Mwambieni Jean Othos Baleke aje haraka sana atuombe Msamaha Simba SC, akikaidi Kocha Gamondi ataendelea Kumkandia aione Tanzania Chungu

Mwambieni Jean Othos Baleke aje haraka sana atuombe Msamaha Simba SC, akikaidi Kocha Gamondi ataendelea Kumkandia aione Tanzania Chungu

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
"Nitakuwa ni Kocha wa ajabu niache Kuwapanga akina Dube na Mzize ambao wananionyesha bidii kubwa kuanzia Mazoezini na hata katika kila Mechi ambazo huwa nawapanga halafu nimpange Baleke ambaye hata nikimpa tu nafasi kwa dakika chache hakuna anachonipa" amesema Kocha Mkuu wa Yanga SC Miguel Gamondi.

Chanzo: Spoti Leo ya Radio One iliyoko hewani sasa

Kwa zile Dharau na Nyodo alizotufanyia Simba SC baada ya Kuachwa na kwenda Yanga SC nilijua tu yatamkuta haya.
 
Hajasema ivoo we koloo, coach is very humble.Mechi ni nyingi sanaaa ,mechi zisiso na pressure kama za league hakika atachezaa tu Ili aaingie kwenye mfumo. Hata ningekuoa mie kocha mechi zilizopita ni lazimaa niwekee mtu sio kwa majalibioo.
Majalibio ndiyo Kiswahili gani na cha wapi hiki? Sasa kama Kuandika tu vyema kwa Kiswahili Sanifu huwezi je, utaweza Kupambana na hiki Kichwa cha Kizanaki, Kiyao na Kitutsi?

Huna Akili.
 
Hivi kwenye Dunia ya leo kumbe bado kuna mapimbi wanasikiliza vipindi vya michezo redioni?
Itoshe kusema kwamba wewe ni mpumbavu. dunia nzima mpira bado unatangazwa kwenye redio na vipindi vya redio vya michezo ndivyo vinavyo ongozwa kufuatiliwa na watu. halafu, wewe unajifanya mjanja kisa kutumia hivyo vionline tv ni mjanja au vikurasa vya instagram na mitandao mingine ya kijamii. hovyo sana wewe mtu.
 
Majalibio ndiyo Kiswahili gani na cha wapi hiki? Sasa kama Kuandika tu vyema kwa Kiswahili Sanifu huwezi je, utaweza Kupambana na hiki Kichwa cha Kizanaki, Kiyao na Kitutsi?

Huna Akili.
We gay wa Kiyao Tuliza O,unawashwa?
 
Hajasema ivoo we koloo, coach is very humble.Mechi ni nyingi sanaaa ,mechi zisiso na pressure kama za league hakika atachezaa tu Ili aaingie kwenye mfumo. Hata ningekuoa mie kocha mechi zilizopita ni lazimaa niwekee mtu sio kwa majalibioo.
We utopolo muongo, gamo boy amesema baleke inabidi apambanie namba.
 
"Nitakuwa ni Kocha wa ajabu niache Kuwapanga akina Dube na Mzize ambao wananionyesha bidii kubwa kuanzia Mazoezini na hata katika kila Mechi ambazo huwa nawapanga halafu nimpange Baleke ambaye hata nikimpa tu nafasi kwa dakika chache hakuna anachonipa" amesema Kocha Mkuu wa Yanga SC Miguel Gamondi.

Chanzo: Spoti Leo ya Radio One iliyoko hewani sasa

Kwa zile Dharau na Nyodo alizotufanyia Simba SC baada ya Kuachwa na kwenda Yanga SC nilijua tu yatamkuta haya.
Acha Upuuzi, umezidi
 
"Nitakuwa ni Kocha wa ajabu niache Kuwapanga akina Dube na Mzize ambao wananionyesha bidii kubwa kuanzia Mazoezini na hata katika kila Mechi ambazo huwa nawapanga halafu nimpange Baleke ambaye hata nikimpa tu nafasi kwa dakika chache hakuna anachonipa" amesema Kocha Mkuu wa Yanga SC Miguel Gamondi.

Chanzo: Spoti Leo ya Radio One iliyoko hewani sasa

Kwa zile Dharau na Nyodo alizotufanyia Simba SC baada ya Kuachwa na kwenda Yanga SC nilijua tu yatamkuta haya.
baleke anapikwa si muda mrefu kutoka sasa utamuona
 
Hajasema ivoo we koloo, coach is very humble.Mechi ni nyingi sanaaa ,mechi zisiso na pressure kama za league hakika atachezaa tu Ili aaingie kwenye mfumo. Hata ningekuoa mie kocha mechi zilizopita ni lazimaa niwekee mtu sio kwa majalibioo.
Kwahiyo mechi na CBE ilikuwa na presha?
 
Back
Top Bottom