Mwambieni Jean Othos Baleke aje haraka sana atuombe Msamaha Simba SC, akikaidi Kocha Gamondi ataendelea Kumkandia aione Tanzania Chungu

Mwambieni Jean Othos Baleke aje haraka sana atuombe Msamaha Simba SC, akikaidi Kocha Gamondi ataendelea Kumkandia aione Tanzania Chungu

Hivi kwenye Dunia ya leo kumbe bado kuna mapimbi wanasikiliza vipindi vya michezo redioni?
Tofauti inaweza kuwa mwenzako anasikiliza vipindi vya michezo kwenye Rolls Royce huku wewe ukiperuzi habari za michezo kwenye Tecno F1.

Utaamua mwenyewe nani pimbi hapo.
 
Huu uzi umegeuka kuwa wa mipasho na matusi. Ninaufuatilia, nikiona mmezidi nitalogin kwa account yangu yenye uadmin
 
Itoshe kusema kwamba wewe ni mpumbavu. dunia nzima mpira bado unatangazwa kwenye redio na vipindi vya redio vya michezo ndivyo vinavyo ongozwa kufuatiliwa na watu. halafu, wewe unajifanya mjanja kisa kutumia hivyo vionline tv ni mjanja au vikurasa vya instagram na mitandao mingine ya kijamii. hovyo sana wewe mtu.
Bora angekaa kimya tusungejua kuwa ni mpumbavu
 
Itoshe kusema kwamba wewe ni mpumbavu. dunia nzima mpira bado unatangazwa kwenye redio na vipindi vya redio vya michezo ndivyo vinavyo ongozwa kufuatiliwa na watu. halafu, wewe unajifanya mjanja kisa kutumia hivyo vionline tv ni mjanja au vikurasa vya instagram na mitandao mingine ya kijamii. hovyo sana wewe mtu.
Redio zina play sehemu kubwa sana kwenye kuhabarisha watu ebu fikiria kabla ya ujio wa simu watu walikuwa wanatumia nini kama sio redio huyo anayejifanya mjanja nafikiri yeye ndie mjinga wa kwanza kuamini redio hazina maana.
 
Back
Top Bottom