tushasahau umeme kukatika ukiona hauwaki ujue labda umeisha kwa luku yako lakini sasa hivi tumerudi kulekule

Hali ya kukatika kwa umeme DSM ni mbaya sana.



Km umekasirika hamia Burundi 🤣🤣🤣
 
Kutokana na Majibu yako humu,itoshe kusema Huaminiki.
Soma vizuri muda ambao nilikua Bonyokwa ni zaidi ya lisaa ndio nikasema Bonyokwa kuna umeme!!..Nimesema Makumbusho, Mwananyamala,Mtaa wa Congo kuna ofisi huko Kwa muda ambao kuna taarifa za kukatika umeme sijapata taarifa kwasababu Kazi zinazofanyika huko ni umeme masaa yote!!..Nikasema naishi Kigamboni sijawahi kuona Umeme umekatika Kwa muda mrefu sasa
 
Huku Dar umeme umeanza kukatika hovyo hovyo tena sahivi unakatika muda mrefu sana hadi masaa 8. Juzi nilikua sehemu fulani nje ya mji umeme ulikatika kuanzia saa 1 asubuhi hadi saa 1 usiku ndo walirudisha. Dalili za kuonyesha hali sio shwari ni pale umeme ukirudi watu wanashangillia hii sio ishara njema kabisa.

Umeme unakatika sana sahivi yaani tumerudi mwaka 2015 huko hii nchi ni ngumu sana. Mwambieni JM kwamba Tanesco inahitaji kuongozwa kwa akili na nguvu pia. TANESCO inahitaji mtu mwenye akili nyingi pia inahitaji kutumiwa nguvu tu hili shirika limeoza bila mijeledi haliendi.

Umeme unakatika sana sahivi, kwa kipindi fulani tulikua tushasahau umeme kukatika ukiona hauwaki ujue labda umeisha kwa luku yako lakini sasa hivi tumerudi kulekule

Hali ya kukatika kwa umeme DSM ni mbaya sana.
Wanamkomoa

Mimi imebidi ninunue power guard.
 
Huku Dar umeme umeanza kukatika hovyo hovyo tena sahivi unakatika muda mrefu sana hadi masaa 8. Juzi nilikua sehemu fulani nje ya mji umeme ulikatika kuanzia saa 1 asubuhi hadi saa 1 usiku ndo walirudisha. Dalili za kuonyesha hali sio shwari ni pale umeme ukirudi watu wanashangillia hii sio ishara njema kabisa.

Umeme unakatika sana sahivi yaani tumerudi mwaka 2015 huko hii nchi ni ngumu sana. Mwambieni JM kwamba Tanesco inahitaji kuongozwa kwa akili na nguvu pia. TANESCO inahitaji mtu mwenye akili nyingi pia inahitaji kutumiwa nguvu tu hili shirika limeoza bila mijeledi haliendi.

Umeme unakatika sana sahivi, kwa kipindi fulani tulikua tushasahau umeme kukatika ukiona hauwaki ujue labda umeisha kwa luku yako lakini sasa hivi tumerudi kulekule

Hali ya kukatika kwa umeme DSM ni mbaya sana.
Makamba ana akili sana ila kwenye hili la TANESCO aliongozwa na chuki ya serikali ya awamu ya 5. Nadhani anapaswa kujifunza kwa Dkt JK, huyu mzee nampenda sana ana akili nyingi mno kwenye utendaji.
 
Back
Top Bottom